< Salmos 48 >
1 Cântico e salmo, dos filhos de Coré: O SENHOR [é] grande e muito louvável, na cidade de nosso Deus, [no] monte de sua santidade.
Yahwe ndiye aliye mkuu na mwenyekusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu kwenye mlima wake mtakatifu.
2 Belo de se ver e alegria de toda a terra [é] o monte de Sião, nas terras do norte; a cidade do grande Rei.
Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
3 Deus [está] em seus palácios, [e] é conhecido como alto refúgio.
Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
4 Porque eis que os reis se reuniram; eles juntamente passaram
Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
5 Eles, [quando] a viram, ficaram maravilhados; assombraram-se, fugiram apressadamente.
Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
6 Ali o temor os tomou, [e sentiram] dores como as de parto.
Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
7 Com o vento do oriente tu quebras os navios de Társis.
Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.
8 Assim como nós ouvimos, também vimos na cidade do SENHOR dos exércitos, na cidade do nosso Deus; Deus a firmará para sempre. (Selá)
Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. (Selah)
9 Deus, nós reconhecemos tua bondade no meio de teu templo.
Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
10 Conforme o teu nome, ó Deus, assim é o louvor a ti, até os confins da terra; tua mão direita está cheia de justiça.
Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
11 Alegre-se o monte de Sião, fiquem contentes as filhas de Judá, por causa de teus juízos.
Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.
12 Andai ao redor de Sião, e a circundai; contai suas torres.
Tembeeni katika Mlima Sayuni, muuzungukie mji,
13 Ponde vosso coração em seus muros de defesa, prestai atenção em seus palácios, para que conteis deles à geração seguinte.
mzitazame kwa makini nguzo zake, na mtazame majumba yake ya kifahari ili kwamba muweze kuwasimulia kizazi kijacho.
14 Porque este Deus [é] nosso Deus para todo o sempre; ele nos acompanhará até a morte.
Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; naye atakuwa kiongozi wetu mpaka kufa.