< Salmos 34 >
1 Salmo de Davi, quando ele mudou seu comportamento perante Abimeleque, que o expulsou, e ele foi embora: Louvarei ao SENHOR em todo tempo; [haverá] louvor a ele continuamente em minha boca.
Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
2 Minha alma se orgulhará no SENHOR; os humildes ouvirão, e se alegrarão.
Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
3 Engrandecei ao SENHOR comigo, e juntos exaltemos o seu nome.
Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
4 Busquei ao SENHOR. Ele me respondeu, e me livrou de todos os meus temores.
Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
5 Os que olham para ele ficam visivelmente alegres, e seus rostos não são envergonhados.
Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
6 Este miserável clamou, e o SENHOR ouviu; e ele o salvou de todas as suas angústias.
Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
7 O anjo do SENHOR fica ao redor daqueles que o temem, e os livra.
Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
8 Experimentai, e vede que o SENHOR é bom; bem-aventurado [é] o homem que confia nele.
Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
9 Temei ao SENHOR vós, os seus santos; porque nada falta para aqueles que o temem.
Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
10 Os filhos dos leões passam necessidades e têm fome; mas os que buscam ao SENHOR não têm falta de bem algum.
Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
11 Vinde, filhos, ouvi a mim; eu vos ensinarei o temor ao SENHOR.
Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
12 Quem é o homem que deseja vida, que ama [viver por muitos] dias, para ver o bem?
Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
13 Guarda a tua língua do mal, e os teus lábios de falar falsidade.
Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
14 Desvia-te do mal, e faze o bem; busca a paz, e segue-a.
Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
15 Os olhos do SENHOR estão sobre os justos, e seus ouvidos [atentos] ao seu clamor.
Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
16 A face do SENHOR está contra aqueles que fazem o mal, para tirar da terra a memória deles.
Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
17 Os [justos] clamam, e o SENHOR os ouve. Ele os livra de todas as suas angústias.
Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
18 O SENHOR [está] perto daqueles que estão com o coração partido, e sava os aflitos de espírito.
Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
19 Muitas são as adversidades do justo, mas o SENHOR o livra de todas elas.
Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
20 Ele guarda todos os seus ossos; nenhum deles é quebrado.
Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
21 O mal matará o perverso, e os que odeiam o justo serão condenados.
Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
22 O SENHOR resgata a alma de seus servos, e todos os que nele confiam não receberão condenação.
Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.