< Salmos 26 >

1 Salmo de Davi: Faze-me justiça, SENHOR, pois eu ando em minha sinceridade; e eu confio no SENHOR, não me abalarei.
Unihukumu mimi, Yahwe, kwa kuwa nimeenenda katika uadilifu; nimeamini katika Yahwe bila kusita.
2 Prova-me, SENHOR, e testa-me; examina meus sentimentos e meu coração.
Unichunguze, Yahwe, na unijaribu; uujaribu usafi wa sehemu zangu za ndani na moyoni mwangu!
3 Porque tua bondade está diante dos meus olhos; e eu ando em tua verdade.
Kwa maana uaminifu wa agano lako uko mbele ya macho yangu, na mwenendo wangu ni katika uaminifu wako.
4 Não me sento com homens vãos, nem converso com desonestos.
Mimi sichangamani na watu waovu, wala sichangamani na watu wanafiki.
5 Eu odeio a reunião dos malfeitores; e não me sento com os perversos.
Ninachukia waovu, na siishi na waovu.
6 Lavo minhas mãos em inocência, e ando ao redor do teu altar, SENHOR;
Ninaosha mikono yangu kounesha sina hatia, na kuikaribia madhabahu yako, Yahwe,
7 Para que eu declare com voz de louvores, e para contar todas as tuas maravilhas.
kuimba wimbo wa sauti ya sifa na kutoa taarifa ya matendo yako yote ya ajabu.
8 SENHOR, eu amo a morada de tua Casa, e o lugar onde habita a tua glória.
Yahwe, ninaipenda nyumba ninayoishi, mahali ambapo utukufu wako unaishi!
9 Não juntes minha alma com os pecadores, nem minha vida com homens sanguinários;
Usiniangamize pamoja na wenye dhambi, au maisha yangu na watu wenye kiu ya kumwaga damu,
10 Nas mãos deles há más intenções; e sua mão direita é cheia de suborno.
ambao katika mikono yao kuna njama, na ambao mkono wa kuume umejaa rushwa.
11 Mas eu ando em minha sinceridade; livra-me e tem piedade de mim.
Lakini kwangu mimi, nitaenenda katika uadilifu; uniokoe na unihurumie.
12 Meu pé está em um caminho plano; louvarei ao SENHOR nas congregações.
Miguu yangu husimama sehemu salama; katika kusanyiko la watu nitambariki Yahwe!

< Salmos 26 >