< Salmos 17 >
1 Oração de Davi: Ouve, SENHOR, a [minha] justiça; presta atenção ao meu choro, dá ouvidos à minha oração de lábios que não enganam.
Sala ya Daudi. Sikia, Ee Bwana, kusihi kwangu kwa haki, sikiliza kilio changu. Tega sikio kwa ombi langu, halitoki kwenye midomo ya udanganyifu.
2 De diante de teu rosto saia o meu julgamento; teus olhos observarão o que é justo.
Hukumu yangu na itoke kwako, macho yako na yaone yale yaliyo haki.
3 Tu [já] provaste o meu coração, tu [me] visitaste de noite; tu me investigaste, [e] nada achaste; decidi [que] minha boca não transgredirá.
Ingawa unauchunguza moyo wangu na kunikagua usiku, ingawa umenijaribu, hutaona chochote. Nimeamua kwamba kinywa changu hakitatenda dhambi.
4 Quanto às obras dos homens, conforme a palavra de teus lábios eu me guardei dos caminhos do violento;
Kuhusu matendo ya wanadamu: kwa neno la midomo yako, nimejiepusha na njia za wenye jeuri.
5 Guiando meu andar em teus caminhos, para que meus passos não tropecem.
Hatua zangu zimeshikamana na njia zako; nyayo zangu hazikuteleza.
6 Eu clamo a ti, ó Deus, porque tu me respondes; inclina teus ouvidos a mim, escuta a minha palavra.
Ee Mungu, ninakuita, kwa kuwa utanijibu, nitegee sikio lako na usikie ombi langu.
7 Revela maravilhosamente tuas misericórdias, tu salvas aos que confiam [em ti] com tua mão direita daqueles se se levantam contra [ti].
Uonyeshe ajabu ya upendo wako mkuu, wewe uokoaye kwa mkono wako wa kuume wale wanaokukimbilia kutokana na adui zao.
8 Guarda-me como a pupila do olho; esconde-me debaixo da sombra de tuas asas,
Nilinde kama mboni ya jicho lako, unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako
9 De diante dos perversos que me oprimem; dos meus mortais inimigos que me cercam.
kutokana na waovu wanaonishambulia, kutokana na adui wauaji wanaonizunguka.
10 Eles se enchem de gordura; com sua boca falam arrogantemente.
Huifunga mioyo yao iliyo migumu, vinywa vyao hunena kwa majivuno.
11 Agora eles têm nos cercado em nossos passos; eles fixam seus olhos para [nos] derrubar ao chão.
Wamenifuatia nyayo zangu, sasa wamenizingira, wakiwa macho, waniangushe chini.
12 Semelhantes ao leão, que deseja nos despedaçar, e ao leãozinho, que fica em esconderijos.
Wamefanana na simba mwenye njaa awindaye, kama simba mkubwa anyemeleaye mafichoni.
13 Levanta-te, SENHOR, confronta-o, derruba-o; livra minha alma d [as mãos] do perverso com tua espada.
Inuka, Ee Bwana, pambana nao, uwaangushe, niokoe kutokana na waovu kwa upanga wako.
14 Dos homens com tua mão, SENHOR, dos homens que são do mundo, cuja parte está n [esta] vida, cujo ventre enches de teu secreto [tesouro]; os filhos se fartam, e deixam sua sobra para suas crianças.
Ee Bwana, mkono wako uniokoe na watu wa jinsi hii, kutokana na watu wa ulimwengu huu ambao fungu lao liko katika maisha haya. Na wapate adhabu ya kuwatosha. Watoto wao na wapate zaidi ya hayo, hukumu na iendelee kwa watoto wa watoto wao.
15 [Mas] eu olharei para teu rosto em justiça; serei satisfeito de tua semelhança, quando eu despertar.
Na mimi katika haki nitauona uso wako, niamkapo, nitaridhika kwa kuona sura yako.