< Salmos 148 >
1 Aleluia! Louvai ao SENHOR desde os céus; louvai-o nas alturas.
Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe, ninyi mlio katika mbingu; msifuni yeye, ninyi mlio juu.
2 Louvai-o todos os seus anjos; louvai-o todos os seus exércitos.
Msifuni yeye, enyi malaika wake wote; msifuni yeye, majeshi ya malaika wake wote.
3 Louvai-o, sol e lua; louvai-o, todas as estrelas luminosas.
Msifuni yeye, enyi jua na mwezi; msifuni yeye, nyota zote zing'aazo.
4 Louvai-o, céus dos céus, e as águas que [estais] sobre os céus.
Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
5 Louvem ao nome do SENHOR; porque pela ordem dele foram criados.
Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.
6 E os firmou para todo o sempre; e deu [tal] decreto, que não será traspassado.
Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
7 Louvai ao SENHOR [vós] da terra: os monstros marinhos, e todos os abismos;
Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,
8 O fogo e a saraiva, a neve e o vapor; o vento tempestuoso, que executa sua palavra.
moto na mvua ya mawe, theluji na mawingu, upepo wa dhoruba ukitimiza neno lake.
9 Os montes e todos os morros; árvores frutíferas, e todos os cedros.
Msifuni yeye, enyi milima na vilima, miti ya matunda na mierezi yote,
10 As feras, e todo o gado; répteis, e aves que tem asas.
wanyama pori na wanyama wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege.
11 Os reis da terra, e todos os povos; os príncipes, e todos os juízes da terra.
Msifuni Yahwe, wafalme wa nchi na mataifa yote, wakuu na watawala wote wa nchi,
12 Os rapazes, e também as moças; os velhos com os jovens.
wote vijana wa kiume na vijana wa kike, wazee na watoto.
13 Louvem ao nome do SENHOR; pois só o nome dele é exaltado; sua majestade [está] sobre a terra e o céu.
Na walisifu jina la Yahwe, kwa kuwa jina lake pekee limetukuka na utukufu wake umeongezwa juu ya nchi na mbingu.
14 E ele exaltou o poder de seu povo: o louvor de todos os seus santos, os filhos de Israel, o povo [que está] perto dele. Aleluia!
Naye ameyainua mapembe ya watu wake kwa ajili ya sifa kutoka kwa waaminifu wake wote, Waisraeli, watu wa karibu naye. Msifuni Yahwe.