< Salmos 146 >
1 Aleluia! Louva ao SENHOR, ó minha alma!
Msifu Yahwe. Msifu Yahwe, ee nafsi yangu.
2 Louvarei ao SENHOR durante [toda] a minha vida; cantarei louvores a meu Deus enquanto eu [existir].
Ninamsifu Mungu maisha yangu yote; nitamuimbia sifa Mungu wangu ni ngali ni hai.
3 Não ponhas tua confiança em príncipes; em filhos de homens, em quem não há salvação.
Msiweke imani katika wakuu au wanadamu, ambaye katika yeye hamna wokovu.
4 O espírito dele [s] sai, e volta para sua terra; naquele mesmo dia seus pensamentos perecem.
Wakati uhai wa pumzi ya mtu unapokoma, hurudi aridhini; siku hiyo mipango yake hufikia mwisho.
5 Bem-aventurado aquele que [tem] o Deus de Jacó como sua ajuda, cuja esperança está no SENHOR seu Deus;
Amebarikiwa yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake liko katika Yahwe Mungu wake.
6 Que fez os céus e a terra, o mar, e tudo o que neles [há]; que guarda a fidelidade para sempre.
Yahwe aliumba mbingu na nchi, bahari, na vyote vilivyomo; huitazama kweli milele.
7 Que faz juízo aos oprimidos, que dá pão aos famintos; o SENHOR solta aos presos.
Yeye hutekeleza hukumu kwa ajili ya walioonewa na huwapa chakula wenye njaa. Yahwe huwafungua waliofungwa;
8 O SENHOR abre [os olhos] dos cegos; o SENHOR levanta aos abatidos; o SENHOR ama aos justos.
Yahwe huyafungua macho ya kipofu; Yahwe huwainua walioinama; Yahwe huwapenda watu wenye haki.
9 O SENHOR guarda os estrangeiros; sustenta o órfão e a viúva; mas põe dificuldades ao caminho dos perversos.
Yahwe huwalinda wageni katika nchi; huwainua yatima na wajane, bali huipinga njia ya wasio haki.
10 O SENHOR reinará eternamente. Ó Sião, o teu Deus [reinará] geração após geração. Aleluia!
Yahwe atatawala milele, Mungu wako, Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Yahwe.