< Salmos 129 >
1 Cântico dos degraus: Diga Israel: Desde minha juventude muitas vezes me afligiram.
“Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
2 Desde minha juventude, muitas vezes me afligiram, porém não prevaleceram contra mim.
“Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
3 Lavradores lavraram sobre minhas costas, fizeram compridos os seus sulcos.
Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
4 O SENHOR é justo; ele cortou as cordas dos perversos.
Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
5 Sejam envergonhados, e voltem para trás todos os que odeiam a Sião.
Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
6 Sejam como a erva dos telhados, que se seca antes que cresça.
Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
7 Com que o ceifeiro não enche sua mão, nem o braço daquele que amarra os molhos.
ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
8 Nem também os que passam, dizem: A bênção do SENHOR seja sobre vós; nós vos bendizemos no nome do SENHOR.
Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”