< Salmos 116 >

1 Amo o SENHOR, porque ele escuta minha voz [e] minhas súplicas.
Ninampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu; amesikia kilio changu ili anihurumie.
2 Porque ele tem inclinado a mim seus ouvidos; por isso eu clamarei a ele em [todos] os meus dias.
Kwa sababu amenitegea sikio lake, nitamwita siku zote za maisha yangu.
3 Cordas da morte me cercaram, e angústias do Xeol me afrontaram; encontrei opressão e aflição. (Sheol h7585)
Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni. (Sheol h7585)
4 Mas clamei ao nome do SENHOR, [dizendo]: Ah SENHOR, livra minha alma!
Ndipo nikaliitia jina la Bwana: “Ee Bwana, niokoe!”
5 O SENHOR é piedoso e justo; e nosso Deus é misericordioso.
Bwana ni mwenye neema na haki, Mungu wetu ni mwingi wa huruma.
6 O SENHOR protege os simples; eu estava com graves problemas, mas ele me livrou.
Bwana huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
7 Minha alma, volta ao teu descanso, pois o SENHOR tem te tratado bem.
Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
8 Porque tu, [SENHOR], livraste minha alma da morte, meus olhos das lágrimas, e meu pé do tropeço.
Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa,
9 Andarei diante do SENHOR na terra dos viventes.
ili niweze kutembea mbele za Bwana, katika nchi ya walio hai.
10 Eu cri, por isso falei; estive muito aflito.
Niliamini, kwa hiyo nilisema, “Mimi nimeteseka sana.”
11 Eu dizia em minha pressa: Todo homem é mentiroso.
Katika taabu yangu nilisema, “Wanadamu wote ni waongo.”
12 O que pagarei ao SENHOR por todos os benefícios dele para mim?
Nimrudishie Bwana nini kwa wema wake wote alionitendea?
13 Tomarei o copo da salvação, [e] chamarei o nome do SENHOR.
Nitakiinua kikombe cha wokovu na kulitangaza jina la Bwana.
14 Certamente pagarei meus votos ao SENHOR, na presença de todo o seu povo.
Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote.
15 Preciosa é aos olhos do SENHOR a morte de seus santos.
Kifo cha watakatifu kina thamani machoni pa Bwana.
16 Ah SENHOR, verdadeiramente eu sou teu servo; sou teu servo, filho de tua serva; tu me soltaste das correntes que me prendiam.
Ee Bwana, hakika mimi ni mtumishi wako, mimi ni mtumishi wako, mwana wa mjakazi wako; umeniweka huru toka katika minyororo yangu.
17 Sacrificarei a ti sacrifício de agradecimento, e chamarei o nome do SENHOR.
Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru na kuliita jina la Bwana.
18 Certamente pagarei meus votos ao SENHOR, na presença de todo o seu povo;
Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote,
19 Nos pátios da casa do SENHOR, em meio de ti, ó Jerusalém. Aleluia!
katika nyua za nyumba ya Bwana, katikati yako, ee Yerusalemu. Msifuni Bwana.

< Salmos 116 >