< Salmos 115 >
1 Não a nós, SENHOR; não a nós, mas a teu nome dá glória; por tua bondade, por tua fidelidade.
Sio kwetu, Yahwe, sio kwetu, bali kwa jina lako ulete heshima, kwa ajili ya uaminifu wa agano lako na uaminifu wako.
2 Porque as nações dirão: Onde está o Deus deles?
Kwa nini mataifa yalazimike kusema, “Yuko wapi Mungu wako?”
3 Porém nosso Deus está nos céus, ele faz tudo o que lhe agrada.
Mungu wetu aliye mbinguni; hufanya chochote apendacho.
4 Os ídolos deles são prata e ouro, obras de mãos humanas.
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
5 Têm boca, mas não falam; têm olhos, mas não veem;
Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
6 Têm ouvidos, mas não ouvem; tem nariz, mas não cheiram;
zina masikio, lakini hazisikii; zina pua lakini hazinusi.
7 Têm mãos, mas não apalpam; têm pés, mas não andam; nem falam com suas gargantas.
Sanamu hizo zina mikono, lakini hazishiki; zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala haziongei kutoka viywani mwao.
8 Tornem-se como eles os que os fazem, [e] todos os que neles confiam.
Wale wanao zitengeneza wanafanana nazo, vile vile yeyote anaye amini katika hizo.
9 Ó Israel, confia no SENHOR; ele é sua ajuda e seu escudo.
Israeli, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
10 Ó casa de Arão, confiai no SENHOR; ele é sua ajuda e seu escudo.
Nyumba ya Haruni, amini katika Yahwe; yeye ni msaada wako na ngao yako.
11 Vós que temeis ao SENHOR, confiai no SENHOR; ele é sua ajuda e seu escudo.
Ninyi mnao mheshumu Yahwe, mwamini yeye; yeye ni msaada wenu na ngao yenu.
12 O SENHOR tem se lembrado de nós; ele há de abençoar; ele abençoará a casa de Israel; ele abençoará a casa de Arão.
Yahwe hutukumbuka sisi na atatubariki; ataibariki familia ya Israeli; atabariki familia ya Haruni.
13 Ele abençoará aos que temem ao SENHOR; tanto os pequenos como os grandes.
Atawabariki wale wanao muheshimu yeye, wote vijana na wazee.
14 O SENHOR vos aumentará, vós e vossos filhos.
Yahwe na awaongeze ninyi zaidi na zaidi, ninyi pamoja na watoto wenu.
15 Benditos sois vós [que pertenceis] ao SENHOR, que fez os céus e a terra.
Yahwe na awabariki, aliyeziumba mbingu na nchi.
16 [Quanto] aos céus, os céus são do SENHOR; mas a terra ele deu aos filhos dos homens.
Mbingu ni za Yahwe; lakini nchi amewapa wanadamu.
17 Os mortos não louvam ao SENHOR, nem os que descem ao silêncio.
Wafu hawamsifu Yahwe, wala wote washukao chini kwenye ukimya;
18 Porém nós bendiremos ao SENHOR, desde agora e para sempre. Aleluia!
bali tutamtukuza Yahwe sasa na hata milele. Msifuni Yahwe.