< Salmos 115 >

1 Não a nós, SENHOR; não a nós, mas a teu nome dá glória; por tua bondade, por tua fidelidade.
Sio kwetu sisi, Ee Bwana, sio kwetu sisi, bali utukufu ni kwa jina lako, kwa sababu ya upendo na uaminifu wako.
2 Porque as nações dirão: Onde está o Deus deles?
Kwa nini mataifa waseme, “Yuko wapi Mungu wao?”
3 Porém nosso Deus está nos céus, ele faz tudo o que lhe agrada.
Mungu wetu yuko mbinguni, naye hufanya lolote limpendezalo.
4 Os ídolos deles são prata e ouro, obras de mãos humanas.
Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
5 Têm boca, mas não falam; têm olhos, mas não veem;
Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
6 Têm ouvidos, mas não ouvem; tem nariz, mas não cheiram;
zina masikio, lakini haziwezi kusikia, zina pua, lakini haziwezi kunusa;
7 Têm mãos, mas não apalpam; têm pés, mas não andam; nem falam com suas gargantas.
zina mikono, lakini haziwezi kupapasa, zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala koo zao haziwezi kutoa sauti.
8 Tornem-se como eles os que os fazem, [e] todos os que neles confiam.
Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
9 Ó Israel, confia no SENHOR; ele é sua ajuda e seu escudo.
Ee nyumba ya Israeli, mtumainini Bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
10 Ó casa de Arão, confiai no SENHOR; ele é sua ajuda e seu escudo.
Ee nyumba ya Aroni, mtumainini Bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
11 Vós que temeis ao SENHOR, confiai no SENHOR; ele é sua ajuda e seu escudo.
Ninyi mnaomcha, mtumainini Bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
12 O SENHOR tem se lembrado de nós; ele há de abençoar; ele abençoará a casa de Israel; ele abençoará a casa de Arão.
Bwana anatukumbuka na atatubariki: ataibariki nyumba ya Israeli, ataibariki nyumba ya Aroni,
13 Ele abençoará aos que temem ao SENHOR; tanto os pequenos como os grandes.
atawabariki wale wanaomcha Bwana, wadogo kwa wakubwa.
14 O SENHOR vos aumentará, vós e vossos filhos.
Bwana na awawezeshe kuongezeka, ninyi na watoto wenu.
15 Benditos sois vós [que pertenceis] ao SENHOR, que fez os céus e a terra.
Mbarikiwe na Bwana Muumba wa mbingu na dunia.
16 [Quanto] aos céus, os céus são do SENHOR; mas a terra ele deu aos filhos dos homens.
Mbingu zilizo juu sana ni mali ya Bwana, lakini dunia amempa mwanadamu.
17 Os mortos não louvam ao SENHOR, nem os que descem ao silêncio.
Sio wafu wanaomsifu Bwana, wale washukao mahali pa kimya,
18 Porém nós bendiremos ao SENHOR, desde agora e para sempre. Aleluia!
bali ni sisi tunaomtukuza Bwana, sasa na hata milele. Msifuni Bwana.

< Salmos 115 >