< Salmos 11 >
1 Salmo de Davi, para o regente: No SENHOR eu confio; como, pois, tu dizeis à minha alma: Fugi para vossa montanha, [como] um pássaro?
Ni kwako Yahweh ninapata usalama; ni kwa namna gani utasema na mimi, “Ruka kama ndege hadi mlimani”?
2 Porque eis que os maus estão armando o arco; eles estão pondo suas flechas na corda, para atirarem às escuras [com elas] aos corretos de coração.
Tazama! Waovu wana andaa pinde zao. Wana tayarisha gizani mishale yao kwenye kamba ili kufyatua mioyo ya wenye haki.
3 Se os fundamentos são destruídos, o que o justo pode fazer?
Ikiwa misingi imeharibiwa, mwenye haki atafanya nini?
4 O SENHOR está em seu santo Templo, o trono do SENHOR está nos céus; seus olhos observam com atenção; suas pálpebras provam aos filhos dos homens.
Yahweh yuko katika hekalu takatifu; macho yake yanatazama, yakiuchunguza ubinadamu.
5 O SENHOR prova ao justo; mas sua alma odeia ao perverso e ao que ama a violência.
Yahweh huwachunguza wote wenye haki na waovu, bali huwachukia wapendao kuwaumiza wengine.
6 Sobre os perversos choverá laços, fogo e enxofre; e o pagamento para seu cálice será vento tempestuoso.
Yeye huwanyeshea waovu makaa ya mawe na moto wa jehanamu; upepo uunguzao utakuwa ni sehemu yao kutoka katika kikombe chake!
7 Porque o SENHOR [é] justo, [e] ama as justiças; seu rosto presta atenção ao [que é] correto.
Kwa kuwa Yahweh ni mwenye haki, Naye hupenda haki; wenye haki watauona uso wake.