< Provérbios 29 >
1 O homem que age com teimosia, mesmo depois de muitas repreensões, será tão destruído que não terá mais cura.
Mtu aliyepokea makaripio mengi lakini anashupaza shingo yake atavunjika ndani ya muda mfupi na hata pona.
2 Quando os justos se engrandecem, o povo se alegra; mas quando o perverso domina, o povo geme.
Watenda mema wanapoongezeka, watu wanafurahi, bali wakati mtu mwovu anapotawala, watu huugua.
3 O homem que ama a sabedoria alegra a seu pai; mas o companheiro de prostitutas gasta os bens.
Mwenye kupenda hekima baba yake anafurahi, bali anayeshikamana na makahaba huuharibu utajiri wake.
4 O rei por meio da justiça firma a terra; mas o amigo de subornos a transtorna.
Mfalme huimarisha nchi kwa haki, bali mwenye kudai rushwa huirarua.
5 O homem que lisonjeia a seu próximo arma uma rede para seus pés.
Mtu anayejipendekeza kwa jirani yake anatandaza wavu kwenye miguu yake.
6 Na transgressão do homem mau há uma armadilha; mas o justo se alegra e se enche de alegria.
Mtu mbaya hunaswa kwenye mtego wa dhambi yake mwenyewe, bali yeye atendaye haki huimba na kufurahi.
7 O justo considera a causa judicial dos pobres; [mas] o perverso não entende [este] conhecimento.
Atendaye haki hutetea madai ya masikini; mtu mwovu hafahamu maarifa kama hayo.
8 Homens zombadores trazem confusão a cidade; mas os sábios desviam a ira.
Mwenye dhihaka huutia moto mji, bali wale wenye busara huigeuza ghadhabu.
9 O homem sábio que disputa no julgamento contra um tolo, mesmo se perturbado ou rindo, não terá descanso.
Mtu mwenye busara anapojadiliana na mpumbavu, hughadhabika na kucheka, hakutakuwa na utulivu.
10 Homens sanguinários odeiam o honesto; mas os corretos procuram o seu bem.
Mkatili humchukia mwenye ukamilifu na hutafuta maisha ya mwenye haki.
11 O louco mostra todo o seu ímpeto; mas o sábio o mantém sob controle.
Mpumabavu huonyesha hasira yake, bali mtu mwenye busara huishikilia na kujituliza mwenyewe.
12 O governante que dá atenção a palavras mentirosas, todos os seus servos serão perversos.
Kama matawala atazinagatia uongo, maafisa wake wote watakuwa waovu.
13 O pobre e o enganador se encontram: o SENHOR ilumina aos olhos de ambos.
Mtu masikini na mkandamizaji wanafanana, maana Yehova huyapa nuru macho yao wote.
14 O rei que julga aos pobres por meio da verdade, seu trono se firmará para sempre.
Kama mfalme atamhukumu masikini kwa uaminifu, kiti chake cha enzi kitaimarishwa milele.
15 A vara e a repreensão dão sabedoria; mas o rapaz deixado solto envergonha a sua mãe.
Fimbo na maonyo huleta hekima, bali mtoto huru mbali na makaripio humwaibisha mama yake.
16 Quando os perversos se multiplicam, multiplicam-se as transgressões; mas os justos verão sua queda.
Watu waovu wanapotawala, uovu huongezeka, bali wenye kutenda haki wataona anguko la watu waovu.
17 Castiga a teu filho, e ele te fará descansar, e dará prazeres à tua alma.
Mwadibishe mwanao naye atakupa pumziko; ataleta furaha katika maisha yako.
18 Não havendo visão profética, o povo fica confuso; porém o que guarda a lei, ele é bem-aventurado.
Pasipo na maono ya kinabii watu huenda bila utaratibu, bali mwenye kuitunza sheria amebarikiwa.
19 O servo não será corrigido por meio de palavras; porque [ainda que] entenda, mesmo assim ele não responderá [corretamente].
Mtumwa hawezi kurekebishwa kwa maneno, maana ingawa anaelewa, hakuna mwitikio.
20 Viste um homem precipitado em suas palavras? Mais esperança há para um tolo do que para ele.
Je unamwona mtu mwenye haraka katika maneno yake? Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko kwake.
21 Aquele que mima a seu servo desde a infância, por fim ele quererá ser [seu] filho.
Mwenye kumdekeza mtumwa wake tangu ujana, mwisho wake itakuwa taabu.
22 O homem que se irrita facilmente levanta brigas; e o furioso multiplica as transgressões.
Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi na bwana mwenye hasira sana hutenda dhambi nyingi.
23 A arrogância do homem o abaterá; mas o humilde de espírito obterá honra.
Kiburi cha mtu humshusha chini, bali mwenye roho ya unyenyekevu atapewa heshima.
24 Aquele que reparte com o ladrão odeia sua [própria] alma; ele ouve maldições e não [o] denuncia.
Anayeshirikiana na mwizi huyachukia maisha yake mwenyewe; husikia laana na wala hasemi chochote.
25 O temor do homem arma ciladas; mas o que confia no senhor ficará em segurança.
Kumwogopa binadamu ni mtego, bali mwenye kumtumaini Yehova atalindwa.
26 Muitos buscam a face do governante; mas o julgamento de cada um [vem] do SENHOR.
Wengi huutafuta uso wa mtawala, bali kutoka kwa Yehova huja haki kwa ajili yake.
27 O justos odeiam ao homem perverso; e o injusto odeia aos que andam no caminho correto.
Mtu dhalimu ni chukizo kwa wenye kutenda haki, bali mwenye njia ya haki ni chukizo kwa watu waovu.