< Provérbios 24 >

1 Não tenhas inveja dos homens malignos, nem desejes estar com eles;
Usiwaonee wivu watu waovu, usitamani ushirika nao;
2 Porque o coração deles imagina destruição, e os lábios deles falam de opressão.
kwa maana mioyo yao hupanga mambo ya jeuri, nayo midomo yao husema juu ya kuleta madhara.
3 Pela sabedoria a casa é edificada, e pelo entendimento ela fica firme;
Kwa hekima nyumba hujengwa, nayo kwa njia ya ufahamu huimarishwa
4 E pelo conhecimento os cômodos se encherão de riquezas preciosas e agradáveis.
kwa njia ya maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza.
5 O homem sábio é poderoso; e o homem que tem conhecimento aumenta [sua] força;
Mtu mwenye hekima ana uwezo mkubwa, naye mtu mwenye maarifa huongeza nguvu,
6 Porque com conselhos prudentes farás tua guerra; e a vitória [é alcançada] pela abundância de conselheiros.
kwa kufanya vita unahitaji uongozi na kwa ushindi washauri wengi.
7 A sabedoria é alta demais para o tolo; na porta [do julgamento] ele não abre sua boca.
Hekima i juu mno kwa mpumbavu, katika kusanyiko langoni hana lolote la kusema.
8 Quem planeja fazer o mal será chamado de vilão.
Yeye apangaye mabaya atajulikana kama mtu wa hila.
9 O pensamento do tolo é pecado; e o zombador é abominável aos homens.
Mipango ya upumbavu ni dhambi, watu huchukizwa na mwenye dhihaka.
10 [Se] te mostrares fraco no dia da angústia, como é pouca tua força!
Ukikata tamaa wakati wa taabu, jinsi gani nguvu zako ni kidogo!
11 Livra os que estão tomados para a morte, os que estão sendo levados para serem mortos;
Okoa wale wanaoongozwa kwenye kifo; wazuie wote wanaojikokota kuelekea machinjoni.
12 Pois se tu disseres: Eis que não sabíamos, Por acaso aquele que pesa os corações não saberá? Aquele que guarda tua alma não conhecerá? Ele retribuirá ao homem conforme sua obra.
Kama mkisema, “Lakini hatukujua lolote kuhusu hili,” je, yule apimaye mioyo halitambui hili? Je, yule awalindaye maisha yenu halijui hili? Je, hatamlipa kila mtu kulingana na aliyotenda?
13 Come mel, meu filho, porque é bom; e o favo de mel é doce ao teu paladar.
Ule asali mwanangu, kwa kuwa ni nzuri; asali kutoka kwenye sega ni tamu kwa kuonja.
14 Assim será o conhecimento da sabedoria para tua alma; se a encontrares haverá recompensa [para ti]; e tua esperança não será cortada.
Ujue pia kwamba hekima ni tamu kwa nafsi yako, kama ukiipata, kuna matumaini kwako ya siku zijazo, nalo tumaini lako halitakatiliwa mbali.
15 Tu, perverso, não espies a habitação do justo, nem assoles seu quarto;
Usivizie kama haramia afanyavyo ili kuyashambulia makao ya mwenye haki, wala usiyavamie makazi yake,
16 Porque o justo cai sete vezes, e se levanta; mas os perversos tropeçam no mal.
Kwa maana ingawa mtu mwenye haki huanguka mara saba, huinuka tena, lakini waovu huangushwa chini na maafa.
17 Quando teu inimigo cair, não te alegres; nem teu coração fique contente quando ele tropeçar,
Usitazame kwa kufurahia adui yako aangukapo; wakati ajikwaapo, usiruhusu moyo wako ushangilie.
18 Para que não [aconteça] de o SENHOR veja, e o desagrade, e desvie dele sua ira.
Bwana asije akaona na kuchukia akaiondoa ghadhabu yake mbali naye.
19 Não te irrites com os malfeitores, nem tenhas inveja dos perversos;
Usikasirike kwa sababu ya watu wabaya wala usiwaonee wivu waovu,
20 Porque o maligno não terá um bom futuro; a lâmpada dos perversos se apagará.
kwa maana mtu mbaya hana tumaini la siku zijazo, nayo taa ya waovu itazimwa.
21 Meu filho, teme ao SENHOR e ao rei; e não te envolvas com os rebeldes;
Mwanangu, mche Bwana na mfalme, wala usijiunge na waasi,
22 Porque a destruição deles se levantará de repente; e quem sabe que ruína eles terão?
kwa maana hao wawili watatuma maangamizi ya ghafula juu yao, naye ni nani ajuaye maafa wawezayo kuleta?
23 Estes [provérbios] também são para os sábios: fazer acepção de pessoas num julgamento não é bom.
Hii pia ni misemo ya wenye hekima: Kuonyesha upendeleo katika hukumu si vyema:
24 Aquele que disser ao ímpio: Tu és justo, Os povos o amaldiçoarão, as nações o detestarão.
Yeyote amwambiaye mwenye hatia, “Wewe huna hatia,” Kabila zitamlaani na mataifa yatamkana.
25 Mas para aqueles que [o] repreenderem, haverá coisas boas; e sobre eles virá uma boa bênção.
Bali itakuwa vyema kwa wale watakaowatia hatiani wenye hatia, nazo baraka tele zitawajilia juu yao.
26 Quem responde palavras corretas é [como se] estivesse beijando com os lábios.
Jawabu la uaminifu ni kama busu la midomoni.
27 Prepara o teu trabalho de fora, e deixa pronto o teu campo; então depois, edifica a tua casa.
Maliza kazi zako za nje, nawe uweke mashamba yako tayari, baada ya hayo, jenga nyumba yako.
28 Não sejas testemunha contra o teu próximo sem causa; por que enganarias com teus lábios?
Usishuhudie dhidi ya jirani yako bila sababu, au kutumia midomo yako kudanganya.
29 Não digas: Assim como ele fez a mim, assim também farei a ele; pagarei a cada um conforme sua obra.
Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda mimi; nitamlipiza mtu yule kwa kile alichonitendea.”
30 Passei junto ao campo do preguiçoso, e junto à vinha do homem sem juízo;
Nilipita karibu na shamba la mvivu, karibu na shamba la mizabibu la mtu asiye na akili,
31 e eis que ela estava toda cheia de espinheiros, [e] sua superfície coberta de urtigas; e o seu muro de pedras estava derrubado.
miiba ilikuwa imeota kila mahali, ardhi ilikuwa imefunikwa na magugu, na ukuta wa mawe ulikuwa umebomoka.
32 Quando eu vi [isso], aprendi em meu coração, e, olhando, recebi instrução:
Nikatafakari moyoni mwangu lile nililoliona, nami nikajifunza somo kutokana na niliyoyaona:
33 um pouco de sono, cochilando um pouco, cruzando as mãos por um pouco de tempo, deitado,
Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo, bado kukunja mikono kidogo upate kupumzika:
34 e assim a tua pobreza virá como um assaltante; a tua necessidade, como um homem armado.
hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi, na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.

< Provérbios 24 >