< Provérbios 20 >
1 O vinho é zombador, a bebida forte é causadora de alvoroços; e todo aquele que errar por causa deles não é sábio.
Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi; yeyote apotoshwaye navyo hana hekima.
2 O temor ao rei é como um rugido de leão; e quem se ira contra ele peca contra sua [própria] alma.
Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba; yeye amkasirishaye hupoteza uhai wake.
3 É honroso ao homem terminar a disputa; mas todo tolo nela se envolve.
Ni kwa heshima ya mtu kujitenga ugomvi, bali kila mpumbavu ni mwepesi kugombana.
4 O preguiçoso não lavra no inverno; [por isso] ele mendigará durante a ceifa, pois nada terá.
Mvivu halimi kwa majira; kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama lakini hapati chochote.
5 O conselho no coração do homem [é como] águas profundas; mas o homem prudente [consegue] tirá-lo para fora.
Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina, lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.
6 Muitos homens, cada um deles afirma ter bondade; porém o homem fiel, quem o encontrará?
Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma, bali mtu mwaminifu ni nani awezaye kumpata?
7 O justo caminha em sua integridade; bem-aventurados [serão] seus filhos depois dele.
Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama, wamebarikiwa watoto wake baada yake.
8 O rei, ao se sentar no trono do juízo, com seus olhos dissipa todo mal.
Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu, hupepeta ubaya wote kwa macho yake.
9 Quem poderá dizer: “Purifiquei meu coração; estou limpo de meu pecado”?
Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi; mimi ni safi na sina dhambi?”
10 Dois pesos e duas medidas, ambos são abominação ao SENHOR.
Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo tofauti, Bwana huchukia vyote viwili.
11 Até o jovem é conhecido pelas suas ações, se sua obra for pura e correta.
Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake, kama tabia yake ni safi na adili.
12 O ouvido que ouve e o olho que vê, o SENHOR os fez ambos.
Masikio yasikiayo na macho yaonayo, Bwana ndiye alivifanya vyote viwili.
13 Não ames ao sono, para que não empobreças; abre teus olhos, e te fartarás de pão.
Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini, uwe macho nawe utakuwa na chakula cha akiba.
14 [Preço] ruim, [preço] ruim, diz o comprador; mas quando vai embora, então se gaba.
“Haifai, haifai!” asema mnunuzi, kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.
15 Há ouro, e muitos rubis; mas os lábios do conhecimento são joia preciosa.
Dhahabu kunayo, na marijani kwa wingi, lakini midomo inenayo maarifa ni kito cha thamani kilicho adimu.
16 Toma a roupa daquele que fica por fiador de estranho; toma como penhor daquele [que fica por fiador] da estranha.
Chukua vazi la yule awekaye dhamana kwa ajili ya mgeni; lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo kwa ajili ya mwanamke mpotovu.
17 O pão da mentira é agradável ao homem; mas depois sua boca se encherá de pedregulhos.
Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu, bali huishia na kinywa kilichojaa changarawe.
18 Os planos são confirmados por meio do conselho; e com conselhos prudentes faze a guerra.
Fanya mipango kwa kutafuta mashauri, ukipigana vita, tafuta maelekezo.
19 Quem anda fofocando revela segredos; por isso não te envolvas com aquele que fala demais com seus lábios.
Maneno ya kusengenya husababisha kutokuaminika, kwa hiyo mwepuke mtu anayezungumza kupita kiasi.
20 Aquele que amaldiçoar a seu pai ou a sua mãe terá sua lâmpada apagada em trevas profundas.
Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake, taa yake itazimwa katika giza nene.
21 A herança ganha apressadamente no princípio, seu fim não será abençoado.
Urithi upatikanao haraka mwanzoni, hautabarikiwa mwishoni.
22 Não digas: Devolverei o mal; Espera pelo SENHOR, e ele te livrará.
Usiseme, “Nitakulipiza kwa ajili ya kosa hili!” Mngojee Bwana, naye atakuokoa.
23 O SENHOR abomina pesos falsificados; e balanças enganosas não são boas.
Bwana anachukia sana mawe ya kupimia ya udanganyifu, nazo mizani zisizo halali hazimpendezi.
24 Os passos do homem pertencem ao SENHOR; como, pois, o homem entenderá seu caminho?
Hatua za mtu huongozwa na Bwana. Anawezaje basi mtu yeyote kuelewa njia yake mwenyewe?
25 Armadilha ao homem é prometer precipitadamente algo como sagrado, e [somente] depois pensar na seriedade dos votos[ que fez].
Ni mtego kwa mtu kuweka wakfu kitu kwa haraka na baada ya kitambo kidogo kufikiria tena nadhiri zake.
26 O rei sábio espalha os perversos, e os atropela.
Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu, hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.
27 O espírito humano é uma lâmpada do SENHOR, que examina todo o interior do ventre.
Taa ya Bwana huchunguza roho ya mwanadamu, huchunguza utu wake wa ndani.
28 A bondade e a fidelidade protegem o rei; e com bondade seu trono é sustentado.
Upendo na uaminifu humweka mfalme salama, kwa njia ya upendo, kiti chake cha enzi huwa salama.
29 A beleza dos jovens é sua força; e a honra dos velhos é [seus] cabelos brancos.
Utukufu wa vijana ni nguvu zao, mvi ni fahari ya uzee.
30 Os golpes das feridas purificam os maus; como também as pancadas no interior do corpo.
Mapigo na majeraha huusafisha ubaya, nayo michapo hutakasa utu wa ndani.