< Números 33 >
1 Estas são as jornadas dos filhos de Israel, os quais saíram da terra do Egito por seus esquadrões, sob a condução de Moisés e Arão.
Hizi ndizo safari za wana wa Israeli hapo walipotoka katika nchi ya Misri pamoja na makundi yao ya kijeshi chini ya uongozi wa Musa na Haruni.
2 E Moisés escreveu suas saídas conforme suas jornadas por ordem do SENHOR. Estas, pois, são suas jornadas conforme suas partidas.
Musa aliandika maeneo yote tangu walipoondoka mpaka walipofika, kama alivyoamuriwa na BWANA. Hizi ndizo safari zao kama kutoka kwao kulivyokuwa kwa kila walipotoka.
3 De Ramessés partiram no mês primeiro, aos quinze dias do mês primeiro: no segundo dia da páscoa saíram os filhos de Israel com mão alta, à vista de todos os egípcios.
Mwezi wa kwanza walisafiri kutoka Ramesi, waliondoka siku ya kumi na tano. Asubuhi siku iliyofuata baada ya Pasaka, Wana wa Israeli waliondoka wazi wazi, mbele ya machoya Wamisri wote.
4 Estavam enterrando os egípcios os que o SENHOR havia matado deles, a todo primogênito; havendo o SENHOR feito também juízos em seus deuses.
Hii ilitokea wakati Wamisiri walipokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza, ambao BWANA alikuwa amewaua miongoni mwao, kwa kuwa pia alikuwa ameiadhibu miungu yao.
5 Partiram, pois, os filhos de Israel de Ramessés, e assentaram acampamento em Sucote.
Wana wa Israeli walisafiri kutoka Ramesi na kuweka kambi
6 E partindo de Sucote, assentaram em Etã, que está ao extremo do deserto.
Sukothi. Walisafiri toka Sukothi na kuweka kambi Ethamu, mwisho wa nyika.
7 E partindo de Etã, voltaram sobre Pi-Hairote, que está diante de Baal-Zefom, e assentaram diante de Migdol.
Wakasafiri kutoka Ethamu wakarudi mpaka Pi-Hahirothi, ambayo inaikabili Baali Zephoni, ambapo waliweka kambi kuikabili Migidoli
8 E partindo de Pi-Hairote, passaram por meio do mar ao deserto, e andaram caminho de três dias pelo deserto de Etã, e assentaram em Mara.
Kisha wakasafiri toka mkabala wa Pi-Hairothi na kupita katikati ya bahari kuelekea nyikani. Wakasafiri safari ya siku tatu katika nyika ya Ethamu na kuweka kambi Mara.
9 E partindo de Mara, vieram a Elim, de onde havia doze fontes de águas, e setenta palmeiras; e assentaram ali.
Wakasafiri kutoka Mara kufika Elimu. Pale Elimu kulikuwa na chemichemi kumi na mbili za maji na miti sabini ya mitende. hapo ndipo walipoweka kambi.
10 E partidos de Elim, assentaram junto ao mar Vermelho.
Walisafiri kutoka Elimu na kuweka kambi karibu na Bahari ya Shamu.
11 E partidos do mar Vermelho, assentaram no deserto de Sim.
Walisafiri kutoka Bahari ya Shamu na kuweka kambi katika nyika ya Sini.
12 E partidos do deserto de Sim, assentaram em Dofca.
Walisafiri kutoka nyika ya Sini na kuweka kambi Dofka.
13 E partidos de Dofca, assentaram em Alus.
Wakasafiri kutoka Dofka na kuweka kambi Alushi.
14 E partidos de Alus, assentaram em Refidim, onde o povo não teve águas para beber.
Wakasafiri kutoka Alushi na kuweka kambi Refidimu, ambapo watu walikosa maji ya kunywa.
15 E partidos de Refidim, assentaram no deserto de Sinai.
Walisafiri kutoka Refidimu na kuweka kambi kwenye nyika ya Sinai.
16 E partidos do deserto de Sinai, assentaram em Quibrote-Taavá.
Walisafiri kutoka nyika ya Sinai na kuweka kambi Kibrothi Hataava.
17 E partidos de Quibrote-Taavá, assentaram em Hazerote.
Walisafiri kutoka Kibrothi Hataava na kuweka kambi Hazerothi.
18 E partidos de Hazerote, assentaram em Ritmá.
Walisafiri kutoka Hazerothi na kuweka kambi Rithima.
19 E partidos de Ritmá, assentaram em Rimom-Perez.
Walisafiri kutoka Rithima na kuweka kambi Rimoni Perezi.
20 E partidos de Rimom-Perez, assentaram em Libna.
Walisafiri kutoka Rimoni Perezi na kuweka kambi Libna.
21 E partidos de Libna, assentaram em Rissa.
Walisafiri kutoka Libna na kuweka kambi Risa.
22 E partidos de Rissa, assentaram em Queelata,
Walisafiri kutoka Risa na kuweka kambi Kehelatha.
23 E partidos de Queelata, assentaram no monte de Séfer.
Walisafiri kutoka Kehelatha na kuweka kambi kwenye Mlima Sheferi.
24 E partidos do monte de Séfer, assentaram em Harada.
Walisafiri kutoka Mlima Sheferi na kuweka kambi Harada.
25 E partidos de Harada, assentaram em Maquelote.
Walisafiri kutoka Harada na kuweka kambi Makelothi.
26 E partidos de Maquelote, assentaram em Taate.
Walisafiri kutoka Makelothi na kuweka kambi Tahathi.
27 E partidos de Taate, assentaram em Tera.
Walisafiri kutoka Ttahalathi na kuweka kambi Tera.
28 E partidos de Tera, assentaram em Mitca.
Walisafiri kutokaTera na kuweka kambi Mithika.
29 E partidos de Mitca, assentaram em Hasmona.
Walisafiri kutoka Mithika na kuweka kambi Hashimona.
30 E partidos de Hasmona, assentaram em Moserote.
Walisafiri kutoka Hashimona na kuweka kambi Moserothi.
31 E partidos de Moserote, assentaram em Bene-Jaacã.
Walisafiri kutoka Moserothi na kuweka kambi Bene Jaakani.
32 E partidos de Bene-Jaacã, assentaram em Hor-Gidgade.
Walisafiri kutoka Bene Jaakani na kuweka kambi Hori Hagidigadi.
33 E partidos de Hor-Gidgade, assentaram em Jotbatá.
Walisafiri kutoka Hori Hagidigadi na kuweka kambi Jotibatha.
34 E partidos de Jotbatá, assentaram em Abrona.
Walisafiri kutoka Jotibatha na kuweka kambi Abrona.
35 E partidos de Abrona, assentaram em Eziom-Geber.
Walisafiri kutoka Abrona na kuweka kambi Ezioni Geberi.
36 E partidos de Eziom-Geber, assentaram no deserto de Zim, que é Cades.
Walisafiri toka Ezioini Geberi na kuweka kambi katika nyika ya Sini kule Kadeshi.
37 E partidos de Cades, assentaram no monte de Hor, na extremidade da terra de Edom.
Walisafiri kutoka Kadeshi na kuweka kambi Mlima Hori, Pembezoni mwa nchi ya Edomu.
38 E subiu Arão o sacerdote ao monte de Hor, conforme o dito do SENHOR, e ali morreu aos quarenta anos da saída dos filhos de Israel da terra do Egito, no mês quinto, no primeiro dia do mês.
Hapo ndipo Haruni kuhani alipoenda kwenye Mlima Hori kwa amri ya BWANA na kufa kule mwaka wa arobaini bada ya Wisraeli kutoka katika nchi ya Misri, katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano.
39 E era Arão de idade de cento e vinte e três anos, quando morreu no monte de Hor.
Haruni alikuwa na umri wa mika 123 alipokufa pale juu ya Mlima Hori.
40 E o cananeu, rei de Arade, que habitava ao sul na terra de Canaã, ouviu como haviam vindo os filhos de Israel.
Wakanaani, mfalme wa Aradi, ambao waliishi kusini mwa nyika katika nchi ya Kanaani, walisikia juu ya ujio wa wana wa Israeli.
41 E partidos do monte de Hor, assentaram em Zalmona.
Walisafiri kutika Mlima Hori n a kuweka kambi Zalimona.
42 E partidos de Zalmona, assentaram em Punom.
Walisafiri kutoka Zalimona na kuweka kambi Punoni.
43 E partidos de Punom, assentaram em Obote.
Walisafiri kutoka Punoni na kuweka kambi Obothi.
44 E partidos de Obote, assentaram em Ijé-Abarim; no termo de Moabe.
Walisafiri kutoka Obothi na kuweka kambi Abarimu, katika mpaka wa Moabu.
45 E partidos de Ijé-Abarim, assentaram em Dibom-Gade.
Walisafiri kutoka Abarimu na kuweka kambi Diboni Gadi.
46 E partidos de Dibom-Gade, assentaram em Almom-Diblataim.
Walisafiri kutoka Diboni Gadi na kuweka kambi Alimoni Diblathaimu.
47 E partidos de Almom-Diblataim, assentaram nos montes de Abarim, diante de Nebo.
Walisafiri kutoka Alimoni Diblathaimu na kuweka kambi kwenye milima ya Abarimu mkabala na Nebo.
48 E partidos dos montes de Abarim, assentaram nos campos de Moabe, junto ao Jordão de Jericó.
Walisafiri kutoka mlima wa Abarimuna kuweka kambi kwenye nyanda za Moabu karibu na Yorodani huko Yeriko.
49 Finalmente assentaram junto ao Jordão, desde Bete-Jesimote até Abel-Sitim, nos campos de Moabe.
Waliweka kambi karibu na Yorodani, kutoka Bethi Jeshimothi mpaka Abeli Shitimu katika nyanda za Moabu.
50 E falou o SENHOR a Moisés nos campos de Moabe junto ao Jordão de Jericó, dizendo:
Hapo BWANA alinenana Musa katika nyanda za Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko akasema,
51 Fala aos filhos de Israel, e dize-lhes: Quando houverdes passado o Jordão à terra de Canaã,
“Nena na wana wa Israeli uwaambie. 'Mtakapovuka mto Yorodani kuingia Kanaani,
52 Expulsareis a todos os moradores daquela terra de diante de vós, e destruireis todas suas imagens esculpidas, e todas as suas imagens de fundição, e arruinareis todos os seus altares pagãos;
ndipo mtakapowafukuza wenyeji wote mbele yenu. Mtaziharibu sanamu zote za kuchongwa. Mtaziharibu sanamu zao za kusubu na kuharibu mahali pao pote palipoinuka.
53 E expulsareis os moradores da terra, e habitareis nela; porque eu a dei a vós para que a possuais.
Mtachukua hiyo ardhi iwe mali yenu na muishi ndani yake, kwa sababu nimewapeni hiyo nchi iwe mali yenu.
54 E herdareis a terra por sortes por vossas famílias: aos muitos dareis muito por sua herança, e aos poucos dareis menos por herança sua: onde lhe sair a sorte, ali a terá cada um: pelas tribos de vossos pais herdareis.
Mtairithi hiyo nchi kwa kupiga kura, kwa kufuata kila ukoo. Kwa zile koo kubwa kubwa mtawapa sehemu kubwa ya ardhi, na kwa zile koo ndogo ndogo mtawapa sehemu ndogo ya ardhi. Kura itakapoanguka kwenye kila ukoo, hiyo ardhi itakuwa mali yake. Mtairithi ardhi kufuata ukoo wa kabilla la jamaa zenu.
55 E se não expulsardes os moradores daquela terra de diante de vós, sucederá que os que deixardes deles serão por aguilhões em vossos olhos, e por espinhos em vossos lados, e vos afligirão sobre a terra em que vós habitardes.
Lakini kama hamtawafukuza wenyeji wa nchi hiyo watoke mbele yenu, ndipo wale watu mtakaowaruhusu wakae nanyi watakapokuwa kama sindano machoni mwenu na miiba katika mbavu zenu. Watayafanya maisha yenu yawe magumu katika nchi mnayoishi.
56 Será também, que farei a vós como eu pensei fazer a eles.
Ndipo itakapotokea kuwa kile ambacho Mimi ninakusudia kufanya kwa wale watu, Nitawafanyia pia ninyi'”