< 7 >

1 Por acaso o ser humano não tem um trabalho duro sobre a terra, e não são seus dias como os dias de um assalariado?
Je mtu hana kazi ngumu juu ya nchi? Je siku zake si kama siku za mwajiriwa?
2 Como o servo suspira pela sombra, e como o assalariado espera por seu pagamento,
Kama mtumwa atamaniye sana kivuli cha jioni, kama mwajiriwa atafutaye ujira wake -
3 Assim também me deram por herança meses inúteis, e me prepararam noites de sofrimento.
hivyo nami nimeumbwa kuvumilia miezi ya taabu; Nami nimepewa taabu - zimeujaza usiku.
4 Quando eu me deito, pergunto: Quando me levantarei? Mas a noite se prolonga, e me canso de me virar [na cama] até o amanhecer.
Hapo nilalapo chini, najiuliza mwenyewe, 'Lini nitatoka kitandani na lini usiku utatoweka?' Nimejawa na kujitupa huku na huko hadi mwanzo wa siku.
5 Minha carne está coberta de vermes e de crostas de pó; meu pele está rachada e horrível.
Mwili wangu umevikwa minyoo na madonda yenye vumbi; maumivu katika ngozi yangu yamekuwa magumu na kisha hutoweka na huendelea tena.
6 Meus dias são mais rápidos que a lançadeira do tecelão, e perecem sem esperança.
Siku zangu zinakimbia kuliko chombo cha kufumia; zinapita bila tumaini.
7 Lembra-te que minha vida é um sopro; meus olhos não voltarão a ver o bem.
Mungu, anakumbuka kwamba maisha yangu ni pumzi tu; jicho langu halitaona mema tena.
8 Os olhos dos que me veem não me verão mais; teus olhos estarão sobre mim, porém deixarei de existir.
Jicho lake Mungu, huyo anionaye mimi, halitaniangalia tena; Macho ya Mungu yatanitazama, lakini sitakuwako.
9 A nuvem se esvaece, e passa; assim também quem desce ao Xeol nunca voltará a subir. (Sheol h7585)
kama vile wingu liishavyo na kutoweka, hivyo wale waendao sheoli hawatarudi tena kabisa. (Sheol h7585)
10 Nunca mais voltará à sua casa, nem seu lugar o conhecerá.
Yeye hatarudi tena nyumbani kwake, wala mahali pake hapatamtambua tena.
11 Por isso eu não calarei minha boca; falarei na angústia do meu espírito, e me queixarei na amargura de minha alma.
Kwa sababu hiyo sitakizuia kinywa changu; Nitasema juu ya maumivu makubwa ya roho yangu; Nitanung'unika juu ya uchungu wa nafsi yangu.
12 Por acaso sou eu o mar, ou um monstro marinho, para que me ponhas guarda?
Je mimi ni bahari au kiumbe cha kutisha baharini hata ukaweka mlinzi juu yangu?
13 Quando eu digo: Minha cama me consolará; meu leito aliviará minhas queixa,
Hapo nisemapo, 'kitanda changu kitanifariji, na malazi yangu yatatuliza manung'uniko yangu,'
14 Então tu me espantas com sonhos, e me assombras com visões.
halafu unitishapo kwa ndoto na kunitisha kwa maono,
15 Por isso minha alma preferia a asfixia [e] a morte, mais que meus ossos.
ili nichague kunyongwa na kufa kuliko kulinda mifupa yangu hii.
16 Odeio [a minha vida]; não viverei para sempre; deixa-me, pois que meus dias são inúteis.
Ninayachukia kabisa maisha yangu; sitamani siku zote kuwa hai; usinisumbue maana siku zangu hazifai.
17 O que é o ser humano, para que tanto o estimes, e ponhas sobre ele teu coração,
Je mtu ni nini hata ukatia bidii kwake, na ukaweka akili yako kwake,
18 E o visites a cada manhã, e a cada momento o proves?
na kumwangalia kila asubuhi, na kumjaribu kila mara?
19 Até quando não me deixarás, nem me liberarás até que eu engula minha saliva?
Je itachukuwa muda gani kabla hujaacha kuniangalia, wala kunisumbua muda wa kutosha kwaajili ya kumeza mate yangu?
20 Se pequei, o eu que te fiz, ó Guarda dos homens? Por que me fizeste de alvo de dardos, para que eu seja pesado para mim mesmo?
Hata kama nimefanya dhambi, itakusaidia nini, wewe ulindaye wanadamu? Kwa nini umenifanya shabaha yako, kiasi kwamba nimekuwa mzigo kwako?
21 E por que não perdoas minha transgressão, e tiras minha maldade? Porque agora dormirei no pó, e me buscarás de manhã, porém não mais existirei.
Kwa nini hunisamehi makosa yangu na kuniondolea uovu wangu? kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; na wewe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwako.”

< 7 >