< 6 >

1 Mas Jó respondeu, dizendo:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 Oh se pesassem justamente minha aflição, e meu tormento juntamente fosse posto em uma balança!
“Oo, laiti maumivu yangu makubwa yangepimwa; laiti misiba yangu yote mikubwa ingewekwa kwenye mizani!
3 Pois na verdade seria mais pesada que a areia dos mares; por isso minhas palavras têm sido impulsivas.
Kwa kuwa sasa ungekuwa mzito kuliko mchanga wa baharini. Kwa sababu hiyo maneno yangu yamekuwa ya haraka.
4 Porque as flechas do Todo-Poderoso estão em mim, cujo veneno meu espírito bebe; e temores de Deus me atacam.
Kwa kuwa mishale ya Mwenyezi ipo ndani yangu, moyo wangu umelewa sumu; Vitisho vya Mungu vimejipanga vyenyewe dhidi yangu.
5 Por acaso o asno selvagem zurra junto à erva, ou o boi berra junto a seu pasto?
Je punda mwitu hulia akiwa na malisho? Au ng'ombe huwa dhaifu wakati wa njaa ambapo anachakula?
6 Por acaso se come o insípido sem sal? Ou há gosto na clara do ovo?
Je inawezekana kitu kisicho na ladha kulika bila chumvi? Au kuna radha yoyote katika ute mweupe wa yai?
7 Minha alma se recusa tocar [essas coisas], que são para mim como comida detestável.
Nakataa kuvigusa; kwangu mimi vinafanana na chakula kichukizacho.
8 Ah se meu pedido fosse realizado, e se Deus [me] desse o que espero!
Oo, kama nigeweza kupata haja yangu; oo, kama Mungu angeridhia jambo nilitamanilo sana:
9 Que Deus me destruísse; ele soltasse sua mão, e acabasse comigo!
kama Mungu ingempendeza kuniangamiza mara moja, kwamba angeulegeza mkono wake na kuyakatilia mbali maisha yangu!
10 Isto ainda seria meu consolo, um alívio em meio ao tormento que não [me] poupa; pois eu não tenho escondido as palavras do Santo.
Hii ingeweza kuwa faraja yangu hata sasa - hata kama nafurahia sana maumivu yasiyopungua: kwa kuwa sikuyakana maneno yake Mtakatifu.
11 Qual é minha força para que eu espere? E qual meu fim, para que eu prolongue minha vida?
Nguvu yangu ni ipi, hata nijaribu kusubiri? Mwisho wangu ni upi, utakao refusha maisha yangu?
12 É, por acaso, a minha força a força de pedras? Minha carne é de bronze?
Je nguvu zangu ni nguvu za mawe? Au mwili wangu umeumbwa kwa shaba nyeusi?
13 Tenho eu como ajudar a mim mesmo, se todo auxílio me foi tirado?
Je si kweli kwamba sina msaada ndani yangu, na kwamba hekima imeondolewa mbali nami?
14 Ao aflito, seus amigos deviam ser misericordiosos, mesmo se ele tivesse abandonado o temor ao Todo-Poderoso.
Kwa mtu ambaye yu karibu kuzirai, inapasa uaminifu uonyeshwe na rafiki zake; hata kwake yeye aachaye kumcha Mwenyezi.
15 Meus irmãos foram traiçoeiros comigo, como ribeiro, como correntes de águas que transbordam,
Lakini ndugu zangu wamekuwa waaminifu kwangu kama mkondo wa maji jangwani, mfano wa mifereji ya maji ipitayo mpaka pasipo kitu,
16 Que estão escurecidas pelo gelo, e nelas se esconde a neve;
ambayo imekuwa mieusi kwa sababu ya barafu juu yake, na kwa sababu ya theluji ambayo hujificha yenyewe ndani yake.
17 Que no tempo do calor se secam e, ao se aquecerem, desaparecem de seu lugar;
Wakati zikiyeyuka, hutoweka; kukiwa na joto, hutoweka mahali hapo.
18 Os cursos de seus caminhos se desviam; vão se minguando, e perecem.
Misafara ambayo husafiri kwa njia yao hugeuka na maji; huzurura jangwani na kisha hupotea.
19 As caravanas de Temã as veem; os viajantes de Sabá esperam por elas.
Misafara kutoka Tema huitazama, wakati majeshi ya Sheba huitarajia.
20 Foram envergonhados por aquilo em que confiavam; e ao chegarem ali, ficaram desapontados.
Wamevunjika moyo kwa sababu walitumaini kupata maji. Wakaenda huko, lakini walidanganywa.
21 Agora, vós vos tornastes semelhantes a elas; pois vistes o terror, e temestes.
Kwa sasa ninyi rafiki si kitu kwangu; mmeona hali yangu ya kutisha nanyi mwaogopa.
22 Por acaso eu disse: Trazei-me [algo]? Ou: Dai presente a mim de vossa riqueza?
Je nilisema kwenu, 'Nipeni kitu furani?' Au, 'nitoleeni zawadi katika mali zenu?'
23 Ou: Livrai-me da mão do opressor? Ou: Resgatai-me das mãos dos violentos?
Au, 'Niokoeni toka mkononi mwa mtesi wangu?' Au, 'Nitoleeni fidia kwa watesi wangu?'
24 Ensinai-me, e eu [me] calarei; e fazei-me entender em que errei.
Nifundishe, nami nitaishika amani yangu; nifanye nifahamu wapi nilipokosea.
25 Como são fortes as palavras de boa razão! Mas o que vossa repreensão reprova?
Jinsi gani maneno ya kweli yanavyo umiza! Lakini hoja zenu, jee hasa zimenionya nini mimi?
26 Pretendeis repreender palavras, sendo que os argumentos do desesperado são como o vento?
Je mnapanga kuyakemea maneno yangu, mnayachukulia maneno ya mtu mwenye kukata tamaa sawa na upepo?
27 De fato vós lançaríeis [sortes] sobre o órfão, e venderíeis vosso amigo.
Hasa, mna piga kura kwa ajili ya yatima, na kupatana bei juu ya rafiki yenu kama bidhaa.
28 Agora, pois, disponde-vos a olhar para mim; e [vede] se eu minto diante de vós.
Sasa, kwa sababu hiyo, tafadhari nitazame, kwa hakika sitasema uongo usoni penu.
29 Mudai de opinião, pois, e não haja perversidade; mudai de opinião, pois minha justiça continua.
Rudini, nawasihi; lisiwepo neno la uonevu na nyinyi; Hasa, rudini, sababu zangu ni za haki.
30 Há perversidade em minha língua? Não poderia meu paladar discernir as coisas más?
Je mna uovu ulimini mwangu? Je kinywa changu hakiwezi kungundua madhara?

< 6 >