< 34 >

1 Eliú respondeu mais, dizendo:
Zaidi ya hayo, Elihu aliendelea kusema:
2 Ouvi, vós sábios, minhas palavras; e vós, inteligentes, dai-me ouvidos.
“Sikilizeni maneno yangu, ninyi watu wenye hekima; nisikieni, ninyi mlio na maarifa.
3 Porque o ouvido prova as palavras, assim como o paladar experimenta a comida.
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama ambavyo kaakaa huonja chakula.
4 Escolhamos para nós o que é correto, [e] conheçamos entre nós o que é bom.
Na tujichagulie sisi wenyewe yale yenye adili: na tujigundulie miongoni mwetu yale yaliyo mazuri.
5 Pois Jó disse: Eu sou justo, e Deus tem me tirado meu direito.
Kwa kuwa Ayubu amesema, 'mimi ni mwenye haki, lakini Mungu ameondoa haki zangu.
6 Por acaso devo eu mentir quanto ao meu direito? Minha ferida é dolorosa mesmo que eu não tenha transgressão.
Pamoja na haki zangu, ninaangaliwa kama mwongo. Kidonda changu hakiponyeki, ingawa mimi sina dhambi.'
7 Que homem há como Jó, que bebe o escárnio como água?
Ni mtu gani aliye kama Ayubu ambaye hunywa dharau kama maji,
8 E que caminha na companhia dos que praticam maldade, e anda com homens perversos?
ambaye huzunguka katika ushirika wa watu ambao ni waovu, na ambaye hutembea pamoja na watu waovu?
9 Porque disse: De nada aproveita ao homem agradar-se em Deus.
Kwa kuwa anasema, ' Hakuna faida kwa mtu kujifurahisha kwa kufanya mambo ambayo Mungu anayataka.'
10 Portanto vós, homens de bom-senso, escutai-me; longe de Deus esteja a maldade, e do Todo- Poderoso a perversidade!
Basi nisikilizeni mimi, enyi watu wenye ufahamu: na iwe mbali na Mungu kwamba atatenda uovu;
11 Porque ele paga ao ser humano [conforme] sua obra, e faz a cada um conforme o seu caminho.
na iwe mbali na Mwenye enzi kwamba atatenda dhambi. Kwa kuwa humlipa mtu kutokana na kazi yake; na humfanya mtu apate thawabu za njia zake mwenyewe.
12 Certamente Deus não faz injustiça, e o Todo-Poderoso não perverte o direito.
Kwa hakika, Mungu hatendi uovu, wala Mwenye nguvu hajaIpotosha haki.
13 Quem o pôs para administrar a terra? E quem dispôs a todo o mundo?
Ni nani aliyemweka kuwa mtawala wa dunia? Ni nani aliyeiweka dunia yote chini yake?
14 Se ele tomasse a decisão, e recolhesse para si seu espírito e seu fôlego,
Ikiwa aliweka makusudio yake juu yake mwenyewe, na kama amejikusanyia mwenyewe nafsi yake na pumzi yake,
15 Toda carne juntamente expiraria, e o ser humano se tornaria em pó.
basi miili yote itateketea pamoja; mwanadamu angerudi mavumbini tena.
16 Se pois há [em ti] entendimento, ouve isto: dá ouvidos ao som de minhas palavras.
Kama sasa mna ufahamu, sikilizeni haya; sikilizeni sauti ya maneno yangu.
17 Por acaso quem odeia a justiça poderá governar? E condenarás tu ao Poderoso Justo?
Je yeye anayeichukia haki aweza kutawala? Je mtamhukumu Mungu kuwa ni mwenye makosa, ambaye ni mwenye haki na mwenye nguvu?
18 Pode, por acaso, o rei ser chamado de vil, [e] os príncipes de perversos?
Mungu ambaye humwambia mfalme, ' Wewe ni mbaya; au huwaambia wenye kuheshimiwa, 'Ninyi ni waovu'?
19 [Quanto menos] a aquele que não faz acepção de pessoas de príncipes, nem valoriza mais o rico que o pobre! Pois todos são obras de suas mãos.
Mungu ambaye haoneshi upendeleo kwa viongozi na ambaye hawakubali zaidi watu matajiri kuliko masikini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake.
20 Em um momento morrem; e à meia noite os povos são sacudidos, e passam; e o poderoso será tomado sem ação humana.
Watakufa kwa muda mfupi; wakati wa usiku watu watatikiswa na watapita; watu wenye nguvu watatwaliwa mbali, lakini si kwa mikono ya wanadamu.
21 Porque seus olhos estão sobre os caminhos do homem, e ele vê todos os seus passos.
Kwa kuwa macho ya Mungu yako juu ya njia za mtu; anaziona hatua zake zote.
22 Não há trevas nem sombra de morte em que os que praticam maldade possam se esconder.
Hakuna giza, wala hakuna weusi mzito ambao watenda mabaya wanaweza kujificha wao wenyewe.
23 Pois ele não precisa observar tanto ao homem para que este possa entrar em juízo com Deus.
Kwa kuwa Mungu hahitaji kumchunguza mtu zaidi; wala hakuna haja kwa mtu yeyote kwenda mbele zake kwa hukumu.
24 Ele quebranta aos fortes sem [precisar de] investigação, e põe outros em seu lugar.
Huwavunja vipande vipande watu wenye nguvu kwa ajili ya njia zao ambazo hazihitaji uchunguzi zaidi; huwaweka watu wengine katika nafasi zao.
25 Visto que ele conhece suas obras, de noite os trastorna, e ficam destroçados.
Kwa namna hii ana maarifa juu ya matendo yao; huwatupa watu hawa wakati wa usiku; nao wameangamizwa.
26 Ele os espanca à vista pública por serem maus.
Huwaua kwa matendo yao mabaya kama wakosaji dhahiri mbele za watu wengine
27 Pois eles se desviaram de segui-lo, e não deram atenção a nenhum de seus caminhos.
kwasababu wamegeuka na kuacha kumfuata yeye na wamekataa kuzisadiki njia zake zozote.
28 Assim fizeram com que viesse a ele o clamor do pobre, e ele ouvisse o clamor dos aflitos.
Na kwa namna hii, wamekifanya kilio cha watu masikini kimfikie; amekisikia kilio cha watu walioteswa.
29 E se ele ficar quieto, quem [o] condenará? Se ele esconder o rosto, quem o olhará? [Ele está] quer sobre um povo, quer sobre um único ser humano,
Na wakati akaapo kimya, nani aweza kumhukumu kuwa mkosaji? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumjua? Anatawala sawa sawa juu ya taifa na mtu pia,
30 Para que a pessoa hipócrita não reine, [e] não haja ciladas ao povo.
ili kwamba watu wasiomjua Mungu wasije wakatawala, ili kwamba asiwepo mtu wa kuwanasa watu.
31 Por que [não tão somente] se diz: Suportei [teu castigo] não farei mais o que é errado;
Fikiria mtu akimwambia Mungu, ' Mimi ni mwenye hatia kabisa, lakini sitatenda dhambi tena;
32 Ensina-me o que não vejo; se fiz alguma maldade, nunca mais a farei?
nifunze kile ambacho siwezi kukiona; nimetenda dhambi, lakini sitafanya tena.'
33 Será a recompensa da parte dele como tu queres, para que a recuses? És tu que escolhes, e não eu; o que tu sabes, fala.
Je unadhani kwamba Mungu ataiadhibu dhambi ya mtu huyo, kwa kuwa unayachukia yale ambayo Mungu huyatenda? Ni lazima uchague, siyo mimi. Basi sema yale ambayo unayajua.
34 As pessoas de entendimento dirão comigo, e o homem sábio me ouvirá;
Watu wenye ufahamu wataniambia, kwa kweli, kila mtu mwenye hekima ambaye hunisikia atasema,
35 Jó não fala com conhecimento, e a suas palavras falta prudência.
Ayubu anazungumza bila maarifa; maneno yake hayana hekima.'
36 Queria eu que Jó fosse provado até o fim, por causa de suas respostas comparáveis a de homens malignos.
Kama Ayubu alijaribiwa kwa kitu kidogo kabisa katika kesi yake kwasababu ya kuongea kwake kama watu waovu.
37 Pois ao seu pecado ele acrescentou rebeldia; ele bate as mãos [de forma desrespeitosa] entre nós, e multiplica suas palavras contra Deus.
Kwa kuwa anaongeza uasi juu ya dhambi yake; anapiga makofi ya dharau kati yetu; anaweka maneno kinyume na Mungu.”

< 34 >