< 26 >

1 Porém Jó respondeu, dizendo:
Kisha Ayubu akajibu:
2 Como tende ajudado ao que não tem força, [e] sustentado ao braço sem vigor!
“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
3 Como tende aconselhado ao que não tem conhecimento, e [lhe] explicaste detalhadamente a verdadeira causa!
Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
4 A quem tens dito [tais] palavras? E de quem é o espírito que sai de ti?
Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
5 Os mortos tremem debaixo das águas com os seus moradores.
“Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
6 O Xeol está nu perante Deus, e não há cobertura para a perdição. (Sheol h7585)
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol h7585)
7 Ele estende o norte sobre o vazio, suspende a terra sobre o nada.
Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
8 Ele amarra as águas em suas nuvens, todavia a nuvem não se rasga debaixo dela.
Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
9 Ele encobre a face de seu trono, e sobre ele estende sua nuvem.
Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
10 Ele determinou limite à superfície das águas, até a fronteira entre a luz e as trevas.
Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
11 As colunas do céu tremem, e se espantam por sua repreensão.
Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
12 Ele agita o mar com seu poder, e com seu entendimento fere abate a Raabe.
Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
13 Por seu Espírito adornou os céus; sua mão perfurou a serpente veloz.
Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
14 Eis que estas são [somente] as bordas de seus caminhos; e quão pouco é o que temos ouvido dele! Quem, pois, entenderia o trovão de seu poder?
Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”

< 26 >