< 20 >

1 E Zofar, o naamita, respondeu, dizendo:
Ndipo Sofari, Mnaamathi alijibu na kusema,
2 Por isso meus meus pensamentos me fazem responder; por causa da agitação dentro de mim.
“Mawazo yangu yananifanya mimi nijibu kwa haraka kwa sababu ya mashaka yaliyomo ndani yangu mimi.
3 Eu ouvi a repreensão que me envergonha; mas o espírito desde o meu entendimento responderá por mim.
Mimi ninasikia kukemewa ambako kunaniondolea heshima mimi, lakini roho kutoka katika ufahamu wangu hunijibu mimi.
4 Por acaso não sabes isto, [que foi] desde a antiguidade, desde que o ser humano foi posto no mundo?
Je, unafahamu kwamba ukweli huu kutoka enzi za kale, wakati Mungu alipomweka mwanadamu juu ya nchi:
5 Que o júbilo dos perversos é breve, e a alegria do hipócrita [dura apenas] um momento?
ushindi wa mtu mwovu ni mfupi, na furaha ya mtu asiyemcha Mungu hudumu kwa kitambo tu?
6 Ainda que sua altura subisse até o céu, e sua cabeça chegasse até as nuvens,
Ingawa urefu wake yeye hufikia juu kwenye mbingu, na kichwa chake yeye kufikia kwenye mawingu,
7 [Mesmo assim] com o seu excremento perecerá para sempre; os que houverem o visto, dirão: Onde ele está?
bado mtu huyo atapotea siku zote kama mavi yake yeye mwenyewe; wale waliokuwa wamemuona yeye watasema, 'Yuko wapi yeye'?
8 Como um sonho voará, e não será achado; e será afugentado como a visão noturna.
Yeye atapaa mbali kama ndoto na hataonekana; ndivyo ilivyo, yeye atakuwa amefukuzwa mbali kama ono la
9 O olho que já o viu nunca mais o verá; nem seu lugar olhará mais para ele.
usiku. Jicho ambalo lilimuona yeye halitamuona yeye tena; mahali pake hapatamuona yeye tena.
10 Seus filhos procurarão o favor dos pobres; e suas mãos devolverão a sua riqueza.
Watoto wake wataomba msamaha kwa watu maskini, mikono yake itaweza kurudisha utajiri wake.
11 Seus ossos estão cheios de sua juventude, que juntamente com ele se deitará no pó.
Mifupa yake imejaa nguvu za ujanani, lakini zitalala naye chini katika mavumbi.
12 Se o mal é doce em sua boca, e o esconde debaixo de sua língua;
Japokuwa uovu ni mtamu katika mdomo wake yeye, japokuwa yeye anauficha chini ya ulimi wake yeye,
13 Se o guarda para si, e não o abandona; ao contrário, o retém em sua boca.
japokuwa anaushikilia pale na hauruhusu kwenda lakini bado huushikilia katika mdomo wake yeye -
14 Sua comida se mudará em suas entranhas, veneno de cobras será em seu interior.
chakula katika koromeo lake yeye hugeuka kuwa uchungu; hugeuka kuwa sumu ya majoka ndani yake yeye.
15 Engoliu riquezas, porém as vomitará; Deus as tirará de seu ventre.
Yeye humeza chini utajiri, lakini yeye atautapika tena; Mungu atautoa nje kutoka katika tumbo lake yeye.
16 Veneno de cobras subará; língua de víbora o matará.
Yeye atamumunya sumu ya majoka; ulimi wa nyoka mwenye sumu utamwua yeye.
17 Não verá correntes, rios, [e] ribeiros de mel e de manteiga.
Yeye hatafurahia vijito vya maji, wingi wa asali na siagi.
18 Restituirá o trabalho e não o engolirá; da riqueza de seu comério não desfrutará.
Yeye atayarudisha matunda ya kazi yake na hataweza kuyala; yeye hatafurahia utajiri alioupata kwa biashara zake yeye.
19 Pois oprimiu [e] desamparou aos pobres; roubou a casa que não edificou;
Kwa kuwa yeye amewakandamiza na kuwasahau watu maskini; yeye kwa uonevu, amezichukua mbali nyumba ambazo hakuzijenga yeye.
20 Por não ter sentido sossego em seu ventre, nada preservará de sua tão desejada riqueza.
Kwa sababu yeye mwenyewe hakujua utoshelevu wowote, yeye hataweza kuokoa kitu chochote katika kile ambacho alijifurahisha.
21 Nada [lhe] restou para que devorasse; por isso sua riqueza não será duradoura.
Hakuna chochote kilichoachwa ambacho yeye hakukimeza; kwa hiyo mafanikio yake yeye hayatakuwa ya kudumu.
22 Estando cheio de sua fartura, [ainda] estará angustiado; todo o poder da miséria virá sobre ele.
katika wingi wa utajiri wake yeye ataanguka katika mahangaiko; mkono wa kila mmoja ambaye yuko katika umaskini utakuja kinyume chake yeye.
23 Quando ele estiver enchendo seu vendre, Deus mandará sobre ele o ardor de sua ira, e [a] choverá sobre ele em sua comida.
Wakati akiwa katika kulijaza tumbo lake, Mungu atatupa hasira ya ghadhabu yake juu yake yeye; Mungu ataunyeshea chini juu yake yeye wakati yeye anakula.
24 [Ainda que] fuja das armas de ferro, o arco de bronze o atravessará.
Ingawa mtu huyo atakimbia kutoka katika silaha ya chuma, upinde wa shaba utampiga yeye.
25 Ele a tirará de [seu] corpo, e a ponta brilhante atingirá seu fígado; haverá sobre ele assombros.
Mshale utatoboa kupitia mgongoni mwake na utatokezea; ni dhahiri, ncha inayong'ra itatokezea nje kupitia ini lake yeye; watesi huja tena juu yake.
26 Todas as trevas estão reservadas para seus tesouros escondidos; um fogo não assoprado o consumirá; acabará com o que restar em sua tenda.
Giza lliilo kamilika limetunzwa kwa akiba zake; moto usiopulizwa utamla yeye kwa haraka; utameza kile kilichoachwa katika hema yake.
27 Os céus revelarão sua maldade, e a terra se levantará contra ele.
Mbingu zitauweka wazi uovu wake, na nchi itainuka juu dhidi yake yeye kama shahidi.
28 As riquezas de sua casa serão transportadas; nos dias de sua ira elas se derramarão.
Utajiri wa nyumba yake utatoweka; bidhaa zake zitamwagika mbali siku ya ghadhabu ya Mungu.
29 Esta é a parte que Deus dá ao homem perverso, a herança que Deus lhe prepara.
Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kutoka kwa Mungu, urithi uliotunzwa akiba na Mungu kwa ajili yake yeye.”

< 20 >