< 13 >

1 Eis que meus olhos têm visto tudo [isto]; meus ouvidos o ouviram, e entenderam.
Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
2 Assim como vós o sabeis, eu também o sei; não sou inferior a vós.
Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
3 Mas eu falarei com o Todo-Poderoso, e quero me defender para com Deus.
Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
4 Pois na verdade vós sois inventores de mentiras; todos vós sois médicos inúteis.
Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
5 Bom seria se vos calásseis por completo, pois seria sabedoria de vossa parte.
Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
6 Ouvi agora meu argumento, e prestai atenção aos argumentos de meus lábios.
Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
7 Por acaso falareis perversidade por Deus, e por ele falareis engano?
Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
8 Fareis acepção de sua pessoa? Brigareis em defesa de Deus?
Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
9 Seria bom [para vós] se ele vos investigasse? Enganareis a ele como se engana a algum homem?
Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
10 Certamente ele vos repreenderá, se em oculto fizerdes acepção de pessoas.
Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
11 Por acaso a majestade dele não vos espantará? E o temor dele não cairá sobre sobre vós?
Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
12 Vossos conceitos são provérbios de cinzas; vossas defesas são como defesas de lama.
Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
13 Calai-vos diante de mim, e eu falarei; e venha sobre mim o que vier.
Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
14 Por que tiraria eu minha carne com meus dentes, e poria minha alma em minha mão?
Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
15 Eis que, ainda que ele me mate, nele esperarei; porém defenderei meus caminhos diante dele.
Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
16 Ele mesmo será minha salvação; pois o hipócrita não virá perante ele.
Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
17 Ouvi com atenção minhas palavras, e com vossos ouvidos minha declaração.
Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
18 Eis que já tenho preparado minha causa; sei que serei considerado justo.
Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
19 Quem é o que brigará comigo? Pois então eu me calaria e morreria.
Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
20 Somente duas coisas não faças comigo; então eu não me esconderei de teu rosto:
Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
21 Afasta tua mão de sobre mim, e teu terror não me espante.
Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
22 Chama, e eu responderei; ou eu falarei, e tu me responde.
Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
23 Quantas culpas e pecados eu tenho? Faze-me saber minha transgressão e meu pecado.
Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
24 Por que escondes teu rosto, e me consideras teu inimigo?
Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
25 Por acaso quebrarás a folha arrebatada [pelo vento]? E perseguirás a palha seca?
Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
26 Por que escreves contra mim amarguras, e me fazes herdar as transgressões de minha juventude?
Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
27 Também pões meus pés no tronco, e observas todos os meus caminhos. Tu pões limites às solas dos meus pés.
Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
28 Eu me consumo como a podridão, como uma roupa que a traça rói.
japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.

< 13 >