< 13 >

1 Eis que meus olhos têm visto tudo [isto]; meus ouvidos o ouviram, e entenderam.
“Macho yangu yameona hili lote, masikio yangu yamesikia na kulielewa.
2 Assim como vós o sabeis, eu também o sei; não sou inferior a vós.
Hayo mnayoyajua mimi pia ninayajua; mimi si mtu duni kuliko ninyi.
3 Mas eu falarei com o Todo-Poderoso, e quero me defender para com Deus.
Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi na kuhojiana shauri langu na Mungu.
4 Pois na verdade vós sois inventores de mentiras; todos vós sois médicos inúteis.
Ninyi, hata hivyo, hunipakaza uongo; ninyi ni matabibu wasiofaa kitu, ninyi nyote!
5 Bom seria se vos calásseis por completo, pois seria sabedoria de vossa parte.
Laiti wote mngenyamaza kimya! Kwa kuwa kwenu hilo lingekuwa hekima.
6 Ouvi agora meu argumento, e prestai atenção aos argumentos de meus lábios.
Sikieni sasa hoja yangu; sikilizeni kusihi kwangu.
7 Por acaso falareis perversidade por Deus, e por ele falareis engano?
Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu? Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake?
8 Fareis acepção de sua pessoa? Brigareis em defesa de Deus?
Mtamwonyesha upendeleo? Mtamtetea Mungu kwenye mashtaka yake?
9 Seria bom [para vós] se ele vos investigasse? Enganareis a ele como se engana a algum homem?
Je, ingekuwa vyema Mungu akiwahoji ninyi? Je, mngeweza kumdanganya kama ambavyo mngeweza kuwadanganya wanadamu?
10 Certamente ele vos repreenderá, se em oculto fizerdes acepção de pessoas.
Hakika angewakemea kama mkiwapendelea watu kwa siri.
11 Por acaso a majestade dele não vos espantará? E o temor dele não cairá sobre sobre vós?
Je, huo ukuu wake haungewatisha ninyi? Je, hofu yake isingewaangukia ninyi?
12 Vossos conceitos são provérbios de cinzas; vossas defesas são como defesas de lama.
Maneno yenu ni mithali za majivu; utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.
13 Calai-vos diante de mim, e eu falarei; e venha sobre mim o que vier.
“Nyamazeni kimya nipate kusema; kisha na yanipate yatakayonipata.
14 Por que tiraria eu minha carne com meus dentes, e poria minha alma em minha mão?
Kwa nini nijiweke mwenyewe kwenye hatari na kuyaweka maisha yangu mikononi mwangu?
15 Eis que, ainda que ele me mate, nele esperarei; porém defenderei meus caminhos diante dele.
Ingawa ataniua, bado nitamtumaini; hakika nitazitetea njia zangu mbele zake.
16 Ele mesmo será minha salvação; pois o hipócrita não virá perante ele.
Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu, kwa maana hakuna mtu asiyemcha Mungu atakayethubutu kuja mbele yake!
17 Ouvi com atenção minhas palavras, e com vossos ouvidos minha declaração.
Sikilizeni maneno yangu kwa makini; nayo masikio yenu yaingize kile nisemacho.
18 Eis que já tenho preparado minha causa; sei que serei considerado justo.
Sasa kwamba nimekwisha kutayarisha mambo yangu, ninajua mimi nitahesabiwa kuwa na haki.
19 Quem é o que brigará comigo? Pois então eu me calaria e morreria.
Je, kuna yeyote anayeweza kuleta mashtaka dhidi yangu? Kama ndivyo, nitanyamaza kimya na nife.
20 Somente duas coisas não faças comigo; então eu não me esconderei de teu rosto:
“Ee Mungu, unijalie tu mimi haya mambo mawili, nami sitajificha uso wako:
21 Afasta tua mão de sobre mim, e teu terror não me espante.
Ondoa mkono wako uwe mbali nami, nawe uache kuniogofya kwa hofu zako kuu.
22 Chama, e eu responderei; ou eu falarei, e tu me responde.
Niite kwenye shauri nami nitajibu, au niache niseme, nawe upate kujibu.
23 Quantas culpas e pecados eu tenho? Faze-me saber minha transgressão e meu pecado.
Ni makosa na dhambi ngapi nilizotenda? Nionyeshe kosa langu na dhambi yangu.
24 Por que escondes teu rosto, e me consideras teu inimigo?
Kwa nini kuuficha uso wako na kunihesabu mimi kuwa adui yako?
25 Por acaso quebrarás a folha arrebatada [pelo vento]? E perseguirás a palha seca?
Je, utaliadhibu jani lipeperushwalo na upepo? Je, utayasaka makapi makavu?
26 Por que escreves contra mim amarguras, e me fazes herdar as transgressões de minha juventude?
Kwa kuwa unaandika mambo machungu dhidi yangu na kunifanya nizirithi dhambi za ujana wangu.
27 Também pões meus pés no tronco, e observas todos os meus caminhos. Tu pões limites às solas dos meus pés.
Umeifunga miguu yangu kwenye pingu. Unazichunga kwa makini njia zangu zote kwa kutia alama kwenye nyayo za miguu yangu.
28 Eu me consumo como a podridão, como uma roupa que a traça rói.
“Hivyo mwanadamu huangamia kama kitu kilichooza, kama vazi lililoliwa na nondo.

< 13 >