< Jó 10 >
1 Minha alma está cansada de minha vida. Darei liberdade à minha queixa sobre mim; falarei com amargura de minha alma.
“Nayachukia sana haya maisha yangu; kwa hiyo nitatoa malalamiko yangu kwa wazi bila kujizuia, nami nitanena kutokana na uchungu wa moyo wangu.
2 Direi a Deus: Não me condenes; faz-me saber por que brigas comigo.
Nitamwambia Mungu: Usinihukumu, bali niambie una mashtaka gani dhidi yangu.
3 [Parece] -te bem que [me] oprimas, que rejeites o trabalho de tuas mãos, e favoreças o conselho dos perversos?
Je, inakupendeza wewe kunionea, kuikataa kwa dharau kazi ya mikono yako, huku wewe ukitabasamu juu ya mipango ya waovu?
4 Tens tu olhos de carne? Vês tu como o ser humano vê?
Je, wewe una macho ya kimwili? Je, wewe huona kama mwanadamu aonavyo?
5 São teus dias como os dias do ser humano, ou teus anos como os anos do homem,
Je, siku zako ni kama zile za mwanadamu, au miaka yako ni kama ile ya mtu,
6 Para que investigues minha perversidade, e pesquises meu pecado?
ili kwamba utafute makosa yangu na kuichunguza dhambi yangu;
7 Tu sabes que eu não sou mau; todavia ninguém há que [me] livre de tua mão.
ingawa wajua kuwa mimi sina hatia, na hakuna awezaye kunitoa mkononi mwako?
8 Tuas mãos me fizeram e me formaram por completo; porém agora tu me destróis.
“Mikono yako ndiyo iliyoniumba na kunifanya. Je, sasa utageuka na kuniangamiza?
9 Por favor, lembra-te que me preparaste como o barro; e me farás voltar ao pó da terra.
Kumbuka kuwa ulinifinyanga kama udongo wa mfinyanzi. Je, sasa utanifanya kuwa mavumbi tena?
10 Por acaso não me derramaste como o leite, e como o queijo me coalhaste?
Je, wewe hukunimimina mimi kama maziwa, na kunigandisha kama jibini,
11 De pele e carne tu me vestiste; e de ossos e nervos tu me teceste.
ukanivika ngozi na nyama, na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa?
12 Vida e misericórdia me concedeste, e teu cuidado guardou meu espírito.
Umenipa uhai na kunitendea wema, katika uangalizi wako umeilinda roho yangu.
13 Porém estas coisas escondeste em teu coração; eu sei que isto esteve contigo:
“Lakini hili ndilo ulilolificha moyoni mwako, nami ninajua kuwa hili lilikuwa katika nia yako:
14 Se eu pecar, tu me observarás, e não absolverás minha culpa.
Kama nilifanya dhambi, ungekuwa umeniona, wala usingeacha kosa langu lipite bila kuadhibiwa.
15 Se eu for perverso, ai de mim! Mesmo se eu for justo, não levantarei minha cabeça; estou farto de desonra, e de ver minha aflição.
Kama nina hatia, ole wangu! Hata kama ningekuwa sina hatia, siwezi kukiinua kichwa changu, kwa kuwa nimejawa na aibu, na kuzama katika mateso yangu.
16 Se [minha cabeça] se exaltar, tu me caças como um leão feroz, e voltas a fazer em coisas extraordinárias contra mim.
Kama nikiinua kichwa changu juu, unaninyatia kama simba, na kuonyesha tena uwezo wa kutisha dhidi yangu.
17 Renovas tuas testemunhas contra mim, e multiplicas tua ira sobre mim; combates vêm sucessivamente contra mim.
Wewe waleta mashahidi wapya dhidi yangu na kuzidisha hasira yako juu yangu; nazo nguvu zako zinanijia wimbi moja baada ya jingine.
18 Por que me tiraste da madre? [Bom seria] se eu não tivesse respirado, e nenhum olho me visse!
“Kwa nini basi ulinitoa tumboni? Ninatamani ningekufa kabla jicho lolote halijaniona.
19 Teria sido como se nunca tivesse existido, e desde o ventre [materno] seria levado à sepultura.
Laiti nisingekuwako kamwe, au ningekuwa nimechukuliwa moja kwa moja kutoka tumboni kwenda kaburini!
20 Por acaso não são poucos os meus dias? Cessa [pois] e deixa-me, para que eu tenha um pouco de alívio,
Je, siku zangu chache si zimekaribia kuisha? Niachie ili niweze kupata muda mfupi wa kufurahi
21 Antes que eu me vá para não voltar, à terra da escuridão e da sombra de morte;
kabla sijaenda mahali ambapo hakuna kurudi tena, katika nchi ya giza na uvuli wa mauti,
22 Terra escura ao extremo, tenebrosa, sombra de morte, sem ordem alguma, onde a luz é como a escuridão.
nchi ya giza kuu sana, yenye uvuli wa giza na machafuko, mahali ambapo hata nuru ni giza.”