< 1 Crônicas 2 >

1 Estes são os filhos de Israel: Rúben, Simeão, Levi, Judá, Issacar, Zebulom,
Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
2 Dã, José, Benjamim, Naftali, Gade, e Aser.
Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
3 Os filhos de Judá foram: Er, Onã, e Selá. [Estes] três lhe nasceram de Bete-Suá, Cananeia. E Er, primogênito, de Judá, foi mau diante do Senhor, que o matou.
Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
4 E Tamar, sua nora, lhe deu à luz Perez e a Zerá. Todos os filhos de Judá foram cinco.
Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
5 Os filhos de Perez: Hezrom e Hamul.
Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
6 E os filhos de Zerá: Zinri, Etã, Hemã, e Calcol, e Darda; cinco ao todo.
Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
7 O filho de Carmi foi Acar, o perturbador de Israel, porque transgrediu naquilo que estava separado por maldiçãos.
Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
8 O filho de Etã foi Azarias.
Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
9 Os filhos que nasceram a Hezrom foram: Jerameel, Rão, e Quelubai.
Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
10 E Rão gerou a Aminadabe; e Aminadabe gerou a Naasom, príncipe dos filhos de Judá;
Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
11 E Naasom gerou a Salmom, e Salmom gerou a Boaz;
Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
12 E Boaz gerou a Obede, e Obede gerou a Jessé;
Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
13 E Jessé gerou a Eliabe, seu primogênito, e o segundo Abinadabe, o terceiro Simeia;
Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
14 O quarto Natanael, o quinto Radai;
Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
15 O sexto Ozém, o sétimo Davi;
Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
16 As irmãs dos quais foram Zeruia e Abigail. Os filhos de Zeruia foram três: Abisai, Joabe, e Asael.
Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
17 E Abigail deu à luz Amasa, cujo pai foi Jéter, o Ismaelita.
Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
18 E Calebe filho de Hezrom gerou de sua mulher Azuba, e de Jeriote. E os filhos dela foram: Jeser, Sobabe, e Ardom.
Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
19 E Azuba morreu, e Calebe tmou por mulher a Efrate, a qual lhe gerou a Hur.
Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
20 E Hur gerou a Uri, e Uri gerou a Bezalel.
Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
21 Depois Hezrom se deitou com a filha de Maquir, pai de Gileade, a qual ele tomou por esposa quando ele tinha sessenta anos, e ela lhe gerou a Segube.
Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
22 E Segube gerou a Jair, que teve vinte e três cidades na terra de Gileade.
Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
23 E Gesur e Arã tomaram deles as cidades de Jair, e a Quenate com suas aldeias, sessenta cidades. Todos estes foram filhos de Maquir, pai de Gileade.
Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
24 E depois da morte de Hezrom, em Calebe de Efrata, Abia mulher de Hezrom, lhe gerou a Asur, pai de Tecoa.
Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
25 E os filhos de Jerameel primogênito de Hezrom foram: Rão (seu primogênito), Buna, Orém, Ozém, e Aías.
Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
26 Jerameel também teve outra mulher chamada Atara, que foi mãe de Onã.
Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
27 E os filhos de Rão, primogênito de Jerameel, foram: Maaz, Jamim, e Equer.
Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
28 E os filhos de Onã foram: Samai, e Jada. E os filhos de Samai: Nadabe, e Abisur.
Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
29 E o nome da mulher de Abisur era Abiail, a qual lhe gerou a Abã e a Molide.
Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
30 E os filhos de Nadabe foram: Selede e Apaim. E Selede morreu sem filhos.
Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
31 E o filho de Apaim foi Isi; o filho de Isi foi Sesã; e o filho de Sesã foi Alai.
Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
32 E os filhos de Jada, irmão de Simmai, foram: Jéter e Jônatas. E Jéter morreu sem filhos.
Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
33 E os filhos de Jônatas foram: Pelete, e Zaza. Estes foram os filhos de Jerameel.
Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
34 E Sesã não teve filhos, mas somente filhas. E Sesã tinha um servo egípcio, cujo nome era Jará.
Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
35 Sesã deu sua filha a seu servo Jará, e ela lhe gerou a Atai.
Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
36 E Atai gerou a Natã, e Natã gerou a Zabade;
Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
37 E Zabade gerou a Eflal, e Eflal gerou a Obede;
Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
38 E Obede gerou a Jeú, e Jeú gerou a Azarias;
Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
39 E Azarias gerou a Helez, Helez gerou a Eleasá;
Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
40 Eleasá gerou a Sismai, e Sismai gerou a Salum;
Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
41 E Salum gerou a Jecamias, e Jecamias gerou a Elisama.
Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
42 Os filhos de Calebe, irmão de Jerameel, foram: Messa seu primogênito, que foi o pai de Zife; e os filhos de Maressa, pai de Hebrom.
Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
43 E os filhos de Hebrom foram: Corá, Tapua, Requém, e Sema.
Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
44 E Sema gerou a Raão, pai de Jorqueão; e Requém gerou a Samai.
Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
45 E o filho de Samai foi Maom, e Maom foi pai de Bete-Zur.
Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
46 E Efá, a concubina de Calebe, lhe gerou a Harã, Moza, e a Gazez. E Harã gerou a Gazez.
Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
47 E os filhos de Jadai foram: Regém, Jotão, Gesã, Pelete, Efá, e Saafe.
Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
48 Maaca, concubina de Calebe, lhe gerou a Seber, e a Tiraná.
Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
49 Ela também deu à luz a Saafe, pai de Madmana, e a Seva, pai de Macbena e pai de Gibeá. E a filha de Calebe foi Acsa.
Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
50 Estes foram os filhos de Calebe, filho de Hur, primogênito de Efrata: Sobal, pai de Quiriate-Jearim;
Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
51 Salma, pai dos belemitas; e Harefe, pai de Bete-Gader.
Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
52 E os filhos de Sobal, pai de Quiriate-Jearim foram: Haroé, a metade dos Manaatitas.
Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
53 E as famílias de Quiriate-Jearim foram os itreus, os puteus, os sumateus, e os misraeus; destes saíram os zorateus e os estaoleus.
na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
54 Os filhos de Salma foram: Belém, e os netofatitas, Atarote, Bete-Joabe; e da metade dos manaatitas, [e] os zoritas.
Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
55 E as famílias dos escribas, que habitavam em Jabez, foram os tiratitas, os simeatitas, [e] os sucatitas; estes foram os queneus que vieram de Hamate, pai da casa de Recabe.
ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.

< 1 Crônicas 2 >