< Salmos 75 >

1 A ti, ó Deus, glorificamos, a ti damos louvor, pois o teu nome está perto, as tuas maravilhas o declaram.
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Zaburi ya Asafu. Wimbo. Ee Mungu, tunakushukuru, tunakushukuru wewe, kwa kuwa jina lako li karibu; watu husimulia matendo yako ya ajabu.
2 Quando eu ocupar o lugar determinado, julgarei retamente.
Unasema, “Ninachagua wakati maalum; ni mimi nihukumuye kwa haki.
3 A terra e todos os seus moradores estão dissolvidos, mas eu fortaleci as suas colunas (Selah)
Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka, ni mimi ninayezishikilia nguzo zake imara.
4 Disse eu aos loucos: Não enlouqueçais; e aos ímpios: Não levanteis a fronte:
Kwa wale wenye majivuno ninasema, ‘Msijisifu tena,’ kwa wale waovu, ‘Msiinue pembe zenu.
5 Não levanteis a vossa fronte altiva, nem faleis com cerviz dura;
Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu; msiseme kwa shingo zilizonyooshwa.’”
6 Porque nem do oriente, nem do ocidente, nem do deserto vem a exaltação.
Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi au kutoka jangwani awezaye kumkweza mwanadamu.
7 Mas Deus é o Juiz; a um abate, e a outro exalta.
Bali Mungu ndiye ahukumuye: Humshusha huyu na kumkweza mwingine.
8 Porque na mão do Senhor há um cálice, cujo vinho é roxo; está cheio de mistura; e dá a beber dele; mas as fezes dele todos os ímpios da terra as sorverão e beberão.
Mkononi mwa Bwana kuna kikombe kilichojaa mvinyo unaotoka povu uliochanganywa na vikolezo; huumimina, nao waovu wote wa dunia hunywa mpaka tone la mwisho.
9 E eu o declararei para sempre; cantarei louvores ao Deus de Jacob.
Bali mimi, nitatangaza hili milele; nitaimba sifa kwa Mungu wa Yakobo.
10 E quebrarei todas as forças dos ímpios, mas as forças dos justos serão exaltadas.
Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote, bali pembe za wenye haki zitainuliwa juu.

< Salmos 75 >