< Salmos 60 >
1 Ó Deus, tu nos rejeitaste, tu nos espalhaste, tu te indignaste; oh, volta-te para nós.
Mungu, wewe umetutupa; umeuvunja ulinzi wetu; wewe umekuwa hasirani; utuwezeshe tena.
2 Abalaste a terra, e a fendeste; sara as suas fendas, pois ela treme.
Wewe umeifanya nchi kutetemeka; umeipasua pasua; uiponye nyufa zake, maana zinatikisika.
3 Fizeste ver ao teu povo coisas arduas; fizeste-nos beber o vinho da perturbação.
Wewe umewafanya watu wako kuona mambo magumu; umetufanya tunywe mvinyo wenye kutufanya kupepesuka.
4 Deste um estandarte aos que te temem, para arvorarem no alto, por causa da verdade (Selah)
Kwa wale wanao kuheshimu wewe, wewe umeweka bandera ionekane dhidi ya wale wabebao upinde. (Selah)
5 Para que os teus amados sejam livres, salva-nos com a tua dextra, e ouve-nos;
Ili kwamba wale uwapendao waweze kuokolewa, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
6 Deus falou na sua santidade: Eu me regozijarei, repartirei a Sichem e medirei o vale de Succoth.
Mungu ameongea katika utakatifu wake, “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na kuligawa bonde la Sukothi.
7 Meu é Galaad, e meu é Manasseh; Ephraim é a força da minha cabeça; Judá é o meu legislador.
Gileadi ni yangu, na Manase ni yangu na Ephraimu pia ni kofia yangu ya chuma; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
8 Moab é o meu vaso de lavar; sobre Edom lançarei o meu sapato; alegra-te, ó Palestina, por minha causa.
Moabu ni bakuli langu la kunawia; juu ya Edomu nitatupa kiatu changu; nitapiga kelele za ushindi kwa sababu ya Filisti.”
9 Quem me conduzirá à cidade forte? Quem me guiará até Edom?
Ni nani atakaye nileta kwenye mji imara? Ni nani ataniongoza kwenda Edomu?
10 Não serás tu, ó Deus, que nos tinhas rejeitado? tu, ó Deus, que não saíste com os nossos exércitos?
Lakini wewe, Mungu, je, haukutukataa? Wewe hauendi vitani pamoja na jeshi letu.
11 Dá-nos auxílio na angústia, porque vão é o socorro do homem.
Utusaidie dhidi ya adui yetu, maana msaada wa mwanadamu ni bure.
12 Em Deus faremos proezas; porque ele é que pisará os nossos inimigos.
Kwa msaada wa Mungu tutashinda; yeye atawakanyaga chini adui zetu.