< Salmos 44 >
1 Ó Deus, nós ouvimos com os nossos ouvidos, e nossos pais nos tem contado a obra que fizeste em seus dias, nos tempos da antiguidade.
Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
2 Como expeliste as nações com a tua mão e os plantaste a eles: como afligiste os povos e os derrubaste.
Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
3 Pois não conquistaram a terra pela sua espada, nem o seu braço os salvou, mas a tua dextra e o teu braço, e a luz da tua face, porquanto te agradaste deles.
Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
4 Tu és o meu Rei, ó Deus: ordena salvações para Jacob.
Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
5 Por ti escornearemos os nossos inimigos: pelo teu nome pizaremos os que se levantam contra nós:
Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
6 Pois eu não confiarei no meu arco, nem a minha espada me salvará.
Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
7 Mas tu nos salvaste dos nossos inimigos, e confundiste os que nos aborreciam.
Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
8 Em Deus nos glóriamos todo o dia, e louvamos o teu nome eternamente (Selah)
Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
9 Mas agora tu nos rejeitaste e nos confundiste, e não sais com os nossos exércitos.
Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
10 Faze-nos retirar do inimigo, e aqueles que nos odeiam nos saqueiam para si.
Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
11 Tu nos entregaste como ovelhas para comer, e nos espalhaste entre as nações.
Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
12 Tu vendes por nada o teu povo, e não aumentas a tua riqueza com o seu preço.
Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
13 Tu nos pões por opróbrio aos nossos vizinhos, por escarneio e zombaria de aqueles que estão à roda de nós.
Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
14 Tu nos pões por provérbio entre as nações, por movimento de cabeça entre os povos.
Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
15 A minha confusão está constantemente diante de mim, e a vergonha do meu rosto me cobre:
Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
16 Á voz daquele que afronta e blasfema, por causa do inimigo e do vingador.
kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
17 Tudo isto nos sobreveio: contudo não nos esquecemos de ti, nem nos houvemos falsamente contra o teu concerto.
Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
18 O nosso coração não voltou atráz, nem os nossos passos se desviaram das tuas veredas;
Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
19 Ainda que nos quebrantaste num lugar de dragões, e nos cobriste com a sombra da morte.
Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
20 Se nós esquecemos o nome do nosso Deus, e estendemos as nossas mãos para um deus estranho,
Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
21 Porventura não esquadrinhará Deus isso? pois ele sabe os segredos do coração.
Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
22 Sim, por amor de ti, somos mortos todo o dia: somos tidos na conta de ovelhas para o matadouro.
Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
23 Desperta, porque dormes, Senhor? acorda, não nos rejeites para sempre.
Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
24 Porque escondes a tua face, e te esqueces da nossa miséria e da nossa opressão?
Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
25 Pois a nossa alma está abatida até ao pó; o nosso ventre se apega à terra.
Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
26 Levanta-te em nosso auxílio, e resgata-nos por amor das tuas misericórdias.
Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.