< Salmos 11 >

1 No Senhor confio; como dizeis à minha alma: Foge para a vossa montanha como pássaro?
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Kwa Bwana ninakimbilia, unawezaje basi kuniambia: “Ruka kama ndege kwenye mlima wako.
2 Pois eis que os ímpios armam o arco, põem as flechas na corda, para com elas atirarem às escuras aos retos de coração.
Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao, huweka mishale kwenye uzi wake, wakiwa gizani ili kuwapiga wale wanyofu wa moyo.
3 Na verdade que já os fundamentos se transtornam: o que pode fazer o justo?
Wakati misingi imeharibiwa, mwenye haki anaweza kufanya nini?”
4 O Senhor está no seu santo templo: o trono do Senhor está nos céus; os seus olhos atendem, e as suas pálpebras provam os filhos dos homens.
Bwana yuko ndani ya Hekalu lake takatifu; Bwana yuko kwenye kiti chake cha enzi mbinguni. Huwaangalia wana wa watu, macho yake yanawajaribu.
5 O Senhor prova ao justo; porém ao ímpio e ao que ama a violência aborrece a sua alma.
Bwana huwajaribu wenye haki, lakini waovu na wanaopenda jeuri, nafsi yake huwachukia.
6 Sobre os ímpios fará chover laços, fogo, enxofre e vento tempestuoso: isto será a porção do seu copo
Atawanyeshea waovu makaa ya moto mkali na kiberiti kinachowaka, upepo wenye joto kali ndio fungu lao.
7 Porque o Senhor é justo, e ama a justiça; o seu rosto olha para os retos.
Kwa kuwa Bwana ni mwenye haki, yeye hupenda haki. Wanyofu watauona uso wake.

< Salmos 11 >