< Provérbios 15 >
1 A resposta branda desvia o furor, mas a palavra de dor suscita a ira.
Jawabu la upole huondoa ghadhabu, bali neno la ukatili huchochea hasira.
2 A língua dos sábios adorna a sabedoria, mas a boca dos tolos derrama a estultícia.
Ulimi wa watu mwenye hekima husifu maarifa, bali kinywa cha wapumbavu humwaga upuuzi.
3 Os olhos do Senhor estão em todo o lugar, contemplando os maus e os bons.
Macho ya Yehova yapo kila mahali, yakiwatazama juu ya waovu na wema.
4 A medicina da língua é árvore de vida, mas a perversidade nela quebranta o espírito.
Ulimi unaoponya ni mti wa uzima, bali ulimi wa udanganyifu huvunja moyo.
5 O tolo despreza a correção de seu pai, mas o que observa a repreensão prudentemente se haverá.
Mpumbavu hudharau marudi ya baba yake, bali yeye anayejifunza kutokana na masahihisho ni mwenye hekima.
6 Na casa do justo há um grande tesouro, mas nos frutos do ímpio há perturbação.
Katika nyumba ya wale watendao haki kuna hazina kubwa, bali mapato ya watu waovu huwapa taabu.
7 Os lábios dos sábios derramarão o conhecimento, mas o coração dos tolos não fará assim.
Midomo ya wenye hekima husambaza maarifa, bali mioyo ya wapumbavu haifanyi hivyo.
8 O sacrifício dos ímpios é abominável ao Senhor, mas a oração dos retos é o seu contentamento.
Yehova anachukia sadaka za watu waovu, bali maombi ya watu waadilifu ndiyo furaha yake.
9 O caminho do ímpio é abominável ao Senhor, mas ao que segue a justiça amará.
Yehova anachukia njia ya watu waovu, bali anampenda yule ambaye huandama haki.
10 Correção molesta há para o que deixa a vereda, e o que aborrece a repreensão morrerá.
Marudi ya ukatili hungojea kwa yeyote ambaye huiacha njia na yule ambaye huchukia masahihisho atakufa.
11 O inferno e a perdição estão perante o Senhor: quanto mais os corações dos filhos dos homens? (Sheol )
Kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele za Yehova; je si zaidi sana mioyo ya wana wa wanadamu? (Sheol )
12 Não ama o escarnecedor aquele que o repreende, nem se chegará aos sábios.
Mwenye mzaha huchukia masahihisho; hatakwenda kwa wenye hekima.
13 O coração alegre aformoseia o rosto, mas pela dor do coração o espírito se abate.
Moyo wenye furaha husababisha uchangamfu wa uso, bali huzuni huvunja moyo.
14 O coração entendido buscará o conhecimento, mas a boca dos tolos se apascentará de estultícia.
Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa, bali kinywa cha wapumbavu hujilisha kwenye upuuzi.
15 Todos os dias do oprimido são maus, mas o coração alegre é um banquete contínuo.
Siku zote za watu waliokandamizwa ni taabu, bali moyo wenye furaha unakaramu daima.
16 Melhor é o pouco com o temor do Senhor, do que um grande tesouro, onde há inquietação.
Bora kitu kidogo pamoja na kumcha Mungu kuliko hazina kubwa pamoja na ghasia.
17 Melhor é a comida de hortaliça, onde há amor, do que o boi cevado, e com ele o ódio.
Bora mlo wenye mboga kukiwa na upendo kuliko kuandaliwa ndama aliyenona kwa chuki.
18 O homem iracundo suscita contendas, mas o longânimo apaziguará a luta.
Mtu mwenye hasira huchochea mabishano, bali mtu ambaye hukawia kukasirika hutuliza ugomvi.
19 O caminho do preguiçoso é como a sebe de espinhos, mas a vereda dos retos está bem igualada.
Mapito ya mtu goigoi ni kama sehemu yenye uwa wa miiba, bali mapito ya mtu mwadilifu ni njia kuu iliyojengwa imara.
20 O filho sábio alegrará a seu pai, mas o homem insensato despreza a sua mãe.
Mwana mwenye busara huleta furaha kwa baba yake, bali mtu mpumbavu humdharau mama yake.
21 A estultícia é alegria para o que carece de entendimento, mas o homem entendido anda retamente.
Upuuzi humfurahia mtu ambaye amepungukiwa akili, bali mwenye ufahamu hutembea katika njia nyofu.
22 Os pensamentos se dissipam, quando não há conselho, mas com a multidão de conselheiros se confirmarão.
Mipango huharibika ambapo hakuna ushauri, bali washauri wengi wanafanikiwa.
23 O homem se alegra na resposta da sua boca, e a palavra a seu tempo quão boa é!
Mtu anapata furaha wakati anapotoa jibu la kufaa; je ni zuri kiasi gani neno kwa wakati muafaka!
24 Para o entendido, o caminho da vida vai para cima, para que se desvie do inferno de baixo. (Sheol )
Njia ya uzima huwapeleka juu watu wenye hekima, ili waondoke kutoka chini kuzimu. (Sheol )
25 O Senhor arrancará a casa dos soberbos, mas estabelecerá o termo da viúva.
Yehova hurarua urithi wa mwenye kiburi, bali huzilinda mali za mjane.
26 Abomináveis são ao Senhor os pensamentos do mau, mas as palavras dos limpos são apráziveis.
Yehova huyachukia mawazo ya watu waovu, bali maneno ya upole ni safi.
27 O que exercita avareza perturba a sua casa, mas o que aborrece presentes viverá.
Mporaji huleta shida kwenye familia yake, bali yeye ambaye huchukia rushwa ataishi.
28 O coração do justo medita o que há de responder, mas a boca dos ímpios derrama em abundância coisas más.
Moyo wa yule atendaye haki hutafakari kabla ya kujibu, bali kinywa cha watu waovu humwanga ubaya wake wote.
29 Longe está o Senhor dos ímpios, mas escutará a oração dos justos.
Yehova yupo mbali na watu waovu, bali husikia maombi ya wale watendao haki.
30 A luz dos olhos alegra o coração, a boa fama engorda os ossos.
Nuru ya macho huleta furaha moyoni na habari njema ni afya kwenye mwili.
31 Os ouvidos que escutam a repreensão da vida no meio dos sábios farão a sua morada.
Kama utazingatia wakati mtu anapokurekebisha jinsi ya kuishi, utabaki miongoni mwa watu wenye busara.
32 O que rejeita a correção menospreza a sua alma, mas o que escuta a repreensão adquire entendimento.
Yeye anayekataa karipio hujidharau mwenyewe, bali yule asikilizaye masahihisho hujipatia ufahamu.
33 O temor do Senhor é a correção da sabedoria, e diante da honra vai a humildade.
Kumcha Yehova hufundisha hekima na unyenyekevu huja kabla ya heshima.