< Números 34 >
1 Falou mais o Senhor a Moisés, dizendo:
BWANA akanena na Musa akasema,
2 Dá ordem aos filhos de Israel, e dize-lhes: Quando entrardes na terra de Canaan, esta há de ser a terra que vos cairá em herança: a terra de Canaan, segundo os seus termos.
“Waamuru watu wa Israeli na uwaambie, 'Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani, nchi ambayo itakuwa mali yenu, nchi ya Kanaani na mipaka yake, mpaka wenu wa kusini utaendelea kutoka nyika ya Sini hadi mpaka wa Edomu.
3 A banda do sul vos será desde o deserto de Zin até aos termos de Edom; e o termo do sul vos será desde a extremidade do mar salgado para a banda do oriente,
Mwisho wa mpaka wa kusini utakuwa mwisho wa bahari ya chumvi kuelekea mashariki.
4 E este termo vos irá rodeando do sul para a subida de Acrabbim, e passará até Zin; e as suas saídas serão do sul a Cades-barnea; e sairá a Hazar-addar, e passará a Azmon
Mpaka wenu utageukia kusini kutoka mlima kuelekea Akrabimu na kupitia nyika ya Sini. na kutokea huko utaelelkea kusini mwa Kadeshi Barinea na kuelekea Hazari Adari mpaka Azimoni.
5 Rodeará mais este termo de Azmon até ao rio do Egito: e as suas saídas serão para a banda do mar.
Kutoka huko, mpaka utageuka kutoka Azimoni kuelekea kijito cha Misri na kukifuata mpaka baharini.
6 Acerca do termo do ocidente, o mar grande vos será por termo: este vos será o termo do ocidente.
Mpaka wa Magharibi utakuwa pwani ya bahari kuu. Huu ndio utakuwa mpaka wenuwa Magharibi.
7 E este vos será o termo do norte: desde o mar grande marcareis até ao monte de Hor.
Mpaka wenu wa kaskazini utaanzia kwenye bahari kuu hadi Mlima Hori,
8 Desde o monte de Hor marcareis até à entrada de Hamath: e as saídas deste termo serão até Zedad.
kisha kutoka Mlima Hori hadi Lebo Hamathi, kisha Zedadi.
9 E este termo sairá até Ziphron, e as suas saídas serão em Hazar-enan: este vos será o termo do norte.
Mpaka utaendelea hadi Zifroni na kuishia Hazari Enani. Huu ndio utakuwa mpaka wenu wa kaskazini.
10 E por termo da banda do oriente vos marcareis de Hazar-enan até Sepham.
Kisha mtaweka alama za mpaka wenu wa mashariki ambao utaanzia Hazari Enani kuelekea kusini Shefamu.
11 E este termo descerá desde Sepham até Ribla, para a banda do oriente de Ain: depois descerá este termo, e irá ao longo da borda do mar de Cinnereth para a banda do oriente.
Kisha mpaka wa kusini utaendelea kutoka Shefamu hadi Ribla, upande wa masharikia mwa Aini. Mpaka utaedelea upande huo wa mashariki hadi upande wa mashariki wa bahari ya Kinerethi.
12 Descerá também este termo ao longo do Jordão, e as suas saídas serão no mar salgado: esta vos será a terra, segundo os seus termos em roda.
Kisha mpaka utaendelea kuelekea kusini hadi mto Yorodani na hadi bahari ya chumvi. Hii ndiyo itakuwa nchi yenu, kwa kuifuata mipaka yake yote inayozunguka.'”
13 E Moisés deu ordem aos filhos de Israel, dizendo: Esta é a terra que tomareis em sorte por herança, a qual o Senhor mandou dar às nove tribos e à meia tribo.
Kisha Musa akawaamuru watu wa Israeli akasema, “Hii ndiyo nchi ambayo mtaipokes kwa kura, ambayo BWANA ameamuru kuwapa wale makabila tisa na nusu.
14 Porque a tribo dos filhos dos rubenitas, segundo a casa de seus pais, e a tribo dos filhos dos gaditas, segundo a casa de seus pais, já receberam; também a meia tribo de Manasseh recebeu a sua herança.
Kabila ya uzao wa Reubeni, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na uzao wa kabila la Gadi, kwa kufuata jinsi walivyopewa urithi kwa jamaa ya kabila yao, na nusu ya Manase wamepata ardhi yao.
15 Já duas tribos e meia tribo receberam a sua herança de aquém do Jordão de Jericó, da banda do oriente ao nascente.
Wale makabila mawili na nusu wameshapata mgawo wao ng'ambo ya mto Yorodani upande wa mashariki, kuelekea kule linakotokea jua.”
16 Falou mais o Senhor a Moisés, dizendo:
BWANA akanena na Musa akasema,
17 Estes são os nomes dos homens que vos repartirão a terra por herança: Eleazar, o sacerdote, e Josué, o filho de Nun
“Haya ndiyo majinaya watu watakaoigawa ardhi kwa ajili ya urithi wao: Eliazari kuhani na Joshua mwana wa Nuni.
18 Tomareis mais de cada tribo um príncipe, para repartir a terra em herança.
Mtachagua kiongozi mmoja toka kila kabila ili kuigawa ardhi kwa koo zao.
19 E estes são os nomes dos homens: Da tribo de Judá, Caleb, filho de Jefoné;
Haya ndiyo majina ya wanaume: Kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune.
20 E, da tribo dos filhos de Simeão, Samuel, filho de Ammihud;
Kutoka kwenye kabila la uzao wa Simeoni, Shemueli mwana wa Amihudi.
21 Da tribo de Benjamin, Elidad, filho de Chislon;
Kutoka kabila la Benjamini, Elidadi mwana wa Kisloni.
22 E, da tribo dos filhos de Dan, o príncipe Buci, filho de Jogli;
Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Dani, Buki mwana wa Jogili.
23 Dos filhos de José, da tribo dos filhos de Manasseh, o príncipe Hanniel, filho de éfode;
Kiongozi kutoka uzao wa Yusufu, kwenye kabila la Manase, Hannieli mwana wa Efodi.
24 E, da tribo dos filhos de Ephraim, o príncipe Quemuel, filho de Siphtan;
Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Efraimu, Kemueli mwana wa Shiftani.
25 E, da tribo dos filhos de Zebulon, o príncipe Elizaphan, filho de Parnah;
Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Zabuloni, Elizafani mwana wa Parinaki.
26 E, da tribo dos filhos de Issacar, o príncipe Paltiel, filho de Assan;
Kiongozi kutoka kwenye kabila la uzao wa Isakari, Palitieli mwana wa Azzani.
27 E, da tribo dos filhos de Aser, o príncipe Ahihud, filho de Selomi;
Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Asheri, Ahihudi mwana wa Shelomi.
28 E, da tribo dos filhos de Naphtali, o príncipe Pedael, filho de Ammihud.
Kiongozi kutoka kabila la uzao wa Naftali, Pedaheli mwana wa Amihudi.”
29 Estes são aqueles a quem o Senhor ordenou, que repartissem as heranças aos filhos de Israel na terra de Canaan.
BWANA aliwaamuru wanaume hawa kuigawa nchi ya Kanaani na kuwapa kila kabla sehemu yao.