< Jó 34 >
1 Respondeu mais Elihu, e disse:
Kisha Elihu akasema:
2 Ouvi, vós, sábios, as minhas razões: e vós, entendidos, inclinai, os ouvidos para mim.
“Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima; nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye maarifa.
3 Porque o ouvido prova as palavras, como o paladar gosta a comida.
Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula.
4 O que é direito escolhamos para nós: e conheçamos entre nós o que é bom.
Tujichagulie wenyewe yaliyo sawa, nasi tujifunze pamoja yaliyo mema.
5 Porque Job disse: Sou justo; e Deus tirou o meu direito.
“Ayubu anasema, ‘Mimi sina hatia, lakini Mungu ameninyima haki yangu.
6 No meu direito me é forçoso mentir: dolorosa é a minha flechada sem transgressão.
Ingawa niko sawa, ninaonekana mwongo; nami ingawa sina kosa, kidonda changu hakiponi.’
7 Que homem há como Job, que bebe a zombaria como água?
Ni mtu gani aliye kama Ayubu, anywaye dharau kama maji?
8 E caminha em companhia com os que obram a iniquidade, e anda com homens ímpios?
Ashirikianaye na watenda mabaya na kuchangamana na watu waovu.
9 Porque disse: De nada aproveita ao homem o comprazer-se em Deus.
Kwa kuwa anasema, ‘Haimfaidi mwanadamu kitu chochote anapojitahidi kumpendeza Mungu.’
10 Pelo que vós, homens de entendimento, escutai-me: Deus esteja longe da impiedade, e o Todo-poderoso da perversidade!
“Hivyo nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye ufahamu. Kamwe Mungu hatendi uovu, Mwenyezi hafanyi kosa.
11 Porque, segundo a obra do homem, ele lho paga; e segundo o caminho de cada um lho faz achar.
Humlipa mwanadamu kwa ajili ya lile alilotenda; huleta juu yake kile ambacho matendo yake yanastahili.
12 Também, na verdade, Deus não obra impiamente; nem o Todo-poderoso perverte o juízo.
Ni jambo lisiloweza kufikiriwa kwamba Mungu angefanya makosa, kwamba Mwenyezi angepotosha hukumu.
13 Quem lhe pedia conta do governo da terra? e quem dispoz a todo o mundo?
Je, ni nani aliyemtawaza juu ya dunia? Ni nani aliyemweka kuwa mwangalizi wa ulimwengu wote?
14 Se pusesse o seu coração contra ele, recolheria para si o seu espírito e o seu fôlego.
Kama lilikuwa kusudi la Mungu, naye akaiondoa Roho yake na pumzi yake,
15 Toda a carne juntamente expiraria, e o homem se voltaria para o pó.
wanadamu wote wangeliangamia kwa pamoja, na mtu angerudi mavumbini.
16 Se pois há em ti entendimento, ouve isto; inclina os ouvidos à voz do meu discurso.
“Kama ninyi mnaufahamu, sikieni hili; sikilizeni hili nisemalo.
17 Porventura o que aborrece o direito ataria as feridas? e tu condenarias aquele que é justo?
Je, yeye aichukiaye haki aweza kutawala? Je, utamhukumu mwenye haki, Aliye na Nguvu Zote?
18 Ou dir-se-á a um rei, Oh! Belial? aos príncipes, Oh! ímpios?
Je, si ni yeye awaambiaye wafalme, ‘Ninyi hamfai kitu,’ nao watu mashuhuri, ‘Ninyi ni waovu,’
19 Quanto menos àquele, que não faz acepção das pessoas de príncipes, nem estima o rico mais do que o pobre; porque todos são obras de suas mãos
yeye asiyependelea wakuu, wala haonyeshi upendeleo kwa matajiri kuliko maskini, kwa kuwa wote ni kazi ya mikono yake?
20 Eles num momento morrem; e até à meia noite os povos são perturbados, e passam, e o poderoso será tomado sem mão
Wanakufa ghafula, usiku wa manane; watu wanatikiswa nao hupita; wenye nguvu huondolewa bila mkono wa mwanadamu.
21 Porque os seus olhos estão sobre os caminhos de cada um, e ele vê todos os seus passos.
“Macho yake yanazitazama njia za wanadamu; anaona kila hatua yao.
22 Não há trevas nem sombra de morte, onde se escondam os que obram a iniquidade.
Hakuna mahali penye giza nene, wala uvuli mkubwa, ambapo watenda mabaya wanaweza kujificha.
23 Porque não se faz tanto caso do homem que contra Deus possa entrar em juízo.
Mungu hana haja ya kumchunguza mtu sana, ili apate kuja mbele zake kwa hukumu.
24 Quebranta aos fortes, sem que se possa inquirir, e põe outros em seu lugar.
Bila kuuliza huwapondaponda wenye nguvu nyingi na kuwaweka wengine mahali pao.
25 Ele conhece pois as suas obras, de noite os transtorna, e ficam moidos.
Kwa sababu huyaangalia matendo yao yote, huwaondoa usiku, nao wakaangamia.
26 Ele os bate como ímpios que são, no lugar dos expectadores:
Anawaadhibu kwa ajili ya uovu wao mahali ambapo kila mmoja ataweza kuwaona,
27 Porquanto se desviaram de atrás dele, e não compreenderam nenhum de seus caminhos.
kwa sababu wameacha kumfuata Mungu, nao hawakuiheshimu njia yake hata moja.
28 Para fazer que o clamor do pobre subisse até ele, e que ouvisse o clamor dos aflitos.
Wamesababisha kilio cha maskini kifike mbele zake, hivyo akasikia kilio cha wahitaji.
29 Se ele aquietar, quem então inquietará? se encobrir o rosto, quem então o poderá contemplar, seja para com um povo, seja para com um homem só?
Lakini kama akinyamaza kimya, ni nani awezaye kumhukumu? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumwona? Ikiwa ni taifa au mtu mmoja, kwake ni sawa,
30 Para que o homem hipócrita nunca mais reine, e não haja laços do povo.
ili kumzuia mtu mwovu kutawala, au wale ambao huwategea watu mitego.
31 Na verdade, quem a Deus disse: suportei castigo, não perecerei.
“Kama mwanadamu akimwambia Mungu, ‘Nimekosa lakini sitatenda dhambi tena.
32 O que não vejo, ensina-mo tu: se fiz alguma maldade, nunca mais a hei de fazer.
Nifundishe nisichoweza kuona; kama nimekukosea, sitafanya hivyo tena.’
33 Virá de ti como o recompensará, pois tu o desprezas? farias tu pois, e não eu, a escolha: que é logo o que sabes? fala.
Je basi, Mungu atakulipa kwa masharti yako, wakati wewe umekataa kutubu? Yakupasa wewe uamue, wala si mimi; sasa niambie lile ulijualo.
34 Os homens de entendimento dirão comigo, e o varão sábio me ouvirá.
“Wanadamu wenye ufahamu husema, wenye hekima wanaonisikia huniambia,
35 Job falou sem ciência; e às suas palavras falta prudência.
‘Ayubu huongea bila maarifa; maneno yake hayana busara.’
36 Pai meu! provado seja Job até ao fim, para as suas respostas entre os homens malignos.
Laiti Ayubu angejaribiwa hadi kikomo cha mwisho, kwa sababu anajibu kama mtu mwovu!
37 Porque ao seu pecado acrescenta a transgressão; entre nós bateria as palmas das mãos, e multiplicaria contra Deus as suas razões.
Kwenye dhambi yake huongeza uasi; kwa dharau hupiga makofi miongoni mwetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.”