< Jó 13 >
1 Eis que tudo isto viram os meus olhos, e os meus ouvidos o ouviram e entenderam.
“Macho yangu yameona hili lote, masikio yangu yamesikia na kulielewa.
2 Como vós o sabeis, o sei eu também; não vos sou inferior.
Hayo mnayoyajua mimi pia ninayajua; mimi si mtu duni kuliko ninyi.
3 Mas eu falarei ao Todo-poderoso, e quero defender-me para com Deus.
Lakini ninayo shauku ya kuzungumza na Mwenyezi na kuhojiana shauri langu na Mungu.
4 Vós porém sois inventores de mentiras, e vós todos médicos que não valem nada.
Ninyi, hata hivyo, hunipakaza uongo; ninyi ni matabibu wasiofaa kitu, ninyi nyote!
5 Oxalá vos calasseis de todo! que isso seria a vossa sabedoria.
Laiti wote mngenyamaza kimya! Kwa kuwa kwenu hilo lingekuwa hekima.
6 Ouvi agora a minha defesa, e escutai os argumentos dos meus lábios.
Sikieni sasa hoja yangu; sikilizeni kusihi kwangu.
7 Porventura por Deus falareis perversidade? e por ele falareis engano?
Je, mtazungumza kwa uovu kwa niaba ya Mungu? Je, mtazungumza kwa udanganyifu kwa niaba yake?
8 Ou fareis aceitação da sua pessoa? ou contendereis por Deus?
Mtamwonyesha upendeleo? Mtamtetea Mungu kwenye mashtaka yake?
9 Ser-vos-ia bom, se ele vos esquadrinhasse? ou zombareis dele, como se zomba de algum homem?
Je, ingekuwa vyema Mungu akiwahoji ninyi? Je, mngeweza kumdanganya kama ambavyo mngeweza kuwadanganya wanadamu?
10 Certamente vos repreenderá, se em oculto fizerdes aceitação de pessoas.
Hakika angewakemea kama mkiwapendelea watu kwa siri.
11 Porventura não vos espantará a sua alteza? e não cairá sobre vós o seu temor?
Je, huo ukuu wake haungewatisha ninyi? Je, hofu yake isingewaangukia ninyi?
12 As vossas memórias são como a cinza: as vossas alturas como alturas de lodo.
Maneno yenu ni mithali za majivu; utetezi wenu ni ngome za udongo wa mfinyanzi.
13 Calai-vos perante mim, e falarei eu, e que fique aliviado algum tanto.
“Nyamazeni kimya nipate kusema; kisha na yanipate yatakayonipata.
14 Por que razão tomo eu a minha carne com os meus dentes, e ponho a minha vida na minha mão?
Kwa nini nijiweke mwenyewe kwenye hatari na kuyaweka maisha yangu mikononi mwangu?
15 Ainda que me matasse, nele esperarei; contudo os meus caminhos defenderei diante dele.
Ingawa ataniua, bado nitamtumaini; hakika nitazitetea njia zangu mbele zake.
16 Também ele será a salvação minha: porém o hipócrita não virá perante o seu rosto
Naam, hili litanigeukia kuwa wokovu wangu, kwa maana hakuna mtu asiyemcha Mungu atakayethubutu kuja mbele yake!
17 Ouvi com atenção as minhas razões, e com os vossos ouvidos a minha declaração.
Sikilizeni maneno yangu kwa makini; nayo masikio yenu yaingize kile nisemacho.
18 Eis que já tenho ordenado a minha causa, e sei que serei achado justo.
Sasa kwamba nimekwisha kutayarisha mambo yangu, ninajua mimi nitahesabiwa kuwa na haki.
19 Quem é o que contenderá comigo? se eu agora me calasse, daria o espírito.
Je, kuna yeyote anayeweza kuleta mashtaka dhidi yangu? Kama ndivyo, nitanyamaza kimya na nife.
20 Duas coisas somente não faças para comigo; então me não esconderei do teu rosto:
“Ee Mungu, unijalie tu mimi haya mambo mawili, nami sitajificha uso wako:
21 Desvia a tua mão para longe, de sobre mim, e não me espante o teu terror.
Ondoa mkono wako uwe mbali nami, nawe uache kuniogofya kwa hofu zako kuu.
22 Chama, pois, e eu responderei; ou eu falarei, e tu responde-me.
Niite kwenye shauri nami nitajibu, au niache niseme, nawe upate kujibu.
23 Quantas culpas e pecados tenho eu? notifica-me a minha transgressão e o meu pecado.
Ni makosa na dhambi ngapi nilizotenda? Nionyeshe kosa langu na dhambi yangu.
24 Porque escondes o teu rosto, e me tens por teu inimigo?
Kwa nini kuuficha uso wako na kunihesabu mimi kuwa adui yako?
25 Porventura quebrantarás a folha arrebatada do vento? e perseguirás o restolho seco?
Je, utaliadhibu jani lipeperushwalo na upepo? Je, utayasaka makapi makavu?
26 Porque escreves contra mim amarguras e me fazes herdar as culpas da minha mocidade?
Kwa kuwa unaandika mambo machungu dhidi yangu na kunifanya nizirithi dhambi za ujana wangu.
27 Também pões no tronco os meus pés, e observas todos os meus caminhos, e marcas as solas dos meus pés.
Umeifunga miguu yangu kwenye pingu. Unazichunga kwa makini njia zangu zote kwa kutia alama kwenye nyayo za miguu yangu.
28 Envelhecendo-se entretanto ele com a podridão, e como o vestido, ao qual roi a traça.
“Hivyo mwanadamu huangamia kama kitu kilichooza, kama vazi lililoliwa na nondo.