< 12 >

1 Então Job respondeu, e disse:
Ndipo Ayubu akajibu:
2 Na verdade, que só vós sois o povo, e convosco morrerá a sabedoria.
“Bila shaka ninyi ndio watu, nayo hekima itakoma mtakapokufa!
3 Também eu tenho um coração como vós, e não vos sou inferior: e quem não sabe tais coisas como estas?
Lakini mimi ninao ufahamu kama ninyi; mimi si duni kwenu. Ni nani asiyejua mambo haya yote?
4 Eu sou irrisão aos meus amigos; eu, que invoco a Deus, e ele me responde; o justo e o reto servem de irrisão.
“Nimekuwa mtu wa kuchekwa na rafiki zangu, ingawa nilimwita Mungu naye akanijibu: mimi ni mtu wa kuchekwa tu, ingawa ni mwadilifu na nisiye na hatia!
5 Tocha desprezível é na opinião do que está descançado, aquele que está pronto a tropeçar com os pés.
Wanadamu wakiwa katika utulivu huwa na dharau kwa wale wenye msiba kana kwamba ndiyo haki ya wale ambao miguu yao inateleza.
6 As tendas dos assoladores tem descanço, e os que provocam a Deus estão seguros; nas suas mãos Deus lhes põe tudo.
Hema za wanyangʼanyi hazisumbuliwi, wale wanaomghadhibisha Mungu wako salama: wale wamchukuao mungu wao mikononi mwao.
7 Mas, pergunta agora às bestas, e cada uma delas to ensinará: e às aves dos céus, e elas to farão saber;
“Lakini ulizeni wanyama, nao watawafundisha, au ndege wa angani, nao watawaambia;
8 Ou fala com a terra, e ela to ensinará: até os peixes do mar to contarão.
au zungumzeni na dunia, nayo itawafundisha, au acheni samaki wa baharini wawape taarifa.
9 Quem não entende por todas estas coisas que a mão do Senhor faz isto?
Ni nani miongoni mwa hawa wote asiyejua kwamba mkono wa Bwana ndio uliofanya hili?
10 Em cuja mão está a alma de tudo quanto vive, e o espírito de toda a carne humana.
Mkononi mwake kuna uhai wa kila kiumbe, na pumzi ya wanadamu wote.
11 Porventura o ouvido não provará as palavras, como o paladar gosta as comidas?
Je, sikio haliyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula?
12 Com os idosos está a sabedoria, e na longura de dias o entendimento.
Je, hekima haipatikani katikati ya wazee? Je, maisha marefu hayaleti ufahamu?
13 Com ele está a sabedoria e a força: conselho e entendimento tem.
“Hekima na nguvu ni vya Mungu; shauri na ufahamu ni vyake yeye.
14 Eis que ele derriba, e não se reedificará: encerra o homem, e não se lhe abrirá.
Kile anachokibomoa hakiwezi kujengeka tena; mtu aliyefungiwa naye hawezi kufunguliwa.
15 Eis que ele retém as águas, e se secam; e as larga, e transtornam a terra.
Akizuia maji, huwa pana ukame; akiyaachia maji, huharibu nchi.
16 Com ele está a força e a sabedoria: seu é o errante e o que o faz errar.
Kwake kuna nguvu na ushindi; adanganywaye na adanganyaye, wote wawili ni wake.
17 Aos conselheiros leva despojados, e aos juízes faz desvairar.
Yeye huwaondoa washauri wakiwa wametekwa nyara, naye huwapumbaza wanaotoa maamuzi.
18 Solta a atadura dos reis, e ata o cinto aos seus lombos.
Huondoa pingu zilizofungwa na wafalme, na kuwafunga mishipi ya kiunoni.
19 Aos príncipes leva despojados, aos poderosos transtorna.
Huwaondoa makuhani wakiwa wametekwa nyara, na kuwaangusha waliojiimarisha muda mrefu.
20 Aos acreditados tira a fala, e toma o entendimento aos velhos.
Hunyamazisha midomo ya washauri wanaoaminika, na kuondoa busara ya wazee.
21 Derrama desprezo sobre os príncipes, e afrouxa o cinto dos violentos.
Huwamwagia dharau wanaoheshimika, na kuwavua silaha wenye nguvu.
22 As profundezas das trevas manifesta, e a sombra da morte traz à luz.
Hufunua mambo ya ndani ya gizani, na kuyaleta nuruni yale yaliyositirika sana.
23 Multiplica as gentes e as faz perecer; espalha as gentes, e as guia.
Huyafanya mataifa yatukuke na kuyaangamiza; hufanya mataifa kuwa makubwa, naye huyatawanya.
24 Tira o coração aos chefes das gentes da terra, e os faz vaguear pelos desertos, sem caminho.
Huwaondolea viongozi wa nchi akili zao; huwapeleka watangetange nyikani pasipo na njia.
25 Nas trevas andam às apalpadelas, sem terem luz, e os faz desatinar como ébrios.
Hupapasa gizani pasipokuwa na mwanga; huwafanya wapepesuke kama walevi.

< 12 >