< 10 >

1 A minha alma tem tédio à minha vida: darei livre curso à minha queixa, falarei na amargura da minha alma.
Nimechoka na maisha yangu; Nitanena wazi manung'uniko yangu; nitasema kwa uchungu wa roho yangu.
2 Direi a Deus: Não me condenes: faze-me saber porque contendes comigo.
Nitamwambia Mungu, 'Usinihukumie makosa; nionyeshe sababu za wewe kunilaumu mimi. Je
3 Parece-te bem que me oprimas? que rejeites o trabalho das tuas mãos? e resplandeças sobre o conselho dos ímpios?
ni vizuri kwako wewe kunionea mimi, kudharau kazi ya mikono yako wakati unafurahia juu ya mipango ya waovu?
4 Tens tu porventura olhos de carne? vês tu como vê o homem?
Je wewe una macho ya kimwili? Je wewe unaona kama mtu aonavyo?
5 São os teus dias como os dias do homem? Ou são os teus anos como os anos de um homem,
Je siku zako ni kama siku za wanadamu au miaka yako ni kama miaka ya watu,
6 Para te informares da minha iniquidade, e averiguares o meu pecado?
hata ukauliza habari za uovu wangu na kuitafuta dhambi yangu,
7 Bem sabes tu que eu não sou ímpio: todavia ninguém há que me livre da tua mão.
ingawa wewe wafahamu mimi sina kosa na hapana mwingine awezaye kuniokoa mimi na mkono wako?
8 As tuas mãos me fizeram e me formaram todo em roda; contudo me consomes.
Mikono yako imeniumba na kunifinyanga kwa wakati mmoja nawe kunizunguka, hata hivyo unaniangamiza.
9 Peço-te que te lembres de que como barro me formaste e me farás tornar em pó.
Kumbuka, nakuomba, ulivyonifinyanga kama vile udongo; je utanirudisha mavumbini tena?
10 Porventura não me vasaste como leite, e como queijo me não coalhaste?
Je wewe hukunimimina kama maziwa na kunigandisha mfano wa jibini?
11 De pele e carne me vestiste, e com ossos e nervos me ligaste.
Umenivika ngozi na nyama na kuniunganisha pamoja kwa mifupa na misuli.
12 Vida e beneficência me fizeste: e o teu cuidado guardou o meu espírito.
Wewe umenizawadia mimi uhai na ahadi ya upendeleo na usaidizi wako umeilinda roho yangu.
13 Porém estas coisas as ocultaste no teu coração: bem sei eu que isto esteve contigo.
Hata hivyo mambo haya uliyaficha moyoni mwako - nafahamu kwamba hivi ndivyo ufikirivyo:
14 Se eu pecar, tu me observas; e da minha iniquidade não me escusarás.
kuwa kama nimefanya dhambi, wewe utaizingatia; hutaniachilia na uovu wangu.
15 Se for ímpio, ai de mim! e se for justo, não levantarei a minha cabeça: farto estou de afronta; e olho para a minha miséria.
Kama mimi ni muovu, ole wangu; hata kama ni mwenye haki, sitaweza kuinua kichwa changu, kwa kuwa nimejaa aibu na kuyaangalia mateso yangu.
16 Porque se vai crescendo; tu me caças como a um leão feroz: tornas-te, e fazes maravilhas contra mim.
Kama kichwa changu kikijiinua chenyewe, waniwinda kama simba; tena wajionyesha mwenyewe kuwa ni mwenye nguvu kwangu.
17 Tu renovas contra mim as tuas testemunhas, e multiplicas contra mim a tua ira; revezes e combate estão comigo.
Wewe unaleta mashahidi wapya dhidi yangu na kuzidisha hasira zako dhidi yangu; wanishambulia na majeshi mapya.
18 Por que pois me tiraste da madre? Ah se então dera o espírito, e olhos nenhuns me vissem!
Kwa nini, basi, ulinitoa tumboni? Natamani ningekata roho na ili jicho lolote lisinione.
19 Que tivera sido como se nunca fôra: e desde o ventre fôra levado à sepultura!
Ningelikuwa kama asiyekuwepo; ningelichukuliwa kutoka tumboni mpaka kaburini.
20 Porventura não são poucos os meus dias? cessa pois, e deixa-me, para que por um pouco eu tome alento;
Je si siku zangu pekee ni chache? Acha basi, usinisumbue, ili kwamba nipate kupumzika kidogo
21 Antes que vá e de onde nunca torne, à terra da escuridão e da sombra da morte;
kabla sijaenda huko ambako sitarudi, kwenye nchi ya giza na kivuli cha mauti,
22 Terra escuríssima, como a mesma escuridão, terra da sombra, da morte e sem ordem alguma e onde a luz é como a escuridão.
ni nchi ya giza kama usiku wa manane, nchi ya kivuli cha mauti, isiyokuwa na mpangilio, ambayo nuru yake ni kama usiku wa manane.'”

< 10 >