< Isaías 15 >
1 Peso de Moab. Certamente de noite foi destruída Ar de Moab, e foi desfeita: certamente de noite foi destruída Kir de Moab, e foi desfeita.
Neno kuhusu Moabu: Ari iliyo Moabu imeangamizwa: imeharibiwa kwa usiku mmoja! Kiri iliyo Moabu imeangamizwa, imeharibiwa kwa usiku mmoja!
2 Vai subindo a Bayith, e a Dibon, aos lugares altos, a chorar: por Nebo e por Medeba Moab uivará; sobre todas as suas cabeças haverá calva, e toda a barba será rapada.
Diboni anakwea hadi kwenye hekalu lake, mpaka mahali pake pa juu ili walie, Moabu anaombolezea Nebo na Medeba. Kila kichwa kimenyolewa na kila ndevu limeondolewa.
3 Cingiram-se de sacos nas suas ruas: nos seus terraços e nas suas praças todos andam uivando, e veem descendo e chorando.
Wamevaa nguo za magunia barabarani, juu ya mapaa na kwenye viwanja wote wanaomboleza, wamelala kifudifudi kwa kulia.
4 Assim Hesbon como Eleale, andam gritando, até Jahas se ouve a sua voz; pelo que os armados de Moab fazem grande grita, a sua alma lhes será penosa.
Heshboni na Eleale wanalia, sauti zao zinasikika hadi Yahazi. Kwa hiyo watu wenye silaha wa Moabu wanapiga kelele, nayo mioyo yao imezimia.
5 O meu coração dá gritos por Moab: fugiram os seus fugitivos até Zoar, como a novilha de três anos: porque vai subindo com choro pela subida de Luhith, porque no caminho de Horonaim levantam um lastimoso pranto.
Moyo wangu unamlilia Moabu; wakimbizi wake wanakimbilia Soari, hadi Eglath-Shelishiya. Wanapanda njia ya kwenda Luhithi, wanakwenda huku wanalia; barabarani iendayo Horonaimu wanaombolezea maangamizi yao.
6 Porque as águas de Nimrim serão uma pura assolação; porque já secou o feno, pereceu a erva, e não há verdura alguma.
Maji ya Nimrimu yamekauka na majani yamenyauka; mimea imekauka wala hakuna kitu chochote kibichi kilichobaki.
7 Pelo que a abundância que ajuntaram, e o de mais que guardaram, ao ribeiro dos salgueiros o levaram.
Kwa hiyo mali waliyoipata na kujiwekea akiba wamezichukua na kuvuka Bonde la Mierebi.
8 Porque o pranto rodeará aos limites de Moab; até Eglaim chegará o seu uivo, e ainda até Beerelim chegará o seu uivo
Mwangwi wa kilio chao umefika hadi mpakani mwa Moabu, kilio chao cha huzuni kimefika hadi Eglaimu, maombolezo yao hadi Beer-Elimu.
9 Porquanto as águas de Dimon estão cheias de sangue, porque ainda acrescentarei a Dimon os sobejos; a saber, leões contra aqueles que escaparem de Moab, como também contra as relíquias da terra.
Maji ya Dimoni yamejaa damu, lakini bado nitaleta pigo jingine juu ya Dimoni: simba juu ya wakimbizi wa Moabu na juu ya wale wanaobaki katika nchi.