< Salmos 91 >
1 Aquelle que habita no esconderijo do Altissimo, á sombra do Omnipotente descançará.
Yeye akaaye mahali pa salama pake Yeye Aliye Juu Sana, atadumu katika uvuli wake Mwenyezi.
2 Direi do Senhor: Elle é o meu Deus, o meu refugio, a minha fortaleza, e n'elle confiarei.
Nitasema kumhusu Bwana, “Yeye ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu, ambaye ninamtumaini.”
3 Porque elle te livrará do laço do passarinheiro, e da peste perniciosa.
Hakika yeye ataniokoa na mtego wa mwindaji, na maradhi ya kuambukiza ya kuua.
4 Elle te cobrirá com as suas pennas, e debaixo das suas azas te confiarás: a sua verdade será o teu escudo e rodella.
Atakufunika kwa manyoya yake, chini ya mbawa zake utapata kimbilio, uaminifu wake utakuwa ngao na kinga yako.
5 Não terás medo do terror de noite nem da setta que vôa de dia,
Hutaogopa vitisho vya usiku, wala mshale urukao mchana,
6 Nem da peste que anda na escuridão, nem da mortandade que assola ao meio-dia.
wala maradhi ya kuambukiza yanayonyemelea gizani, wala tauni iharibuyo adhuhuri.
7 Mil cairão ao teu lado, e dez mil á tua direita, mas não chegará a ti.
Ijapo watu elfu wataangukia kando yako, kumi elfu mkono wako wa kuume, lakini haitakukaribia wewe.
8 Sómente com os teus olhos contemplarás, e verás a recompensa dos impios.
Utatazama tu kwa macho yako na kuona adhabu ya waovu.
9 Porque tu, ó Senhor, és o meu refugio: no Altissimo fizeste a tua habitação.
Kama ukimfanya Aliye Juu Sana kuwa makao yako: naam, Bwana ambaye ni kimbilio langu,
10 Nenhum mal te succederá, nem praga alguma chegará á tua tenda.
basi hakuna madhara yatakayokupata wewe, hakuna maafa yataikaribia hema yako.
11 Porque aos seus anjos dará ordem a teu respeito para te guardarem em todos os teus caminhos.
Kwa kuwa atawaagiza malaika zake kwa ajili yako, wakulinde katika njia zako zote.
12 Elles te sustentarão nas suas mãos, para que não tropeces com o teu pé em pedra.
Mikononi mwao watakuinua, ili usijikwae mguu wako kwenye jiwe.
13 Pisarás o leão e a cobra; calcarás aos pés o filho do leão e o dragão.
Utawakanyaga simba na nyoka wakali, simba mkubwa na nyoka utawaponda kwa miguu.
14 Porquanto tão encarecidamente me amou, tambem eu o livrarei; pôl-o-hei em retiro alto, porque conheceu o meu nome.
Bwana asema, “Kwa kuwa ananipenda, nitamwokoa; nitamlinda, kwa kuwa analikiri Jina langu.
15 Elle me invocará, e eu lhe responderei; estarei com elle na angustia; d'ella o retirarei, e o glorificarei.
Ataniita, nami nitamjibu; nitakuwa pamoja naye katika taabu, nitamwokoa na kumheshimu.
16 Fartal-o-hei com longura de dias, e lhe mostrarei a minha salvação.
Kwa siku nyingi nitamshibisha na kumwonyesha wokovu wangu.”