< Salmos 3 >
1 Senhor, como se teem multiplicado os meus adversarios! são muitos os que se levantam contra mim.
Yahewh, maadui zangu wako wangapi! Ni wengi wamekuja kinyume na mimi.
2 Muitos dizem da minha alma: Não ha salvação para elle em Deus (Selah)
Ni wengi wanaonisema, “Hakuna msaada wowote kutoka kwa Mungu kwa ajili yake.” (Selah)
3 Porém tu, Senhor, és um escudo para mim, a minha gloria, e o que exalta a minha cabeça.
Bali wewe, Yahweh, u ngao yangu pande zote, utukufu wangu, na uniinuaye kichwa changu.
4 Com a minha voz clamei ao Senhor, e ouviu-me desde o seu sancto monte (Selah)
Nampazia Yahweh sauti yangu, na yeye ananijibu kutoka katika mlima wake mtakatifu.
5 Eu me deitei e dormi: acordei; porque o Senhor me sustentou.
Nilijilaza chini na kusinzia; na niliamka, kwa kuwa Yahweh alinilinda.
6 Não temerei os milhares de povo que se pozeram contra mim e me cercam.
Sitaogopa kusanyiko la watu ambao wamejipanga kinyume na mimi pande zote.
7 Levanta-te, Senhor; salva-me, Deus meu; pois feriste a todos os meus inimigos nos queixos; quebraste os dentes aos impios.
Inuka, Yahweh! Uniokoe, Mungu wangu! Kwa kuwa utawapiga maadui zangu wote kwenye taya zao; utayavunja meno ya waovu.
8 A salvação vem do Senhor; sobre o teu povo seja a tua benção. (Selah)
Wokovu unatoka kwa Yahweh. Baraka zako ziwe juu ya watu wako.