< Salmos 3 >

1 Senhor, como se teem multiplicado os meus adversarios! são muitos os que se levantam contra mim.
Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu. Ee Bwana, tazama adui zangu walivyo wengi! Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!
2 Muitos dizem da minha alma: Não ha salvação para elle em Deus (Selah)
Wengi wanasema juu yangu, “Mungu hatamwokoa.”
3 Porém tu, Senhor, és um escudo para mim, a minha gloria, e o que exalta a minha cabeça.
Lakini wewe, Ee Bwana, ni ngao pande zote; umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.
4 Com a minha voz clamei ao Senhor, e ouviu-me desde o seu sancto monte (Selah)
Ninamlilia Bwana kwa sauti kuu, naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.
5 Eu me deitei e dormi: acordei; porque o Senhor me sustentou.
Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
6 Não temerei os milhares de povo que se pozeram contra mim e me cercam.
Sitaogopa makumi elfu ya adui, wanaojipanga dhidi yangu kila upande.
7 Levanta-te, Senhor; salva-me, Deus meu; pois feriste a todos os meus inimigos nos queixos; quebraste os dentes aos impios.
Ee Bwana, amka! Niokoe, Ee Mungu wangu! Wapige adui zangu wote kwenye taya, vunja meno ya waovu.
8 A salvação vem do Senhor; sobre o teu povo seja a tua benção. (Selah)
Kwa maana wokovu watoka kwa Bwana. Baraka yako na iwe juu ya watu wako.

< Salmos 3 >