< Neemias 10 >

1 E os que sellaram foram Nehemias, o tirsatha, filho de Hacalias, e Zedekias,
Wale waliotia muhuri walikuwa: Nehemia mtawala, mwana wa Hakalia. Sedekia,
2 Seraias, Azarias, Jeremias,
Seraya, Azaria, Yeremia,
3 Pashur, Amarias, Malchias,
Pashuri, Amaria, Malkiya,
4 Hattus, Sebanias, Malluch,
Hatushi, Shebania, Maluki,
5 Harim, Meremoth, Obadias,
Harimu, Meremothi, Obadia,
6 Daniel, Ginnethon, Baruch,
Danieli, Ginethoni, Baruku,
7 Mesullum, Abias, Miamin,
Meshulamu, Abiya, Miyamini,
8 Maasias, Bilgai, Semaias: estes foram os sacerdotes.
Maazia, Bilgai na Shemaya. Hawa ndio waliokuwa makuhani.
9 E os levitas: Jesué, filho de Azanias, Binnui, dos filhos de Henadad, Kadmiel,
Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,
10 E seus irmãos: Sebanias, Hodias, Kelita, Pelaias, Hanan,
na wenzao: Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,
11 Micha, Rehob, Hasabias,
Mika, Rehobu, Hashabia,
12 Zacchur, Serebias, Sebanias,
Zakuri, Sherebia, Shebania,
13 Hodias, Bani, Beninu.
Hodia, Bani na Beninu.
14 Os chefes do povo: Pareos, Pahat-moab, Elam, Zatthu, Bani,
Viongozi wa watu: Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,
15 Bunni, Asgad, Bebai,
Buni, Azgadi, Bebai,
16 Adonias, Bigvai, Adin,
Adoniya, Bigwai, Adini,
17 Ater, Hiskias, Azur,
Ateri, Hezekia, Azuri,
18 Hodias, Hasum, Besai,
Hodia, Hashumu, Besai,
19 Hariph, Anathoth, Nebai,
Harifu, Anathothi, Nebai,
20 Magpias, Mesullum, Hezir,
Magpiashi, Meshulamu, Heziri,
21 Mezezabeel, Zadok, Jaddua
Meshezabeli, Sadoki, Yadua,
22 Pelatias, Hanan, Anaias,
Pelatia, Hanani, Anaya,
23 Hoseas, Hananias, Hassub,
Hoshea, Hanania, Hashubu,
24 Hollohes, Pilha, Sobek,
Haloheshi, Pilha, Shobeki,
25 Rehum, Hasabna, Maaseias;
Rehumu, Hashabna, Maaseya,
26 E Ahias, Hanan, Anan,
Ahiya, Hanani, Anani,
27 Malluch, Harim, Baana.
Maluki, Harimu na Baana.
28 E o resto do povo, os sacerdotes, os levitas, os porteiros, os cantores, os nethineos, todos os que se tinham separado dos povos das terras para a lei de Deus, suas mulheres, seus filhos, e suas filhas; todos os sabios e entendidos;
“Watu wengine wote, wakiwa ni makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, watumishi wa Hekalu, na wale wote waliojitenga na mataifa jirani kwa ajili ya Sheria ya Mungu, pamoja na wake zao na wana wao na binti zao wote waliokuwa na uwezo wa kufahamu,
29 Firmemente adheriam a seus irmãos os mais nobres de entre elles, e convieram n'um anathema e n'um juramento, de que andariam na lei de Deus, que foi dada pelo ministerio de Moysés, servo de Deus; e de que guardariam e fariam todos os mandamentos do Senhor, nosso Senhor, e os seus juizos e os seus estatutos;
basi hawa wote wanajiunga na ndugu zao na wakuu wao, na kujifunga kwa laana na kwa kiapo kufuata Sheria ya Mungu iliyotolewa kupitia kwa Mose mtumishi wa Mungu, na kutii kwa uangalifu amri zote, maagizo na sheria za Bwana, Bwana wetu.
30 E que não dariamos as nossas filhas aos povos da terra, nem tomariamos as filhas d'elles para os nossos filhos.
“Tunaahidi kutowaoza binti zetu kwa watu wanaotuzunguka, wala kuwaoza wana wetu binti zao.
31 E que, trazendo os povos da terra no dia de sabbado algumas fazendas, e qualquer grão para venderem, não a tomariamos d'elles no sabbado, nem no dia sanctificado: e livre deixariamos o anno setimo, e toda e qualquer cobrança.
“Wakati mataifa jirani waletapo bidhaa zao au nafaka kuuza siku ya Sabato, hatutazinunua kutoka kwao siku ya Sabato, wala siku nyingine yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba, tutaacha kuilima ardhi na tutafuta madeni yote.
32 Tambem nos pozemos preceitos, impondo-nos cada anno a terça parte d'um siclo, para o ministerio da casa do nosso Deus;
“Tunakubali wajibu wa kutimiza amri za kutoa theluthi ya shekeli kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu:
33 Para os pães da proposição, e para a continua offerta de manjares, e para o continuo holocausto dos sabbados, das luas novas, para as festas solemnes, e para as coisas sagradas, e para os sacrificios pelo peccado, para reconciliar a Israel, e para toda a obra da casa do nosso Deus.
Kwa ajili ya mikate ya Wonyesho, kwa ajili ya sadaka za kawaida za nafaka na sadaka za kuteketezwa, kwa ajili ya sadaka za siku za Sabato, Sikukuu za Mwandamo wa Mwezi na sikukuu nyingine zilizoamriwa, kwa ajili ya sadaka takatifu, kwa ajili ya sadaka za dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.
34 Tambem lançámos as sortes entre os sacerdotes, levitas, e o povo, ácerca da offerta da lenha que se havia de trazer á casa do nosso Deus, segundo as casas de nossos paes, a tempos determinados, de anno em anno, para se queimar sobre o altar do Senhor nosso Deus, como está escripto na lei.
“Sisi makuhani, Walawi na watu, tumepiga kura kuamua kuwa kila mmoja wa jamaa zetu lazima alete katika nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati maalum kila mwaka mchango wa kuni za kukokea moto katika madhabahu ya Bwana Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria.
35 Que tambem trariamos as primeiras novidades da nossa terra, e todos os primeiros fructos de todas as arvores, de anno em anno, á casa do Senhor.
“Pia tunachukua wajibu wa kuleta malimbuko ya mazao yetu na matunda ya kwanza ya kila mti wa matunda katika nyumba ya Bwana kila mwaka.
36 E os primogenitos dos nossos filhos, e os das nossas bestas, como está escripto na lei: e que os primogenitos das nossas vaccas e das nossas ovelhas trariamos á casa do nosso Deus, aos sacerdotes, que ministram na casa do nosso Deus.
“Kama pia ilivyoandikwa katika Sheria, tutawaleta wazaliwa wetu wa kwanza wa kiume, na wa mifugo yetu, yaani wa ngʼombe wetu na wa makundi yetu ya kondoo na mbuzi, katika nyumba ya Mungu wetu, kwa ajili ya makuhani wanaohudumu huko.
37 E que as primicias da nossa massa, e as nossas offertas alçadas, e o fructo de toda a arvore, o mosto e o azeite, trariamos aos sacerdotes, ás camaras da casa do nosso Deus; e os dizimos da nossa terra aos levitas: e que os levitas pagariam os dizimos em todas as cidades da nossa lavoura.
“Zaidi ya hayo, tutaleta katika ghala za nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani, vyakula vya kwanza vya mashamba yetu, sadaka zetu za nafaka, matunda ya miti yetu yote, divai yetu mpya na mafuta. Nasi tutaleta zaka za mazao yetu kwa Walawi, kwa kuwa Walawi ndio ambao hukusanya zaka katika miji yote tunakofanya kazi.
38 E que o sacerdote, filho de Aarão, estaria com os levitas quando os levitas recebessem os dizimos, e que os levitas trariam os dizimos dos dizimos á casa do nosso Deus, ás camaras da casa do thesouro.
Kuhani atokanaye na uzao wa Aroni atashirikiana na Walawi wakati wanapopokea zaka, nao Walawi itawapasa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu katika ghala za hazina.
39 Porque áquellas camaras os filhos de Israel e os filhos de Levi devem trazer offertas alçadas do grão, do mosto e do azeite: porquanto ali estão os vasos do sanctuario, como tambem os sacerdotes que ministram, e os porteiros, e os cantores: e que assim não desamparariamos a casa do nosso Deus
Watu wa Israeli pamoja na Walawi itawapasa kuleta michango yao ya nafaka, divai mpya na mafuta katika vyumba vya ghala, mahali vifaa vya mahali patakatifu vinapohifadhiwa, na wanapokaa makuhani wanaohudumu, na mabawabu na waimbaji. “Hatutaacha kuijali nyumba ya Mungu wetu.”

< Neemias 10 >