< Jó 30 >
1 Porém agora se riem de mim os de menos edade do que eu, cujos paes eu teria desdenhado de pôr com os cães do meu rebanho.
Sasa vijana wananidhihaki - vijana ambao baba zao wasingeweza hata kuwahudumia mbwa wa kundi langu.
2 De que tambem me serviria a força das suas mãos? já de velhice se tinham esgotado n'elles.
Kwa kweli, nguvu za mikono ya baba zao, zingenisaidia nini - watu ambao hawakuwa na nguvu wakati wa kukua kwao?
3 De mingua e fome andavam sós, e recolhiam-se para os logares seccos, tenebrosos, assolados e desertos.
Walidhoofishwa na umasikini na njaa; walisaga nchi kavu mafichoni.
4 Apanhavam malvas junto aos arbustos, e o seu mantimento eram as raizes dos zimbros.
Walichuma mche chumvi na majani ya vichaka; mizizi ya mti wa ufagio ilikuwa ndiyo chakula chao.
5 Do meio dos homens foram expulsos, e gritavam contra elles, como contra o ladrão:
Waliondolewa miongoni mwa watu waliopiga kelele nyuma yao kama ambavyo mtu angempigia kelele mwizi.
6 Para habitarem nos barrancos dos valles, e nas cavernas da terra e das rochas.
Hivyo walipaswa kuishi katika mabonde ya mto, katika mashimo ya ardhi na miamba.
7 Bramavam entre os arbustos, e ajuntavam-se debaixo das ortigas.
Walilia kwa uchungu porini kama punda; chini ya vichaka walikutana.
8 Eram filhos de doidos, e filhos de gente sem nome, e da terra foram expulsos.
Walikuwa uzao wa wapumbavu, hakika, wa watu wasiofaa; waliondolewa duniani kama waarifu.
9 Porém agora sou a sua canção, e lhes sirvo de rifão.
Lakini sasa, nimekua sababu ya wimbo wa dhihaka kwa wana wao; hakika, nimekuwa mzaa kwao.
10 Abominam-me, e fogem para longe de mim, e do meu rosto não reteem o seu escarro.
Wananichukia na kusimama mbali nami; hawaachi kunitemea usoni.
11 Porque Deus desatou o meu cordão, e me opprimiu, pelo que sacudiram de si o freio perante o meu rosto.
Kwa maana Mungu ameondoa kamba katika upinde wangu na amenipiga, na hivyo watu hawa wanashindwa kujizuia mbele yangu.
12 Á direita se levantam os moços; empurram os meus pés, e preparam contra mim os seus caminhos de destruição.
Kundi la vijana wabaya wanashambulia nguvu zangu; wananiondolea mbali na kukusanya kinyume changu rundo la kuhusuru.
13 Desbarataram-me o meu caminho: promovem a minha miseria: não teem ajudador.
Wanaharibu maisha yangu; wanapeleka mbele maangamizi yangu, watu wasio na wakuwazuia.
14 Veem contra mim como por uma grande brecha, e revolvem-se entre a assolação.
Wanakuja kinyume changu kama jeshi katika tundu pana katika ukuta wa mji; katikati ya maangamizi wanajizungusha juu yangu.
15 Sobrevieram-me pavores; como vento perseguem a minha honra, e como nuvem passou a minha felicidade.
Hofu zimeniandama; heshima yangu imeondolewa mbali nami kama kwa upepo; mafanikio yangu yameondolewa kama wingu.
16 E agora derrama-se em mim a minha alma: os dias da afflicção se apoderaram de mim.
Sasa uhai wangu umeondolewa ndani yangu; siku nyingi za maumivu zimenipita.
17 De noite se me traspassam os meus ossos, e os pulsos das minhas veias não descançam.
Mifupa inauma ndani yangu wakati wa usiku; maumivu yanayonisaga hayaishi.
18 Pela grandeza da força das dôres se demudou o meu vestido, e elle como o cabeção da minha tunica me cinge.
Nguvu kuu ya Mungu imeshika mavazi yangu; yananizunguka kama kala ya vazi langu.
19 Lançou-me na lama, e fiquei similhante ao pó e á cinza.
Amenitupa matopeni; nimekuwa kama vumbi na majivu.
20 Clamo a ti, porém tu não me respondes: estou em pé, porém para mim não attentas.
Nakulilia wewe, Mungu, lakini haunijibu; ninasimama, nawe unaniangalia tu.
21 Tornaste-te a ser cruel contra mim: com a força da tua mão resistes violentamente.
Umegeuka na kuwa mkali kwangu; kwa nguvu za mkono wako umenitesa.
22 Levantas-me sobre o vento, fazes-me cavalgar sobre elle, e derretes-me o ser.
Unaniinua katika upepo na kuufanya unikokote; unanirusha huku na kule katika dhoruba.
23 Porque eu sei que me levarás á morte e á casa do ajuntamento determinado a todos os viventes.
Kwa maana najua ya kwamba utanipeleka mautini, nyumba ya hatima kwa viumbe vyote.
24 Porém não estenderá a mão para o montão de terra, se houve clamor n'elles contra mim na sua desventura.
Lakini, je hakuna ainuaye mkono wake kuomba msaada aangukapo? Je hakuna aombaye msaada akiwa tabuni?
25 Porventura, não chorei sobre aquelle que estava afflicto? ou não se angustiou a minha alma pelo necessitado?
Je sikulia kwa ajili yake aliyekuwa tabuni? Je sijahuzunika kwa ajili ya mwitaji?
26 Todavia aguardando eu o bem, então me veiu o mal, e esperando eu a luz, veiu a escuridão.
Nilipotazamia mema, ndipo yalipokuja mabaya; niliposubiri nuru, giza lilikuja badala yake.
27 As minhas entranhas ferveram e não estão quietas: os dias da afflicção me surprehenderam.
Moyo wangu umetaabika na hautulii; siku za mateso zimenipata.
28 Denegrido ando, porém não do sol, e, levantando-me na congregação, clamo por soccorro.
Nimekuwa na ngozi nyeusi lakini si kwa sababu ya jua; nasimama katika kusanyiko na kulilia msaada.
29 Irmão me fiz dos dragões, e companheiro dos abestruzes.
Nimekuwa ndugu kwa mbwea, mshirika wa mbuni.
30 Ennegreceu-se a minha pelle sobre mim, e os meus ossos estão queimados do calor.
Ngozi yangu imekuwa nyeusi na inapukutika; mifupa yangu imeunguzwa na joto.
31 Pelo que se trocou a minha harmonia em lamentação, e o meu orgão em voz dos que choram.
Kwa hiyo kinubi changu kimefunguliwa kwa nyimbo za maombolezo, zomari yangu kwa kuimba kwao waombolezao.