< 18 >

1 Então respondeu Bildad, o suhita, e disse:
Bildadi Mshuhi akajibu:
2 Até quando não fareis fim de palavras? considerae bem, e então fallaremos.
“Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya? Uwe mwenye busara, nasi ndipo tutakapoweza kuongea.
3 Porque somos estimados como bestas, e immundos aos vossos olhos?
Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama, na kuonekana wajinga machoni pako?
4 Oh tu, que despedaças a tua alma na tua ira, será a terra deixada por tua causa? e remover-se-hão as rochas do seu logar?
Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande katika hasira yako, je, dunia iachwe kwa ajili yako wewe? Au ni lazima miamba iondolewe mahali pake?
5 Na verdade, a luz dos impios se apagará, e a faisca do seu fogo não resplandecerá.
“Taa ya mwovu imezimwa, nao mwali wa moto wake umezimika.
6 A luz se escurecerá nas suas tendas, e a sua lampada sobre elle se apagará.
Mwanga hemani mwake umekuwa giza; taa iliyo karibu naye imezimika.
7 Os passos do seu poder se estreitarão, e o seu conselho o derribará.
Nguvu za hatua zake zimedhoofishwa; shauri lake baya litamwangusha.
8 Porque por seus proprios pés é lançado na rede, e andará nos fios enredados.
Miguu yake imemsukumia kwenye wavu, naye anatangatanga kwenye matundu ya wavu.
9 O laço o apanhará pelo calcanhar, e prevalecerá contra elle o salteador.
Tanzi litamkamata kwenye kisigino; mtego utamshikilia kwa nguvu.
10 Está escondida debaixo da terra uma corda, e uma armadilha na vereda,
Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake; mtego uko kwenye njia yake.
11 Os assombros o espantarão em redor, e o farão correr d'uma parte para a outra, por onde quer que apresse os passos.
Vitisho vimemtia hofu kila upande, na adui zake humwandama kila hatua.
12 Será faminto o seu rigor, e a destruição está prompta ao seu lado.
Janga linamwonea shauku; maafa yako tayari kwa ajili yake aangukapo.
13 O primogenito da morte consumirá as costellas da sua pelle: consumirá, digo, os seus membros.
Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake; mzaliwa wa kwanza wa mauti atakula maungo yake.
14 A sua confiança será arrancada da sua tenda, e isto o fará caminhar para o rei dos assombros.
Atangʼolewa kutoka usalama wa hema lake, na kupelekwa kwa mfalme wa vitisho.
15 Morará na sua mesma tenda, não lhe ficando nada: espalhar-se-ha enxofre sobre a sua habitação.
Moto utakaa katika hema lake; moto wa kiberiti utamwagwa juu ya makao yake.
16 Por debaixo se seccarão as suas raizes, e por de cima serão cortados os seus ramos.
Mizizi yake chini itakauka na matawi yake juu yatanyauka.
17 A sua memoria perecerá da terra, e pelas praças não terá nome.
Kumbukumbu lake litatoweka katika dunia, wala hatakuwa na jina katika nchi.
18 Da luz o lançarão nas trevas, e afugental-o-hão do mundo.
Ameondolewa nuruni na kusukumiwa gizani, naye amefukuzwa mbali atoke duniani.
19 Não terá filho nem neto entre o seu povo, e resto nenhum d'elle ficará nas suas moradas.
Hana mtoto wala mzao miongoni mwa watu wake, wala aliyenusurika mahali alipoishi.
20 Do seu dia se espantarão os vindouros, e os antigos serão sobresaltados de horror.
Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata; watu wa mashariki watapatwa na hofu.
21 Taes são, na verdade, as moradas do perverso, e este é o logar do que não conhece a Deus.
Hakika ndivyo yalivyo makao ya mtu mwovu; ndivyo palivyo mahali pake mtu asiyemjua Mungu.”

< 18 >