< Jeremias 45 >

1 A palavra que fallou Jeremias, o propheta, a Baruch, filho de Nerias, escrevendo elle aquellas palavras n'um livro da bocca de Jeremias, no anno quarto de Joaquim, filho de Josias, rei de Judah, dizendo:
Hili ndilo nabii Yeremia alilomwambia Baruku mwana wa Neria katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, baada ya Baruku kuandika katika kitabu maneno ambayo yalitoka kinywani mwa Yeremia wakati ule:
2 Assim diz o Senhor, Deus d'Israel, ácerca de ti, ó Baruch:
“Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku:
3 Disseste: Ai de mim agora! porque me accrescentou o Senhor tristeza sobre minha dôr: já estou cançado do meu gemido, e não acho descanço.
Ulisema, ‘Ole wangu! Bwana ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu, nimechoka kwa kulia kwa uchungu wala sipati pumziko.’”
4 Pelo que assim lhe dirás: Assim diz o Senhor: Eis que o que edifiquei eu derribo, e o que plantei eu arranco, e isso em toda esta terra.
Bwana akasema, “Mwambie hivi: ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Nitakibomoa kile nilichokijenga, na kungʼoa kile nilichokipanda katika nchi yote.
5 E tu te buscarias grandezas? não as busques; porque eis que trago mal sobre toda a carne, diz o Senhor; porém te darei a ti a tua alma por despojo, em todos os logares para onde fores.
Je, utajitafutia mambo makubwa kwa ajili yako mwenyewe? Usiyatafute hayo. Kwa kuwa nitaleta maangamizi juu ya watu wote, asema Bwana, lakini popote utakapokwenda, nitayaokoa maisha yako.’”

< Jeremias 45 >