< Oséias 7 >

1 Sarando eu a Israel, se descobriu a iniquidade d'Ephraim, como tambem as maldades de Samaria, porque obraram a falsidade; e o ladrão entra, e a tropa dos salteadores despoja por fóra.
Wakati wowote ninapotaka kuponya Israeli, dhambi ya Efraimu inafunuliwa, pamoja na matendo maovu ya Samaria, kwa sababu wanafanya udanganyifu; mwizi huingia, na kundi la wanyang'anyi hushambulia mitaani.
2 E não dizem no seu coração que eu me lembro de toda a sua maldade: agora, pois, os cercam as suas obras; diante da minha face estão.
Hawatambui mioyoni mwao kwamba ninakumbuka matendo yao mabaya. Sasa matendo yao huwazunguka; yapo mbele ya uso wangu.
3 Com a sua malicia alegram ao rei, e com as suas maneiras aos principes.
Kwa sababu ya uovu wao wamemfanya mfalme awe na furaha, na maofisa wao kwa uongo wao.
4 Todos juntamente adulteram: similhantes são ao forno acceso pelo padeiro, que cessa de vigiar, depois que amassou a massa, até que seja levedada.
Wote ni wazinzi, kama tanuru iliyochomwa na mwokaji, ambaye huacha kuuchochea moto tangu kukanda unga mpaka kuwa chachu.
5 E o dia do nosso rei os principes o fazem adoecer, por esquentamento do vinho: estende a sua mão com os escarnecedores.
Siku ya mfalme wetu, viongozi walijifanya wagonjwa na ukali wa divai. Alinyoosha mkono wake kwa wale waliokuwa wakidhihaki.
6 Porque, como um forno, applicaram o coração, emboscando-se; toda a noite dorme o seu padeiro, pela manhã arde como fogo de chamma.
kwa mioyo kama tanuri, wao hupanga mipango yao ya udanganyifu. Hasira zao hulala usiku wote; asubuhi huwaka juu kama moto.
7 Todos juntos se esquentam como o forno, e consomem os seus juizes: todos os seus reis caem, ninguem entre elles ha que clame a mim.
Wote wamepata moto kama tanuru, na huwaangamiza wale wanaowatawala. Wafalme wao wote wameanguka; hakuna hata mmoja wao ananiita.
8 Ephraim com os povos se mistura; Ephraim é um bolo que não foi virado.
Efraimu anajichanganya mwenyewe kati ya watu. Efraimu ni mkate ambayo haujawahi kugeuzwa.
9 Estrangeiros lhe comeram a força, e não o sabe; tambem as cãs se espalharam sobre elle, e não o sabe.
Wageni wamekula nguvu zake, lakini hajui. Nywele za mvi hunyunyiza juu yake, lakini hajui.
10 E a soberba de Israel testificará em sua face; e não voltarão para o Senhor seu Deus, nem o buscarão em tudo isto.
Kiburi cha Israeli kinawashuhudia; hata hivyo, hawajarudi kwa Bwana, Mungu wao, wala hawakumtafuta licha ya hayo yote.
11 Porque Ephraim é como uma pomba enganada, sem entendimento: invocam o Egypto, vão para a Assyria.
Efraimu ni kama njiwa, baradhuli na asiye na busara, humwita kwenda Misri, kisha huruka kwenda Ashuru.
12 Quando forem, sobre elles estenderei a minha rede, e como aves do céu os farei descer: castigal-os-hei, conforme ao que elles teem ouvido na sua congregação.
Wakienda, nitasambaza wavu wangu juu yao, nami nitawaangusha kama ndege wa angani. Nitawaadhibu katika kusonga kwao pamoja.
13 Ai d'elles, porque fugiram de mim: destruição sobre elles, porque se rebellaram contra mim: eu os remi, porém fallam mentiras contra mim.
Ole wao! Kwa maana wamepotea kutoka kwangu. Uharibifu unawajia! Wao wameasi dhidi yangu! Napenda kuwaokoa, lakini waliongea uongo dhidi yangu.
14 E não clamaram a mim do seu coração, quando davam uivos nas suas camas; para o trigo e para o vinho se ajuntam, mas contra mim se rebellam.
Wala hawakunililia kwa moyo wao wote, lakini wanaomboleza kwenye vitanda vyao. Wanakusanyika kwa ajili ya nafaka na divai mpya, nao wananiasi mimi.
15 Eu os castiguei, e lhes esforcei os braços, mas pensam mal contra mim.
Ingawa niliwafundisha na kuimarisha mikono yao, sasa wanapanga mabaya dhidi yangu.
16 Tornaram-se, mas não ao Altissimo. Fizeram-se como um arco enganoso: caem á espada os seus principes, por causa da colera da sua lingua; este será o seu escarneo na terra do Egypto.
Wanarudi, lakini harudi kwangu, Niliye Juu. Wao ni kama upinde usiotumainika. Maofisa wao wataanguka kwa upanga kwa sababu ya udhalimu wa vinywa. Hii itakuwa ni aibu yao katika nchi ya Misri.

< Oséias 7 >