< Hebreus 1 >

1 Havendo Deus antigamente fallado muitas vezes, e em muitas maneiras, aos paes, pelos prophetas, a nós fallou-nos n'estes ultimos dias pelo Filho,
Zamani Mungu alisema na baba zetu kwa njia ya manabii mara nyingi na kwa njia mbalimbali,
2 A quem constituiu herdeiro de todas as coisas, por quem fez tambem o mundo. (aiōn g165)
lakini katika siku hizi za mwisho anasema nasi kwa njia ya Mwanawe, ambaye amemweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia kwake aliuumba ulimwengu. (aiōn g165)
3 O qual, sendo o resplendor da sua gloria, e a expressa imagem da sua pessoa, e sustentando todas as coisas, pela palavra do seu poder, havendo feito por si mesmo a purificação dos nossos peccados, assentou-se á dextra da magestade nas alturas;
Mwana ni mngʼao wa utukufu wa Mungu na mfano halisi wa nafsi yake, akivihifadhi vitu vyote kwa neno lake lenye uweza. Akiisha kufanya utakaso kwa ajili ya dhambi, aliketi mkono wa kuume wa Aliye Mkuu huko mbinguni.
4 Feito tanto mais excellente do que os anjos, quanto herdou mais excellente nome do que elles.
Kwa hiyo alifanyika bora kuliko malaika, kama jina alilorithi lilivyo bora kuliko lao.
5 Porque, a qual dos anjos disse jámais: Tu és meu Filho, hoje te gerei? E outra vez: Eu lhe serei por Pae, e elle me será por Filho?
Kwa maana ni malaika yupi ambaye wakati wowote Mungu alipata kumwambia, “Wewe ni Mwanangu; leo mimi nimekuzaa?” Au tena, “Mimi nitakuwa Baba yake, naye atakuwa Mwanangu?”
6 E outra vez, quando introduziu no mundo o primogenito, diz: E todos os anjos de Deus o adorem.
Tena, Mungu amletapo mzaliwa wake wa kwanza ulimwenguni, anasema, “Malaika wote wa Mungu na wamsujudu.”
7 E, quanto aos anjos, diz: O que a seus anjos faz espiritos, e a seus ministros labareda de fogo.
Anenapo kuhusu malaika asema, “Huwafanya malaika wake kuwa pepo, watumishi wake kuwa miali ya moto.”
8 Mas, quanto ao Filho, diz: Ó Deus, o teu throno subsiste pelos seculos dos seculos: sceptro de equidade é o sceptro do teu reino: (aiōn g165)
Lakini kwa habari za Mwana asema, “Kiti chako cha enzi, Ee Mungu, kitadumu milele na milele, nayo haki itakuwa fimbo ya utawala ya ufalme wako. (aiōn g165)
9 Amaste a justiça e aborreceste a iniquidade; por isso Deus, o teu Deus, te ungiu com oleo de alegria mais do que a teus companheiros.
Umependa haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekuweka juu ya wenzako kwa kukupaka mafuta ya furaha.”
10 E: Tu, Senhor, no principio fundaste a terra, e os céus são obra de tuas mãos:
Pia asema, “Hapo mwanzo, Ee Bwana, uliweka misingi ya dunia, nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.
11 Elles perecerão, porém tu permanecerás; e todos elles, como roupa, se envelhecerão,
Hizo zitatoweka, lakini wewe utadumu; zote zitachakaa kama vazi.
12 E como uma manta os enrolarás, e mudar-se-hão, porém tu és o mesmo, e os teus annos não acabarão.
Utazikungʼutakungʼuta kama joho, nazo zitachakaa kama vazi. Lakini wewe hubadiliki, nayo miaka yako haikomi kamwe.”
13 E a qual dos anjos disse jámais: Assenta-te á minha dextra até que ponha a teus inimigos por escabello de teus pés?
Je, ni kwa malaika yupi ambaye Mungu amepata kumwambia wakati wowote, “Keti mkono wangu wa kuume, hadi nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako”?
14 Não são porventura todos elles espiritos ministradores, enviados para servir a favor d'aquelles que hão de herdar a salvação?
Je, malaika wote si roho watumikao, waliotumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu?

< Hebreus 1 >