< Hebreus 13 >

1 Permaneça a caridade fraternal.
Basi upendo wa ndugu na uendelee.
2 Não vos esqueçaes da hospitalidade, porque por ella alguns, não o sabendo, hospedaram anjos.
Msisahau kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivi, baadhi wamewakaribisha malaika pasipo kujua.
3 Lembrae-vos dos presos, como se juntamente estivesseis presos, e dos maltratados, como o sendo vós mesmos tambem no corpo.
Kumbuka wote waliomo gerezani, kana kwamba mulikuwa nao kule pamoja nao, na kama miili yenu ilitendewa kama wao.
4 Venerado seja entre todos o matrimonio e a cama sem macula; porém aos fornicadores e adulteros Deus os julgará.
Basi ndoa na iheshimiwe na wote na basi kitanda cha ndoa kifanywe kuwa safi, kwa maana Mungu atawahukumu waasherati na wazinzi.
5 Sejam os vossos costumes sem avareza, contentando-vos com o presente; porque elle disse: Não te deixarei, nem te desampararei.
Basi njia zenu za maisha ziwe huru katika upendo wa pesa. Muwe wanoridhika na vitu mulivyonavyo, kwani Mungu mwenyewe alisema, “Sitawaacha ninyi kamwe, wala kuwatelekeza ninyi.”
6 De maneira que com confiança ousemos dizer: O Senhor é o meu ajudador, e não temerei o que o homem me possa fazer.
Basi tulidhikeni ili tusema kwa ujasiri, “Bawa ni msaidizi wangu; Sitaogopa. Mwanadamu aweza kunifanya nini?”
7 Lembrae-vos dos vossos pastores, que vos fallaram a palavra de Deus, a fé dos quaes imitae, attentando para a maneira da vida d'elles.
Wafikirieni wale walio waongoza, wale waliongea neno la Mungu kwenu, na kumbukeni matokeo ya mienendo yao; igeni imani zao.
8 Jesus Christo é o mesmo hontem, e hoje, e eternamente. (aiōn g165)
Yesu Kristo ni yeye jana, leo, na ata milele. (aiōn g165)
9 Não vos deixeis levar ao redor por doutrinas varias e estranhas, porque bom é que o coração se fortifique com graça, e não com manjares, os quaes de nada aproveitaram aos que a elles se entregaram.
Usije ukaongozwa na mafundisho mbalimbali ya kigeni kwani ni vizuri kwamba moyo ujengwe kwa neema, na siyo kwa sheria kuhusu chakula hayo hayatawasaidia wale wanaoishi kwa hayo.
10 Temos um altar, do qual não tem poder de comer os que servem ao tabernaculo.
Tunayo madhabau ambayo wale wanaotumika ndani ya hekalu hawana haki ya kula.
11 Porque os corpos dos animaes, cujo sangue é, pelo peccado, trazido pelo summo sacerdote para o sanctuario, são queimados fóra do arraial.
Kwa kuwa damu za wanyama, zilizotolewa dhabihu kwa ajili ya dhambi, ililetwa na kuhani mkuu ndani ya sehemu takatifu, lakini miili yao ilichomwa nje ya kambi.
12 Portanto tambem Jesus, para sanctificar o povo pelo seu proprio sangue, padeceu fóra da porta.
Kwa hiyo Yesu naye aliteseka nje ya lango la mji, hili kwamba kuweka wakfu watu kwa Mungu kupitia damu yake.
13 Saiamos pois a elle fóra do arraial, levando o seu vituperio.
Na kwa hiyo twendeni kwake nje ya kambi, tukizibeba fadheha zake.
14 Porque não temos aqui cidade permanente, mas buscamos a futura.
Kwani hatuna makao ya kudumu katika mji huu. Badala yake tutafute mji ambao unakuja.
15 Portanto offereçamos sempre por elle a Deus sacrificio de louvor, isto é, o fructo dos labios que confessam o seu nome.
Kupitia Yesu mnapaswa mara kwa mara kujitoa sadaka ya kumtukuza Mungu, kumsifu kwamba tunda la midomo yetu likili jina lake.
16 E não vos esqueçaes da beneficencia e communicação, porque com taes sacrificios Deus se agrada.
Na usisahau kufanya mazuri na kusadiana ninyi kwa ninyi, kwa kuwa ni kwa sadaka kama hiyo ndiyo Mungu hupendezwa sana.
17 Obedecei a vossos pastores, e sujeitae-vos a elles; porque velam por vossas almas, como aquelles que hão de dar conta d'ellas; para que o façam com alegria e não gemendo; porque isso não vos seria util.
Tiini na kujishusha kwa viongozi wenu, kwani wanaendelea kuwalinda kwa ajili ya nafsi zenu, kama wale watakaotoa hesabu. Tiini ili kwamba viongozi wenu waweze kuwatunza kwa furaha, na sio kwa huzuni, ambayo haitawasaidia.
18 Rogae por nós, porque confiamos que temos boa consciencia, como aquelles que em tudo querem portar-se honestamente.
Tuombeni, kwani tuna uhakikwa kwamba tuna dhamira njema, tunatamani kuishi maisha ya heshima katika mambo yote.
19 E rogo-vos com instancia que assim o façaes, para que eu mais depressa vos seja restituido.
Na nyote ninawatia moyo zaidi mfanye hivi, ili kwamba niweze kurudi kwenu hivi karibuni.
20 Ora o Deus de paz, que pelo sangue do concerto eterno tornou a trazer dos mortos a nosso Senhor Jesus Christo, grande pastor das ovelhas, (aiōnios g166)
Sasa Mungu wa amani, ambaye aliwaleta tena kutoka kwa wafu mchungaji mkuu wa kondoo, Bwana wetu Yesu, kwa damu ya agano la milele, (aiōnios g166)
21 Vos aperfeiçoe em toda a boa obra, para fazerdes a sua vontade, obrando em vós o que perante elle é agradavel por Christo Jesus, ao qual seja gloria para todo o sempre. Amen. (aiōn g165)
Atawapa uwezo kwa kila jambo zuri kufanya mapenzi yake, akifanya kazi ndani yetu iliyo njema ya kupendeza machoni pake, kupitia Yesu Kristo, kwake uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn g165)
22 Rogo-vos, porém, irmãos, que supporteis a palavra d'esta exhortação; porque abreviadamente vos escrevi.
Sasa ninakutia moyo, ndugu, kuchukualiana na neno la kutia moyo ambalo kwa ufupi nililiandika kwenu.
23 Sabei que já está solto o irmão Timotheo, com o qual (se vier depressa) vos verei.
Fahamu kwamba ndugu yetu Timotheo ameshaachiwa huru, ambaye pamoja naye nitawaona kama atakuja hivi karibuni.
24 Saudae a todos os vossos chefes e a todos os sanctos. Os de Italia vos saudam.
Salimia viongozi wako wote na waumini wote. Wale wanaotoka Italia wanakusalimia.
25 A graça seja com todos vós. Amen.
Na neema iwe nanyi nyote.

< Hebreus 13 >