< Gênesis 36 >

1 E estas são as gerações de Esaú ( que é Edom).
Hivi ndivyo vizazi vya Esau (aliyeitwa pia Edom).
2 Esaú tomou suas mulheres das filhas de Canaan: a Adah, filha de Elon hetheo, e a Aholibamah, filha de Anah, filha de Zibeon heveo.
Esau akachukua wakeze kutoka kwa Wakanaani. Hawa walikuwa wake zake: Ada binti Eloni Mhiti; Oholibama binti Ana, mjukuu wa Zibeoni Mhivi; na
3 E a Basemath, filha de Ishmael, irmã de Nebajoth.
Basemathi, binti Ishmaeli, dada wa Nebayothi.
4 E Adah pariu a Esaú Eliphaz; e Basemath pariu a Rehuel;
Ada akamzaa Elifazi kwa Esau, na Basemathi akamzaa Reueli.
5 E Aholibamah pariu a Jeush, e Jaelam e Corah: estes são os filhos de Esaú, que lhe nasceram na terra de Canaan.
Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu, na Kora. Hawa walikuwa wana wa Esau waliozaliwa kwake katika nchi ya Kananaani.
6 E Esaú tomou suas mulheres, e seus filhos, e suas filhas, e todas as almas de sua casa, e seu gado, e todos os seus animaes, e toda a sua fazenda, que havia adquirido na terra de Canaan; e foi-se a outra terra de diante da face de Jacob seu irmão;
Esau akawachukua wakeze, wanawe, binti zake, na watu wote wa nyumba yake, mifugo wake - wanyama wake wote, na mali yake yote, aliyokuwa amekusanya katika nchi ya Kanaani, na akaenda katika nchi iliyoko mbali kutoka kwa Yakobo nduguye.
7 Porque a fazenda d'elles era muita para habitarem juntos; e a terra de suas peregrinações não os podia sustentar por causa do seu gado.
Alifanya hivi kwa sababu mali zao zilikuwa nyingi sana kwa wao kuishi pamoja. Nchi waliyokuwa wamekaa isingeweza kuwafaa kwa mifugo yao.
8 Portanto Esaú habitou na montanha de Seir; Esaú é Edom.
Hivyo Esau, aliyejulikana pia kama Edomu, akakaa katika nchi ya kilima Seiri.
9 Estas pois são as gerações de Esaú, pae dos Idumeos, na montanha de Seir.
Hivi ndivyo vizazi vya Esau, babu wa Waedomu katika nchi ya mlima Seiri.
10 Estes são os nomes dos filhos de Esaú: Eliphaz, filho de Adah, mulher de Esaú; Rehuel, filho de Basemath, mulher de Esaú.
Haya yalikuwa majina ya wana wa Esau: Elifazi mwana wa Ada, mkewe Esau; Reueli mwana wa Basemathi, mkewe Esau.
11 E os filhos de Eliphsz foram: Teman, Omar, Zepho, e Gaetam, e Kenaz.
Wana wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Zefo, Gatamu, na Kenazi.
12 E Timnah era concubina de Eliphaz, filho de Esaú, e pariu a Eliphaz Amelek: estes são os filhos de Adah, mulher de Esaú.
Timna, suria wa Elifazi, mwana wa Esau, akamzaa Amaleki. Hawa walikuwa wajukuu wa Ada, mkewe Esau.
13 E estes foram os filhos de Rehuel: Nahath, e Zerah, Shammah, e Mizzah: estes foram os filhos de Basemath, mulher de Esaú.
Hawa walikuwa wana wa Reueli: Nahathi, Zera, Shama, na Miza. Hawa walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
14 E estes foram os filhos de Aholibamah, filha de Anah, filha de Zibeon, mulher de Esaú: e pariu a Esaú: Jeush, e Jalam, e Corah.
Hawa walikuwa wana wa Oholibama, mkewe Esau, aliyekuwa binti Ana na mjukuu wa Zibeoni. Alimzalia Esau Yeushi, Yalamu, na Kora.
15 Estes são os principes dos filhos de Esaú; o filhos de Eliphaz, o primogenito de Esaú, foram: o principe Teman, o principe Omar, o principe Zepho, o principe Kenaz,
Hizi zilikuwa koo kati ya vizazi vya Esau: uzao wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau: Temani, Omari, Zefo, Kenazi, Kora,
16 O principe Corah, o principe Gatam, o principe Amalek; estes são os principes de Eliphaz na terra de Edom, estes são os filhos de Adah.
Gatamu, na Amaleki. Hivi vilikuwa vizazi vya koo kutoka kwa Elifazi katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Ada.
17 E estes são os filhos de Rehuel, filho de Esaú: o principe Nahath, o principe Zerah, o principe Shammah, o principe Mizzah; estes são os principes de Rehuel, na terra de Edom, estes são os filhos de Besemath, mulher de Esaú.
Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli, mwana wa Esau: Nahathi, Zera, Shama, Miza. Hizi zilikuwa koo kutoka kwa Reueli katika nchi ya Edomu. Walikuwa wajukuu wa Basemathi, mkewe Esau.
18 E estes são os filhos de Aholibamah, mulher de Esaú: o principe Jeush, o principe Jalam, o principe Corah; estes são os principes do Aholibamah, filha de Anah, mulher de Esaú.
Hizi zilikuwa koo za Oholibama, mkewe Esau: Yeushi, Yalamu, Kora. Hizi ni koo zilizotoka kwa Oholibama mkewe Esau, binti Ana.
19 Estes são os filhos de Esaú, e estes são seus principes: elle é Edom.
Hawa walikuwa wana wa Esau na koo zao.
20 Estes são os filhos de Seir horeo, moradores d'aquella terra: Lotan, e Sobal e Zibeon, e Anah.
Hawa walikuwa wana wa Seiri Mhori, wenyeji wa nchi hiyo: Lotani, Shobali, Zibeoni, Ana,
21 E Dishon, e Eser, e Dishan; estes são os principes dos horeos, filhos de Seir, na terra de Edom.
Dishoni, Ezeri, na Dishani. Hizi zilikuwa koo the Wahori, wenyeji wa Seiri katika nchi ya Edomu.
22 E os filhos de Lotan foram: Hori e Hemam; e a irmã de Lotan era Timnah.
Wana wa Lotani walikuwa Hori na Hemani, na Timna alikuwa dada wa Lotani.
23 Estes são os filhos de Sobal: Alvan, e Manahath, e Ebal, e Shepho, e Onam.
Hawa walikuwa wana wa Shobali: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu.
24 E estes são os filhos de Zibeon: Ajah, e Anah; este é o Anah que achou os mulos no deserto, quando apascentava os jumentos de Zibeon seu pae.
Hawa walikuwa wana wa Zibeoni: Aia na Ana. Huyu ndiye Ana aliyeona chemichemi za moto nyikani, alipokuwa akichunga punda wa Zibeoni babaye.
25 E estes são os filhos de Anah: Dishon, e Aholibamah, a filha de Anah.
Hawa walikuwa watoto wa Ana: Dishoni na Oholibama, binti Ana.
26 E estes são os filhos de Dishon: Hemdam, e Eshban, e Ithran, e Cheran.
Hawa walikuwa wana wa Dishoni: Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
27 Estes são os filhos de Eser: Bilhan, e Zaavan, e Akan.
Hawa walikuwa wana wa Ezeri: Bilhani, Zaavani, na Akani.
28 Estes são os filhos de Dishan: Uz, e Aran.
Hawa walikuwa wana wa Dishani: Uzi na Arani.
29 Estes são os principes dos horeos: O principe Lotan, o principe Shobal, o principe Zibeon, o principe Anah,
Hizi zilikuwa koo za Wahori: Lotani, Shobali, Zibeoni, na Ana,
30 O principe Dishon, o principe Eser, o principe Dishan; estes são os principes dos horeos segundo seus principes na terra de Seir.
Dishoni, Ezeri, Dishani: hizi zilikuwa koo za Wahori, kulingana na ukoo ulivyoorodheshwa katika nchi ya Seiri.
31 E estes são os reis que reinaram na terra de Edom, antes que reinasse rei algum sobre os filhos d'Israel.
Hawa walikuwa wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kumilika juu ya Waisraeli:
32 Reinou pois em Edom Bela, filho de Beor, e o nome da sua cidade foi Dinhaba.
Bela mwana wa Beori, alitawala huko Edomu, na jina la mji wake lilikuwa Dinhaba.
33 E morreu Bela; e Jobab, filho de Zerah de Bosrah, reinou em seu logar.
Bela alipofariki, kisha Yobabu mwana wa Zera kutoka Bozra, akatawala mahali pake.
34 E morreu Jobab; e Husam, da terra dos Temanitas, reinou em seu logar.
Yobabu alipofariki, Hushamu aliyekuwa wa nchi ya Watemani, akatawala mahali pake.
35 E morreu Husam, e em seu logar reinou Hadad, filho de Bedad, o que feriu a Midian no campo de Moab; e o nome da sua cidade foi Avith.
Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi aliyewashinda Wamidiani katika nchi ya Moabu, akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Avithi.
36 E morreu Hadad: e Samlah de Masreca reinou em seu logar.
Hadadi alipofariki, kisha Samla wa Masreka akatawala mahali pake.
37 E morreu Samlah; e Shaul de Rehoboth, pelo rio, reinou em seu logar.
Samla alipofariki, kisha Shauli wa Rehobothi kando ya mto alitawala mahali pake.
38 E morreu Shaul; e Baal-hanan, filho de Achbor, reinou em seu logar.
Shauli alipofariki, kisha Baali Hanani mwana wa Akbori akatawala mahali pake.
39 E morreu Baal-hanan, filho de Achbor; e Hadar reinou em seu logar, e o nome da sua cidade foi Pau; e o nome de sua mulher foi Mehetabel, filha de Matred, filha de Mezahab.
Baali Hanani mwana wa Akbori, alipokufa, kisha Hadari akatawala mahali pake. Jina la mji wake lilikuwa Pau. Jina la mkewe lilikuwa Mehetabeli, binti Matredi, mjukuu wa Me Zahabu.
40 E estes são os nomes dos principes de Esaú; segundo as suas gerações, segundo os seus logares, com os seus nomes: o principe Timnah, o principe Alvah, o principe Jetheth,
Haya ndiyo yalikuwa majina ya wakuu wa koo kutoka uzao wa Esau, kwa kufuata koo zao na maeneo yao, kwa majina yao: Timna, Alva, Yethethi,
41 O principe Aholibamah, o principe Elah o principe Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
42 O principe Kenez, o principe Teman, o principe Mibzar,
Kenazi, Temani, Mbza,
43 O principe Magdiel, o principe Iram: estes são os principes de Edom, segundo as suas habitações, na terra da sua possessão; este é Esaú, pae de Edom.
Magdieli, na Iramu. Hawa walikuwa wakuu wa ukoo wa Edomu, kwa kufuata makao yao katika nchi waliyomiliki. Nao ni Esau, baba wa Waedomu.

< Gênesis 36 >