< Atos 2 >

1 E, cumprindo-se o dia de Pentecostes, estavam todos concordemente reunidos.
Ilipofika siku ya Pentekoste, wote walikuwa pamoja sehemu moja.
2 E de repente veiu do céu um som, como de um vento vehemente e impetuoso, e encheu toda a casa em que estavam assentados.
Ghafla ikatokea muungurumo kutoka mbinguni kama upepo mkali. ukaijaza nyumba yote walimokuwa wameketi.
3 E foram vistas por elles linguas repartidas, como que de fogo, e pousaram sobre cada um d'elles.
Hapo zikawatokea ndimi, kama ndimi za moto zimegawanyika, zikawa juu yao kila mmoja wao.
4 E todos foram cheios do Espirito Sancto, e começaram a fallar n'outras linguas, conforme o Espirito Sancto lhes concedia que fallassem.
Wao wote wakajazwa na Roho Mtakatifu na wakaanza kusema kwa lugha zingine, kama vile Roho alivyowajalia kusema.
5 E em Jerusalem estavam habitando judeos, varões religiosos, de todas as nações que estão debaixo do céu
Sasa walikuwapo wayahudi waliokuwa wanaishi Yerusalemu, wacha Mungu, kutoka kila taifa chini ya mbingu.
6 E, correndo aquella voz, ajuntou-se a multidão, e estava confusa, porque cada um os ouvia fallar na sua propria lingua.
Ngurumo hizi ziliposikiwa, kundi la watu likaja pamoja na wakiwa na wasiwasi kwa sababu kila mtu aliwasikia wakiongea kwa lugha yake mwenyewe.
7 E todos pasmavam e se maravilhavam, dizendo uns aos outros: Pois que! não são galileos todos esses homens que estão fallando?
waliduwaa na kushangazwa, wao walisema, “Kweli, hawa wote wanaoongea siyo Wagalilaya?
8 Como pois os ouvimos, cada um, na nossa propria lingua em que somos nascidos?
Kwa nini sisi tunawasikia, kila mmoja katika lugha tulizozaliwa nazo?
9 Parthos e medas, elamitas e os que habitam na Mesopotamia, e Judea, e Cappadocia, Ponto e Asia,
Waparthia na Wamedi na Waelamu, na hao waishio Mesopotamia, Uyahudi, na Kapadokia, na katika Ponto na Asia,
10 E Phrygia e Pamphylia, Egypto e partes da Lybia, junto a Cyrene, e forasteiros romanos, tanto judeos como proselytos.
katika Frigia, Pamfilia, katika Misri, na sehemu ya Libya hata Kirene, na wageni kutoka Rumi,
11 Cretenses e arabes, ouvimos todos em nossas proprias linguas fallar das grandezas de Deus.
Wayahudi na waongofu, Wakrete na Waarabu, tunawasikia wakizungumza katika lugha zetu kuhusu kazi za uweza wa Mungu.”
12 E todos se maravilhavam e estavam suspensos, dizendo uns para os outros: Que quer isto dizer?
Wote walikuwa wameduwaa na kutatanishwa; walisemezana wao kwa wao, “Hii ina maana gani?”
13 E outros, zombando, diziam: Estão cheios de mosto.
Lakini wengine walidhihaki wakisema, “Hawa wamejazwa kwa mvinyo mpya.”
14 Porém Pedro, pondo-se em pé com os onze, levantou a sua voz, e disse-lhes: Varões judeos, e todos os que habitaes em Jerusalem, seja-vos isto conhecido, e escutae as minhas palavras;
Lakini Petro akasimama pamoja na wale kumi na mmoja, akapaza sauti, akawaambia, “Watu wa Yudea na wote mnaoishi hapa Yerusalemu, hili lijulikane kwenu, sikilizeni kwa makini maneno yangu.
15 Estes homens não estão embriagados, como vós pensaes, sendo a terceira hora do dia.
Watu hawa hawajalewa kama mnavyodhani, sababu saa hizi ni asubuhi saa tatu.
16 Mas isto é o que foi dito pelo propheta Joel:
Lakini hili lilikuwa limesemwa kupitia kwa nabii Yoeli:
17 E nos ultimos dias acontecerá, diz Deus, que do meu Espirito derramarei sobre toda a carne; e os vossos filhos e as vossas filhas prophetizarão, os vossos mancebos terão visões, e os vossos velhos sonharão sonhos;
Itakuwa katika siku za mwisho; Mungu asema, nitamwaga Roho wangu kwa watu wote. Wana wenu na binti zenu watatoa unabii, vijana wenu wataona maono, na wazee wenu wataota ndoto.
18 E tambem do meu Espirito derramarei sobre os meus servos e as minhas servas n'aquelles dias, e prophetizarão;
Vilevile juu ya watumishi wangu na watumishi wangu wa kike katika siku hizo, nitamwaga Roho wangu, nao watatabiri.
19 E farei apparecer prodigios nas alturas, no céu; e signaes em baixo na terra, sangue, fogo e vapor de fumo:
Nitaonesha maajabu juu angani na ishara chini duniani, damu, moto, na mafusho ya moshi.
20 O sol se converterá em trevas, e a lua em sangue, antes de chegar o grande e illustre dia do Senhor;
Na jua litabadilishwa kuwa giza na mwezi kuwa damu, kabla haijaja siku kuu na ya ajabu ya Bwana.
21 E acontecerá que todo aquelle que invocar o nome do Senhor será salvo.
itakuwa ya kwamba kila mmoja ambaye huliitia jina la Bwana ataokoka.'
22 Varões israelitas, escutae estas palavras: A Jesus Nazareno, varão approvado por Deus entre vós com maravilhas, prodigios e signaes, que Deus por elle fez no meio de vós, como vós mesmos bem sabeis:
Watu wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mwanadamu aliyethibitishwa na Mungu kwenu kwa matendo ya uweza na maajabu, na ishara ambazo Mungu kupitia Yeye katikati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua-
23 A este, sendo entregue pelo determinado conselho e presciencia de Deus, tomando-o vós, o crucificastes e matastes pelas mãos de injustos:
Kwa sababu ya mpango uliokusudiwa tangu mwanzo, na maarifa ya Mungu, alitolewa, na ninyi, kwa mikono ya watu wahalifu, mlimsulibisha na kumuua,
24 Ao qual Deus resuscitou, soltas as dôres da morte, pois não era possivel que fosse retido por ella;
ambaye Mungu alimwinua, akauondoa uchungu wa mauti kwake, kwasababu haikuwezekana kwake kumilikiwa na huo.
25 Porque d'elle disse David: Sempre via diante de mim ao Senhor, porque está á minha direita, para que eu não seja commovido:
Hivyo Daudi anasema kuhusu yeye, 'Nilimwona Bwana daima mbele ya uso wangu, yeye yuko mkono wangu wa kulia hivyo basi sitasogezwa.
26 Por isso se alegrou o meu coração, e a minha lingua exultou; e ainda a minha carne ha de repousar em esperança;
Kwa hiyo moyo wangu ulikuwa na furaha na ulimi wangu ulifurahishwa. Pia mwili wangu utaishi katika ujasiri.
27 Pois não deixarás a minha alma no inferno, nem permittirás que o teu Sancto veja a corrupção: (Hadēs g86)
Hutaiacha nafsi yangu iende kuzimu, wala hutaruhusu Mtakatifu wako kuona uozo. (Hadēs g86)
28 Fizeste-me conhecidos os caminhos da vida; com a tua face me encherás de jubilo.
Wewe umedhihirisha kwangu njia za uzima; utanifanya nijae furaha mbele ya uso wako.'
29 Varões irmãos, seja-me licito dizer-vos livremente ácerca do patriarcha David, que elle morreu e foi sepultado, e entre nós está até hoje a sua sepultura.
Ndugu, ninaweza kuzungumza kwenu kwa ujasiri kuhusu baba yetu Daudi: yeye alikufa na akazikwa, na kaburi lake liko pamoja nasi hata hivi leo.
30 Sendo pois elle propheta, e sabendo que Deus lhe havia promettido com juramento que do fructo de seus lombos, segundo a carne, levantaria o Christo, para o assentar sobre o seu throno,
Hivyo, alikuwa nabii na alijua kuwa Mungu alishaapa kwa kiapo kwake, kwamba ataweka mmoja katika uzao wake kwenye kiti cha enzi.
31 Prevendo isto, fallou da resurreição de Christo, dizendo que a sua alma não foi deixada no inferno, nem a sua carne viu a corrupção. (Hadēs g86)
Aliliona hili mapema, na akasema kuhusu ufufuo wa Kristo, 'wala alikuwa hakuachwa kuzimu, wala mwili wake haukuoza.' (Hadēs g86)
32 Deus resuscitou a este Jesus, do que todos nós somos testemunhas.
Huyu Yesu - Mungu alimfufua, ambaye sisi wote ni mashahidi.
33 De sorte que, exaltado já pela dextra de Deus, e recebendo do Pae a promessa do Espirito Sancto, derramou isto que vós agora vêdes e ouvis.
Kwa hiyo, akiwa ameinuliwa katika mkono wa kuume wa Mungu, na akiwa amepokea ahadi ya Roho Mtakatifu kutoka kwa Baba, yeye amemimina hii ahadi, ambaye ninyi mnaona na kusikia.
34 Porque David não subiu aos céus, mas diz: Disse o Senhor ao meu Senhor: Assenta-te á minha direita,
Kwani Daudi hakupaa kwenda mbinguni, lakini anasema, 'BWANA alisema kwa Bwana wangu,
35 Até que ponha os teus inimigos por escabello de teus pés.
“keti mkono wangu wa kulia, mpaka nitakapowafanya adui zako kigoda kwa ajili ya miguu yako.
36 Saiba pois com certeza toda a casa d'Israel que a esse Jesus, a quem vós crucificastes, Deus o fez Senhor e Christo.
Kwa hiyo nyumba yote ya Israeli na ijue kwa hakika kwamba Mungu amemfanya Yeye kuwa Bwana na Kristo, huyu Yesu ambaye mlimsulibisha.”
37 E, ouvindo elles estas coisas, compungiram-se em seu coração, e disseram a Pedro e aos demais apostolos: Que faremos, varões irmãos?
Sasa waliposikia hivyo, wakachomwa katika mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, “Ndugu, tufanyeje?”
38 E disse-lhes Pedro: Arrependei-vos, e cada um de vós seja baptizado em nome de Jesus Christo, para perdão dos peccados; e recebereis o dom do Espirito Sancto;
Na Petro akawaambia, “Tubuni na Mbatizwe, kila mmoja wenu, katika jina la Yesu Kristo kwa ajili ya msamaha wa dhambi zenu, na mtapokea zawadi ya Roho Mtakatifu.
39 Porque a promessa vos pertence, a vós, a vossos filhos, e a todos os que estão longe: a tantos quantos Deus nosso Senhor chamar.
Kwani kwenu ni ahadi na kwa watoto wenu na kwa wale wote walioko mbali, watu wengi kwa kadri Bwana Mungu wetu atakavyowaita.”
40 E com muitas outras palavras testificava e os exhortava, dizendo: Salvae-vos d'esta geração perversa.
Kwa maneno mengi alishuhudia na kuwasihi; alisema, “Jiokoeni mtoke katika kizazi hiki kiovu.”
41 De sorte que foram baptizados os que de bom grado receberam a sua palavra; e n'aquelle dia ajuntaram-se á egreja quasi tres mil almas;
Ndipo wakayapokea maneno yake na wakabatizwa, hapo wakaongezeka katika siku hiyo kama nafsi elfu tatu.
42 E perseveravam na doutrina dos apostolos, e na communhão, e no partir do pão e nas orações.
Wakaendelea katika mafundisho ya mitume na ushirikiano, katika kuumega mkate na katika maombi.
43 E em toda a alma havia temor, e muitas maravilhas e signaes se faziam pelos apostolos.
Hofu ikaja juu ya kila nafsi, na maajabu mengi na ishara zikafanyika kupitia mitume.
44 E todos os que criam estavam juntos, e tinham tudo em commum.
Wote walioamini walikuwa pamoja na kuwa na vitu vyao kwa pamoja,
45 E vendiam suas propriedades e fazendas, e repartiam com todos, segundo cada um havia de mister.
na waliuza vitu na milki zao na kugawanya kwa wote kulingana na hitaji la kila mmoja.
46 E, perseverando unanimes todos os dias no templo, e repartindo o pão de casa em casa, comiam juntos com alegria e singeleza de coração,
Hivyo siku baada ya siku waliendelea wakiwa na lengo moja katika hekalu, na walimega mkate kwenye kaya, na walishiriki chakula kwa furaha na unyenyekevu wa moyo;
47 Louvando a Deus, e tendo graça para com todo o povo. E todos os dias accrescentava o Senhor á egreja aquelles que se haviam de salvar.
walimsifu Mungu na wakiwa na kibali na watu wote. Bwana aliwaongeza siku kwa siku ambao walikuwa wakiokolewa.

< Atos 2 >