< 2 João 1 >
1 O ancião á senhora eleita, e a seus filhos, aos quaes amo na verdade, e não sómente eu, mas tambem todos os que teem conhecido a verdade,
Kutoka kwa mzee kwenda kwa mwanamke mteule na watoto wake, ambao niwapendao katika kweli na si mimi tu, bali na wote wale wanao ifahamu kweli,
2 Por amor da verdade que está em nós e para sempre estará comnosco: (aiōn )
kwa sababu ya kweli iliyomo ndani yetu na itakayodumu pamoja nasi milele. (aiōn )
3 Graça, misericordia, paz, da parte de Deus Pae e da do Senhor Jesus Christo, o Filho do Pae, seja comvosco na verdade e caridade.
Neema, rehema, amani zitakuwa nasi kutoka kwa Mungu Baba na kutoka kwa Yesu Kristo, Mwana wa Baba, katika kweli na pendo.
4 Muito me alegrarei por achar que alguns de teus filhos andam na verdade, assim como recebemos o mandamento do Pae.
Ninafurahi sana kwamba nimegundua baadhi ya watoto wanaenenda katika kweli, kama vile tu tulivyoipokea amri hii kutoka kwa Baba.
5 E agora, senhora, rogo-te, não como escrevendo-te um novo mandamento, mas aquelle que desde o principio tivemos, que nos amemos uns aos outros.
Na sasa nakusihi wewe, mwanamke, siyo kwamba nakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tokea mwanzo, kwamba tunapaswa kupendana sisi kwa sisi. Na huu ndiyo upendo, tunaopaswa kuenenda, kulingana na amri yake.
6 E a caridade é esta: que andemos segundo os seus mandamentos. Este é o mandamento, como já desde o principio ouvistes, que n'elle andeis.
Hii ndiyo ile amri, kama mlivyoisikia tokea mwanzo, kwamba mnapaswa kuenenda katika hiyo.
7 Porque já muitos enganadores entraram no mundo, os quaes não confessam que Jesus Christo veiu em carne. Este tal é o enganador e o anti-christo.
Kwa kuwa wadanganyifu wengi wamesambaa katika ulimwengu, na hawakiri kwamba Yesu Kristo alikuja katika mwili. Huyu ndiye mdanganyifu na mpinga Kristo.
8 Olhae por vós mesmos, para que não percamos o que já trabalhámos, antes recebamos o inteiro galardão.
Jiangalieni wenyewe kwamba hampotezi mambo yale tuliyokwisha fanyia kazi, lakini ili kwamba mweze kuipokea tuzo kamili.
9 Todo aquelle que prevarica, e não persevera na doutrina de Christo, não tem a Deus: quem persevera na doutrina de Christo, esse tem assim ao Pae como ao Filho.
Yeyote aendeleae mbele na hadumu katika fundisho la Kristo, hana Mungu. Yeye adumuye katika fundisho anaye Baba na Mwana pia.
10 Se alguem vem ter comvosco, e não traz esta doutrina, não o recebaes em casa, nem tampouco o saudeis.
Kama mtu anakuja kwenu na haleti fundisho hili, msimkaribishe katika nyumba zenu na msimsalimie.
11 Porque quem o sauda tem parte nas suas más obras.
Kwa kuwa amsalimuye hushiriki katika matendo yake maovu.
12 Muitas coisas tenho que escrever-vos, porém não quiz com papel e tinta; mas espero ir ter comvosco e fallar de bocca a bocca, para que o nosso gozo seja cumprido.
Ninayo mambo mengi ya kukuandikia, na sikutaka kuyaandika kwa karatasi na wino. Lakini natumaini kuja kwenu na kuongea uso kwa uso, kwamba furaha yetu ipate kufanywa kamili.
13 Saudam-te os filhos de tua irmã, a eleita. Amen.
Watoto wa dada yenu mteule wanawasalimia.