< 1 Coríntios 15 >
1 Tambem vos notifico, irmãos, o evangelho que já vos tenho annunciado; o qual tambem recebestes, e no qual tambem permaneceis.
Sasa ninawakumbusha, akina kaka na akina dada, juu ya injili niliyowahubiria, ambayo mliipokea na kusimama kwayo.
2 Pelo qual tambem sois salvos se o retiverdes tal como vol-o tenho annunciado; se não é que crêstes em vão.
Ni katika injili hii mmeokolewa, kama mkilishika imara neno nililowahubiri ninyi, isipokuwa mliamini bure.
3 Porque primeiramente vos entreguei o que tambem recebi: que Christo morreu por nossos peccados, segundo as Escripturas,
Kama kwanza nilivyo ipokea kwa umuhimu niliileta kwenu kama ilivyo: kwamba kutokana na maandiko, Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu,
4 E que foi sepultado, e que resuscitou ao terceiro dia, segundo as Escripturas,
kutokana na maandiko alizikwa, na kwamba alifufuka siku ya tatu.
5 E que foi visto por Cephas, e depois pelos doze.
Na kwamba alimtokea Kefa, kisha kwa wale kumi na wawili.
6 Depois foi visto, uma vez, por mais de quinhentos irmãos, dos quaes vive ainda a maior parte, e alguns dormem já tambem.
Kisha aliwatokea kwa wakati mmoja akina kaka na akina dada zaidi ya mia tano. Wengi wao bado wako hai, lakini baadhi yao wamelala usingizi.
7 Depois foi visto por Thiago, depois por todos os apostolos.
Kisha alimtokea Yakobo, kisha mitume wote.
8 E por derradeiro de todos foi visto tambem por mim, como por um abortivo.
Mwisho wa yote, alinitokea mimi, kama vile kwa mtoto aliye zaliwa katika wakati usio sahihi.
9 Porque eu sou o menor dos apostolos, que não sou digno de ser chamado apostolo, porque persegui a egreja de Deus.
Kwa kuwa mimi ni mdogo kati ya mitume. Sistahili kuitwa mtume, kwa sababu nililitesa kanisa la Mungu.
10 Mas pela graça de Deus sou o que sou; e a sua graça para comigo não foi vã, antes trabalhei muito mais do que todos elles; todavia não eu, mas a graça de Deus, que está comigo
Lakini kwa neema ya Mungu nipo kama nilivyo, na neema yake kwangu haikuwa bure. Badala yake, nilifanya bidii kuliko wote. Lakini haikuwa mimi, bali neema ya Mungu iliyo ndani yangu.
11 Assim que seja eu ou sejam elles, assim prégamos e assim haveis crido.
Kwa hiyo kama ni mimi au wao, tuna hubiri hivyo na tunaamini hivyo.
12 Ora, se se préga que Christo resuscitou dos mortos, como dizem alguns d'entre vós que não ha resurreição de mortos?
Sasa kama Kristo alihubiriwa kama aliyefufuka kwa wafu, iweje baadhi yenu mseme hakuna ufufuo wa wafu?
13 E, se não ha resurreição de mortos, tambem Christo não resuscitou.
Lakini kama hakuna ufufuo wa wafu, basi hata Kristo pia hakufufuka.
14 E, se Christo não resuscitou, logo é vã a nossa prégação, e tambem é vã a vossa fé.
Na kama Kristo hakufufuka, hivyo mahubiri yetu ni bure, na imani yenu ni bure.
15 E assim somos tambem achados falsas testemunhas de Deus, pois testificamos de Deus, que resuscitou a Christo, ao qual, porém, não resuscitou, se, na verdade, os mortos não resuscitam.
Na tumepatikana kuwa mashahidi wa uongo kumuhusu Mungu, kwa sababu tulimshushuhudia Mungu kinyume, kusema alimfufua Kristo, wakati hakumfufua.
16 Porque, se os mortos não resuscitam, tambem Christo não resuscitou.
Kama ikiwa wafu hawafufuliwi, Yesu pia hakufufuliwa.
17 E, se Christo não resuscitou, é vã a vossa fé, e ainda permaneceis nos vossos peccados.
Na kama Kristo hakufufuliwa, imani yenu ni bure na bado mko kwenye dhambi zenu.
18 E tambem os que dormiram em Christo estão perdidos.
Hivyo hata wale waliokufa katika Kristo pia wameangamia.
19 Se esperamos em Christo só n'esta vida, somos os mais miseraveis de todos os homens.
Ikiwa kwa maisha haya peke yake tunaujasiri kwa wakati ujao ndani ya Kristo, watu wote, sisi niwakuhurumiwa zaidi ya watu wote.
20 Mas agora Christo resuscitou dos mortos, e foi feito as primicias dos que dormem.
Lakini sasa Kristo amefufuka kutoka kwa wafu, matunda ya kwanza ya wale waliokufa.
21 Porque, assim como a morte veiu por um homem, tambem a resurreição dos mortos veiu por um homem.
Kwa kuwa kifo kilikuja kupitia mwanadamu, pia kupitia mwanadamu ufufuo wa wafu.
22 Porque, assim como todos morrem em Adão, assim tambem todos serão vivificados em Christo.
Kwa kuwa kama katika Adam wote wanakufa, hivyo pia katika Kristo wote watafanywa hai.
23 Mas cada um por sua ordem: Christo as primicias, depois os que são de Christo, na sua vinda.
Lakini kila moja katika mpango wake: Kristo, matunda ya kwanza, na kisha wale walio wa Kristo watafanywa hai wakati wa kuja kwake.
24 Depois virá o fim, quando tiver entregado o reino a Deus, ao Pae, e quando houver aniquilado todo o imperio, e toda a potestade e força.
Ndipo utakuwa mwisho, pale Kristo atakapo kabidhi ufalme kwa Mungu Baba. Hii ni pale atakapo komesha utawala wote na mamlaka yote na nguvu.
25 Porque convem que reine até que haja posto a todos os inimigos debaixo de seus pés.
Kwa kuwa lazima atawale mpaka atakapoweka maadui zake wote chini ya nyayo zake.
26 Ora o ultimo inimigo que será aniquilado é a morte.
Adui wa mwisho kuharibiwa ni kifo.
27 Porque todas as coisas sujeitou debaixo de seus pés. Porém, quando diz que todas as coisas lhe estão sujeitas, claro está que exceptua aquelle que lhe sujeitou todas as coisas.
Kwa kuwa “ameweka kila kitu chini ya nyayo zake.” Lakini inaposema “ameweka kila kitu,” ni wazi kwamba hii haihusishi wale walioweka kila kitu chini yake mwenyewe.
28 E, quando todas as coisas lhe estiverem sujeitas, então tambem o mesmo Filho se sujeitará áquelle que todas as coisas lhe sujeitou, para que Deus seja tudo em todos.
Wakati vitu vyote vimewekwa chini yake, kisha Mwana mwenyewe atawekwa chini kwake Yeye ambaye aliviweka vitu vyote chini yake. Hii itatokea ili kwamba Mungu Baba awe yote katika vyote.
29 D'outra maneira, que farão os que se baptizam pelos mortos, se absolutamente os mortos não resuscitam? Pois porque se baptizam pelos mortos?
Au pia watafanya nini wale waliobatizwa kwa ajili ya wafu? Kama wafu hawafufuliwi kabisa, kwa nini tena wanabatizwa kwa ajili yao?
30 Porque estamos nós tambem a toda a hora em perigo?
Na kwa nini tuko katika hatari kila saa?
31 Cada dia morro pela vossa gloria, a qual tenho em Christo Jesus nosso Senhor.
Kaka na dada zangu, kupitia kujisifu kwangu katika ninyi, ambayo ninayo katika Kristo Yesu Bwana wetu, natangaza hivi: nakufa kila siku.
32 Se, como homem, combati em Epheso contra as bestas, que me aproveita, se os mortos não resuscitam? Comamos e bebamos, que ámanhã morreremos.
Inanifaidia nini, katika mtazamo wa wanadamu, kama nilipigana na wanyama wakali huko Efeso, kama wafu hawafufuliwi? “Acha basi tule na kunywa, kwa kuwa kesho tunakufa.”
33 Não vos enganeis: as más conversações corrompem os bons costumes.
Msidanganywe: “Makundi mabaya huharibu tabia njema.
34 Vigiae justamente e não pequeis; porque alguns ainda não teem o conhecimento de Deus: digo-o para vergonha vossa.
“Muwe na kiasi! muishi katika haki! msiendelee kutenda dhambi. Kwa kuwa baadhi yenu hamna maarifa ya Mungu. Nasema hivi kwa aibu yenu.
35 Mas alguem dirá: Como resuscitarão os mortos? E com que corpo virão?
Lakini mtu mwingine atasema, “Jinsi gani wafu wanafufuliwa? Nao watakuja na aina gani ya mwili?”
36 Insensato! o que tu semeias não vivificará, se primeiro não morrer.
Wewe ni mjinga sana! Kile ulichopanda hakiwezi kuanza kukua isipokuwa kimekufa.
37 E, quando semeias, não semeias o corpo que ha de nascer, mas o simples grão, como de trigo, ou d'outra qualquer semente.
Na kile unachopanda sio mwili ambao utakuwa, bali ni mbegu iliyochipua. Inaweza kuwa ngano au kitu kingine.
38 Mas Deus dá-lhe o corpo como quer, e a cada semente o seu proprio corpo.
Lakini Mungu ataipa mwili kama apendavyo, na katika kila mbengu mwili wake mwenyewe.
39 Nem toda a carne é uma mesma carne, mas uma é a carne dos homens, e outra a carne dos animaes, e outra a dos peixes e outra a das aves.
Miili yote haifanani. Isipokuwa, kuna mwili mmoja wa wanadamu, na mwili mwingine wa wanyama, na wili mwingine wa ndege, na mwingine kwa ajili ya samaki.
40 E ha corpos celestes e corpos terrestres, mas uma é a gloria dos celestes e outra a dos terrestres.
Pia kuna miili ya mbinguni na miili ya duniani. Lakini utukufu wa miili ya mbinguni ni aina moja na utukufu wa duniani ni mwingine.
41 Uma é a gloria do sol, e outra a gloria da lua, e outra a gloria das estrellas; porque uma estrella differe em gloria d'outra estrella.
Kuna utukufu mmoja wa jua, na utukufu mwingine wa mwezi, na utukufu mwingine wa nyota. Kwa kuwa nyota moja inatofautiana na nyota nyingine katika utukufu.
42 Assim tambem a resurreição dos mortos. Semeia-se o corpo em corrupção; resuscitará em incorrupção.
Hivyo ndivyo ulivyo pia ufufuo wa wafu. Kinacho pandwa kinaharibika, na kinacho ota hakiharibiki.
43 Semeia-se em ignominia, resuscitará em gloria. Semeia-se em fraqueza, resuscitará com vigor.
Kimepandwa katika matumizi ya kawaida, kinaoteshwa katika utukufu. Kimepandwa katika udhaifu, kinaoteshwa katika nguvu.
44 Semeia-se corpo animal, resuscitará corpo espiritual. Ha corpo animal, e ha corpo espiritual.
Kimepandwa katika mwili wa asili, kinaoteshwa katika mwili wa kiroho. Kama kuna mwili wa asili, kuna mwili wa kiroho pia.
45 Assim está tambem escripto: O primeiro homem, Adão, foi feito em alma vivente: o ultimo Adão em espirito vivificante.
Hivyo pia imeandikwa, “Mtu wa kwanza Adamu alifanyika roho inayo ishi.” Adamu wa mwisho alifanyika roho itoayo uhai.
46 Mas não é primeiro o espiritual, senão o animal; depois o espiritual.
Lakini wa kiroho hakuja kwanza bali wa asili, na kisha wa kiroho.
47 O primeiro homem, da terra, é terreno; o segundo homem, o Senhor, é do céu.
Mtu wa kwanza ni wa dunia, alitengenezwa kwa mavumbi. Mtu wa pili anatoka mbinguni.
48 Qual o terreno, taes são tambem os terrenos; e, qual o celestial, taes tambem os celestiaes.
Kama vile yule aliyetengenezwa kwa mavumbi, hivyo pia wale waliotengenezwa kwa mavumbi. Kama vile mtu wa mbinguni alivyo, hivyo pia wale wa mbinguni.
49 E, assim como trouxemos a imagem do terreno, assim traremos tambem a imagem do celestial.
Kama ambavyo tumebeba mfano wa mtu wa mavumbi, tutabeba pia mfano wa mtu wa mbinguni.
50 Porém digo isto, irmãos: que a carne e o sangue não podem herdar o reino de Deus, nem a corrupção herda a incorrupção.
Sasa nawaambia, kaka na dada zangu, kwamba mwili na damu haviwezi kuurithi ufalme wa Mungu. Wala wakuharibika kurithi wakutoharibika.
51 Eis aqui vos digo um mysterio: Na verdade, nem todos dormiremos, mas todos seremos transformados,
Tazama! Nawaambia ninyi siri ya kweli: Hatutakufa wote, bali wote tutabadilishwa.
52 N'um momento, n'um abrir e fechar d'olhos, ao som da ultima trombeta; porque a trombeta soará, e os mortos resuscitarão incorruptiveis, e nós seremos transformados.
Tutabadilishwa katika wakati, katika kufumba na kufumbua kwa jicho, katika tarumbeta ya mwisho. Kwa kuwa tarumbeta italia, na wafu watafufuliwa na hali ya kutoharibika, na tutabadilishwa.
53 Porque convem que este corpo corruptivel se revista da incorruptibilidade, e que este corpo mortal se revista da immortalidade.
Kwani huu wa kuharibika lazima uvae wa kutoharibika, na huu wa kufa lazima uvae wa kutokufa.
54 E, quando este corpo corruptivel se revestir da incorruptibilidade, e este corpo mortal se revestir da immortalidade, então cumprir-se-ha a palavra que está escripta: Tragada foi a morte na victoria.
Lakini wakati huu wa kuharibika ukivikwa wa kutokuharibika, na huu wa kufa ukivaa wa kutokufa, ndipo utakuja msemo ambao umeandikwa, “Kifo kimemezwa katika ushindi.”
55 Onde está, ó morte, o teu aguilhão? Onde está, ó inferno, a tua victoria? (Hadēs )
“Kifo, ushindi wako uko wapi? Kifo, uko wapi uchungu wako?” (Hadēs )
56 Ora o aguilhão da morte é o peccado, e a força do peccado é a lei
Uchungu wa kifo ni dhambi, na nguvu ya dhambi ni sheria.
57 Mas graças a Deus que nos dá a victoria por nosso Senhor Jesus Christo.
Lakini shukurani kwa Mungu, atupaye sisi ushindi kupitia Bwana wetu Yesu Kristo!
58 Portanto, meus amados irmãos, sêde firmes e constantes, sempre abundantes na obra do Senhor, sabendo que o vosso trabalho não é vão no Senhor.
Kwa hiyo, wapendwa kaka na dada zangu, iweni imara na msitikisike. Daima itendeni kazi ya Bwana, kwa sababu mnajua kuwa kazi yenu katika Bwana siyo bure.