< 1 Crônicas 4 >
1 Os filhos de Judah foram: Perez, e Hezron, e Carmi, e Hur, e Sobal.
Wana wa Yuda walikuwa: Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.
2 E Reaias, filho de Sobal, gerou a Jahath, e Jahath gerou a Ahumai e a Lahad: estas são as familias dos zorathisas.
Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi.
3 E estes foram os filhos do pae de Etam: Jezreel, e Isma, e Idbas: e era o nome de sua irmã Hazzelelponi.
Hawa ndio waliokuwa wana wa Etamu: Yezreeli, Ishma na Idbashi. Dada yao aliitwa Haselelponi.
4 E mais Penuel, pae de Gedor, e Ezer, pae de Husa: estes foram os filhos de Hur, o primogenito de Ephrata, pae de Beth-lehem.
Penueli akamzaa Gedori, naye Ezeri akamzaa Husha. Hawa walikuwa wazao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi, na baba yake Bethlehemu.
5 E tinha Ashur, pae de Tekoa, duas mulheres: Hela e Naara.
Ashuri baba yake Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.
6 E Naara lhe pariu a Ahuzzam, e a Hepher, e a Temeni, e a Haahastari; estes foram os filhos de Naara.
Hawa walikuwa wazao wa Naara: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.
7 E os filhos de Hela: Zereth, Jesohar, e Ethnan.
Wana wa Hela walikuwa: Serethi, Sohari, Ethnani,
8 E Kos gerou a Anub e a Zobeba: e as familias d'Aharhel, filho de Harum.
na Kosi ambaye aliwazaa Anubi, Sobeba na jamaa zote za Aharheli mwana wa Harumu.
9 E foi Jabes mais illustre do que seus irmãos: e sua mãe chamou o seu nome Jabes, dizendo: Porquanto com dôres o pari.
Yabesi aliheshimiwa kuliko ndugu zake. Mama yake alimwita Yabesi, akisema, “Nilimzaa kwa huzuni.”
10 Porque Jabes invocou o Deus de Israel, dizendo: Se me abençoares muitissimo, e meus termos amplificares, e a tua mão fôr comigo, e fizeres que do mal não seja afflicto! E Deus lhe concedeu o que lhe tinha pedido.
Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!” Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.
11 E Chelub, irmão de Suha, gerou a Mehir: este é o pae de Esthon.
Kelubu, nduguye Shuha, akamzaa Mehiri, naye Mehiri akamzaa Eshtoni.
12 E Esthon gerou a Bethrapha, e a Peseah, e a Tehinna, pae de Ir-nahas: estes foram os homens de Reca.
Eshtoni akawazaa Beth-Rafa, Pasea na Tehina. Tehina alikuwa baba wa Iri-Nahashi. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Reka.
13 E foram os filhos de Kenas: Othniel e Seraias; e filhos de Othniel: Hathath.
Wana wa Kenazi walikuwa: Othnieli na Seraya. Wana wa Othnieli walikuwa: Hathathi na Meonathai.
14 E Meonothai gerou a Ophra, e Seraias gerou a Joab, pae dos do valle dos artifices; porque foram artifices.
Meonathai akamzaa Ofra. Seraya akamzaa Yoabu, baba wa Ge-Harashimu. Liliitwa hivyo kwa sababu watu walioishi humo walikuwa mafundi.
15 E foram os filhos de Caleb, filho de Jefone: Iru, Ela, e Naam: e os filhos de Ela, a saber, Kenas.
Kalebu mwana wa Yefune alikuwa na wana watatu: Iru, Ela na Naamu. Naye mwana wa Ela alikuwa: Kenazi.
16 E os filhos de Jehalelel: Ziph, e Zipha, e Tiria e Asareel.
Wana wa Yahaleleli walikuwa: Zifu, Zifa, Tiria na Asareli.
17 E os filhos de Ezra: Jether, e Mered, e Epher, e Jalon: e ella pariu a Miriam, e Sammai, e Isbah, pae de Esthemo.
Wana wa Ezra walikuwa: Yetheri, Meredi, Eferi na Yaloni. Mmojawapo wa wake zake Meredi aliwazaa: Miriamu, Shamai na Ishba aliyekuwa baba yake Eshtemoa.
18 E sua mulher, judia, pariu a Jered, pae de Gedor, e a Heber, pae de Soco, e a Jekuthiel, pae de Zanohah; e estes foram os filhos de Bitia, filha de Pharaó, que Mered tomou.
Meredi alikuwa na mke mwingine Myahudi ambaye aliwazaa: Yeredi baba wa Gedori, Heberi baba wa Soko na Yekuthieli baba wa Zanoa. Hawa walikuwa watoto wa Bithia binti Farao, ambaye Meredi alikuwa amemwoa.
19 E foram os filhos da mulher de Hodias, irmã de Naham: Abikeila, o garmita, e Esthemo, o maacatita.
Wana wa mke wa Hodia aliyekuwa dada yake Nahamu walikuwa: baba yake Keila, Mgarmi na Eshtemoa, Mmaakathi.
20 E os filhos de Simeão: Amnon, e Rinna, e Ben-hanan, e Tilon: e os filhos de Ishi: Zoheth e Benzoheth.
Wana wa Shimoni walikuwa: Amnoni, Rina, Ben-Hanani na Tiloni. Wazao wa Ishi walikuwa: Zohethi na Ben-Zohethi.
21 Os filhos de Sela, filho de Judah: Er, pae de Lecha, e Lada, pae de Maresa, e as familias da casa dos obreiros de linho, em casa de Asbea.
Wana wa Shela, mwana wa Yuda, walikuwa: Eri baba yake Leka, Laada baba yake Maresha na jamaa za wafumaji nguo za kitani safi waliokuwa wakiishi huko Beth-Ashbea,
22 Como tambem Jokim, e os homens de Cozeba, e Joás, e Saraph (que dominaram sobre os moabitas), e Jasubi-lehem: porém estas coisas já são antigas.
Yokimu, watu walioishi Kozeba, Yoashi na Sarafi waliotawala huko Moabu na Yashubi-Lehemu. (Taarifa hizi ni za zamani sana.)
23 Estes foram oleiros, e habitavam nas hortas e nos cerrados: estes ficaram ali com o rei na sua obra.
Hawa walikuwa wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera; waliishi huko wakimtumikia mfalme.
24 Os filhos de Simeão foram Nemuel, e Jamin, e Jarib, e Zera, e Saul,
Wazao wa Simeoni walikuwa: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.
25 Cujo filho foi Sallum, e seu filho Mibsam, e seu filho Misma.
Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu, Shalumu akamzaa Mibsamu, na Mibsamu akamzaa Mishma.
26 E os filhos de Misma foram: Hammuel, seu filho, cujo filho foi Zaccur, e seu filho Simei.
Wazao wa Mishma walikuwa: Hamueli aliyemzaa Zakuri, Zakuri akamzaa Shimei.
27 E Simei teve dezeseis filhos, e seis filhas, porém seus irmãos não tiveram muitos filhos: e toda a sua familia não se multiplicou tanto como as dos filhos de Judah.
Shimei alikuwa na wana kumi na sita, na binti sita, lakini ndugu zake hawakuwa na watoto wengi, hivyo ukoo wao wote haukuwa na watu wengi kama ukoo wa Yuda.
28 E habitaram em Berseba, e em Moluda, e em Hasar-sual,
Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali,
29 E em Bilha, e em Esem, e em Tholad,
Bilha, Esemu, Toladi,
30 E em Bethuel, e em Horma, e em Ziklag,
Bethueli, Horma, Siklagi,
31 E em Beth-marcaboth, e em Hasar-susim, e Beth-biri, e em Saaraim: estas foram as suas cidades, até que David reinou.
Beth-Markabothi, Hasar-Susimu, Beth-Biri na Shaaraimu. Hii ilikuwa miji yao mpaka wakati wa utawala wa Daudi.
32 E foram as suas aldeias: Etam, e Ain, e Rimmon, e Tochen, e Asan: cinco cidades.
Vijiji vilivyoizunguka vilikuwa Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani; jumla miji mitano:
33 E todas as suas aldeias, que estavam em redor d'estas cidades, até Baal, estas foram as suas habitações e suas genealogias para elles.
pamoja na vijiji vyote kuizunguka hii miji hadi huko Baali. Haya yalikuwa makao yao, nao waliweka kumbukumbu ya ukoo wao.
34 Porém Mesobab, e Jamlech, e Josa, filho de Amasias,
Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia,
35 E Joel, e Jehu, filho de Josibias, filho de Seraias, filho de Asiel,
Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia, mwana wa Seraya, mwana wa Asieli.
36 E Elioenai, e Jaakoba, e Jeshoaias, e Asaias, e Adiel, e Jesimiel, e Benaias,
Pia Elioenai, Yaakoba, Yeshohaya, Asaya, Adieli, Yesimieli, Benaya,
37 E Ziza, filho de Siphi, filho de Allon, filho de Jedaias, filho de Simri, filho de Semaia:
Ziza mwana wa Shifi, mwana wa Aloni, mwana wa Yedaya, mwana wa Shimri, mwana wa Shemaya.
38 Estes, registrados por seus nomes, foram principes nas suas familias: e as familias de seus paes se multiplicaram abundantemente.
Watu hawa walioorodheshwa hapa juu kwa majina walikuwa viongozi wa koo zao. Jamaa zao ziliongezeka sana,
39 E chegaram até á entrada de Gedor, ao oriente do valle, a buscar pasto para as suas ovelhas.
wakaenea mpaka kwenye viunga vya Gedori kuelekea mashariki mwa bonde wakitafuta malisho kwa ajili ya mifugo yao.
40 E acharam pasto fertil e terra espaçosa, e quieta, e descançada; porque os de Cão habitaram ali d'antes.
Huko walipata malisho mengi mazuri, nayo nchi ilikuwa na nafasi kubwa, yenye amani na utulivu. Baadhi ya Wahamu waliishi huko zamani.
41 Estes pois, que estão descriptos por seus nomes, vieram nos dias de Ezequias, rei de Judah, e feriram as tendas e habitações dos que se acharam ali, e as destruiram totalmente até ao dia d'hoje, e habitaram em seu logar: porque ali havia pasto para as suas ovelhas.
Watu walioorodheshwa majina walikuja katika nchi hiyo wakati wa Hezekia mfalme wa Yuda. Akawashambulia Wahamu katika makao yao pamoja na Wameuni ambao walikuwako huko nao wakawaangamiza kabisa, kama ilivyo dhahiri hadi leo. Kisha wakafanya makazi yao huko kwa sababu kulikuwa na malisho mazuri kwa ajili ya mifugo yao.
42 Tambem d'elles, dos filhos de Simeão, quinhentos homens foram ás montanhas de Seir; e a Pelatias, e a Nearias, e a Rephaias, e a Uzziel, filhos de Ishi, levaram por cabeças.
Watu wa kabila la wa Simeoni wapatao mia tano, wakiongozwa na Pelatia, Nearia, Refaya na Uzieli wana wa Ishi, wakavamia nchi ya vilima ya Seiri.
43 E feriram o restante dos que escaparam dos amalekitas, e habitaram ali até ao dia d'hoje.
Wakawaua Waamaleki waliobaki, waliokuwa wamenusurika, nao wanaishi huko hadi leo.